corona
21 July 2026, 09:25
Madereva pikipiki watoa msaada kwa wagonjwa Kasulu
Kutoa misaada kwa wagonjwa waliolazwa hospitalini ni kitendo cha huruma, upendo na mshikamano kinachochangia kuboresha ustawi wa wagonjwa na familia zao na misaada hiyo inaweza kujumuisha vyakula, sabuni, nguo, vifaa vya usafi na mahitaji mengine muhimu yanayosaidia kurahisisha maisha ya…
14 July 2026, 10:32 pm
Wafungwa watakiwa kufuata sheria kuomba kifungo cha nje
Wafungwa waliopatiwa adhabu ya kifungo kisichozidi miaka minne wametakiwa kufuatilia haki yao ya kuomba kutumikia sehemu ya kifungo chao wakiwa nje kupitia huduma kwa jamii, endapo watatimiza vigezo na masharti yaliyowekwa kisheria. Na Mzdalfa Zaid Hayo yameelezwa na Afisa huduma…
30 June 2026, 4:09 pm
GGML yafadhili mapambano ya malaria Manispaa ya Geita
Jumla ya shilingi milioni 200 imetolewa na Mgodi wa GGML kupitia CSR kwa mwaka 2025/2026 ili kufanikisha utekelezaji wa mpango huo kwa kuzingatia vipengele vya uraghibishi, mafunzo kwa wakufunzi, mafunzo kwa watekelezaji na gharama za uendeshaji. Na: Ester Mabula Halmashauri…
16 June 2026, 12:25 am
Vijana Kahama wahimizwa kulinda uhuru, umoja na mshikamano wa Kitaifa
‘‘Vijana wana uwezo mkubwa sana wa kulinda amani ya nchi yetu na kuwa na mshikamano wa pamoja wa kitaifa’’ Vijana wa kata ya Mhungula, katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kulinda uhuru, umoja na mshikamao wa ili kuendelea kuilinda…
5 May 2026, 7:17 pm
Washauriwa kuepuka mikopo kutoka taasisi zaidi ya moja
Kufuatia kuwepo na malalamiko ya baadhi ya wamama kukimbia miji yao kama njia ya kukwepa kulipa madeni ya mikopo kutoka taasisi za kukopesha maarufu kausha damu, sasa washauriwa kuacha kukopa kwenye taasisi nyingi ili kuepuka fedheha ya kuacha watoto na…
11 February 2026, 13:36
Bodaboda waaswa kutojihusisha na uvunjifu wa amani Kasulu
Jeshi la Polisi wilayani Kasulu mkoani Kigoma limewataka maafisa usafirishaji maarufu bodaboda kutokuwa sehemu ya uvinjifu wa amani. Na Hagai Ruyagila Maafisa usafirishaji maarufu kama bodaboda wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kuepuka kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani, na…
20 January 2026, 5:12 pm
Manyara watakiwa kuwatumia mawakili wenye weledi
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kutumia mawakili na wanasheria wenye weledi katika utatuzi wa kesi mbalimbali ili changamoto zao zitatuliwe kwa wakati. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga, ameyasema hayo leo wakati akizindua kamati ya ushauri wa…
19 January 2026, 4:50 pm
Kamati ya ushauri wa kisheria Manyara kutoa msaada wa kisheria bure
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika uzinduzi wa kamati ya ushauri wa kisheria ngazi ya mkoa na wilaya na kliniki ya Sheria bila malipo itakayofanyika wilayani hanang mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na Leo na…
18 December 2025, 4:56 pm
NIDA yawataka wananchi Manyara kusahihisha taarifa zao
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kufika katika ofisi za Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili kufanya mabadiliko na kusahihisha taarifa zao za awali ambazo sio sahihi katika Vitambulisho vyao vya taifa NIDA. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na…
27 October 2025, 11:41 am
“Kura yako ni mustakabali wako miaka mitano ijayo” – Reuben
Oktoba 29, 2025 ni siku ambayo Taifa la Tanzania litafanya uchaguzi mkuu wa kuchagua wabunge, madiwani na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani (CCM) kata ya Kalangalala Reuben Sagayika amewahimiza wananchi wa kata ya…