AJALI
27 July 2026, 8:04 pm
Waziri Ndege achangia mifuko 100 ya saruji ujenzi daraja Mamire
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Manyara, Regina Ndege ametoa mifuko 100 ya saruji na kuahidi kutembelea daraja lililokatika kwa mvua zilizopita na linalounganisha kitongoji cha Waloa na…
19 July 2026, 16:02
TAWEA na CAF wazindua mradi wa kulinda mazingira Kigoma
Utunzaji wa mazingira ni msingi wa maendeleo endelevu, kwani unalinda afya, uchumi na ustawi wa jamii huku ukihakikisha rasilimali za asili zinadumu kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo Na Emmanuel Kamangu Mradi wa Green Alert unaofadhiliwa na CAF…
13 February 2026, 12:02 pm
Mradi wa Mama mjamzito na mtoto salama wabisha hodi Geita
Shirika la THAMINI UHAI limepata ufadhili wa kutekeleza mradi wa Mama mjamzito na mtoto salama kwa muda wa miaka mitano kuanzia Septemba hadi Juni 2030 kupitia ufadhili wa pamoja wa Bloomberg Philanthropies na Gates Foundation. Na: Ester Mabula Shirika la…
6 February 2024, 4:48 pm
Mwanafunzi afariki wakati akiogelea bwawani Geita
Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha mashimo makubwa kujaa maji nakuleta madhara kwa watu na wanyama waliyopembezoni mwa mashimo hayo. Na Kale Chongela: Mwanafunzi wa darasa la saba katika shule ya msingi Mbabani Kata ya Mtakuja Halmashauri ya mji wa Geita wilayani Geita amefariki…
1 January 2024, 14:03
Madereva watakiwa kuongeza umakini msimu huu wa mvua zinazoendelea kunyesha
Madereva wa mabasi yaendayo mikoani wametakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani hasa kipindi hiki cha mvua ili kudhibiti athari zinazoweza kujitokeza ikiwemo ajali. Na Josephine Kiravu. Akizungumza na madereva Mkuu wa dawati la elimu usalama barabarani Nchini, ACP Michael Dereri…
31 December 2023, 10:07
Watu kadhaa wahofiwa kufariki ajalini Mbeya
Na Kelvin Lameck Watu kadhaa wanahofiwa kufariki katika ajali iliyotokea mapema leo katika eneo la Mbembela kata ya Nzovwe jijini Mbeya. Ajali hiyo imehusisha magari matatu ikiwemo roli pamoja hiace mbili ambazo zilikuwa na abiria zikifanya safari zake Sokomatola Mbalizi.…
4 December 2023, 12:08 pm
Kayombo: Nilipanda mtini nyuki wakanishambulia
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jila la Rudigel Kayombo mkazi wa Makwale wilayani Kyela amevinjika uti wa mgongo baada ya kuanguka kutoka juu ya mti. Na Masoud Maulid Rudigel Lucas Kayombo mwenye umri wa miaka 61 mkazi wa kijiji cha Ibale…
14 November 2023, 20:04
Radi yaua mtu mmoja na Ng`ombe 27 Sumbawanga Rukwa
na Mwandishi wetu Kufuatia Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha na kusababisha Maafa Wananchi wilayani sumbawanga Mkoani Rukwa wametakiwa kuchukua tahadhari za kiusalama ikiwa ni pamoja na kusimamisha Shughuli za Kilimo Pindi Mvua zinaponyesha. Hayo yamejiri Mara baada ya Mvua kubwa iliyoambatana…
9 October 2023, 6:03 pm
Watu watatu wafariki kwa ajali Geita, wawili watumishi wa serikali
Ajali za barabara zimeendelea kukatisha uhai wa watu wengi , jitihada za makusudi zinahitajika ikiwemo elimu kwa watumiaji wa vyombo vya moto ili kupunguza matukio hayo hususani kwa waendesha pikipiki. Na Mrisho Sadick – Geita Watu watatu wakiwemo watumishi wawili…
4 September 2023, 11:54 am
Watu watano wamenusurika kifo baada ya lori kugonga nyumba
Taharuki yaibuka baada ya Lori kugonga nyumba nyakati za usiku katika Mtaa wa Kivukoni Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick: Watu watano wamenusurika kifo baada ya Lori la mchanga lenye namba za usajili T 665 DWF…