Storm FM
26 April 2024, 11:47 am
Shirika la Plan International lawafuta machozi wasichana
Mradi wa KAGIS (Keeping Adolescent girls in shool) ambao unaratibiwa na shirika la Plan international umeendelea kuacha alama kwenye sekta ya elimu mkoani Geita kwa kuendelea kupunguza changamoto zinazowakabili watoto wa kike kuendelea na masomo. Na Kale Chongela – Geita…
25 April 2024, 10:43 am
Geita Queens yazidi kudidimia ligi ya wanawake
Ligi kuu ya wanawake Tanzania bara inaendelea ambapo timu mbalimbali za Tanzania zinashiriki katika ligi hiyo Na Juma Zacharia – Geita Kikosi cha Geita gold queens cha mkoani Geita kimedondosha alama tatu katika mwendelezo wa ligi kuu ya wanawake Tanzania…
25 April 2024, 10:30 am
Mpanduji ajiua kwa kujichoma kisu kisa wivu wa mapenzi
Ingawa ni ngumu kuelewa sababu ya mtu kujaribu kujiua, watu wanaojaribu kujiua ndio wanajua ukweli wa jambo hilo, kwa mujibu wa Shirika la afya duniani (WHO),zaidi ya watu 700,000 hufariki kwa kujiua kila mwaka. Na Ester Mabula – Geita Mpanduji…
25 April 2024, 10:04 am
Umoja wa madereva bajaji mji wa Katoro wakutana
Usafiri wa pikipiki zenye magurudumu matatu maarufu bajaji nchini umekuwa ukitegemewa na wananchi kwa kiasi kikubwa kwa baadhi ya maeneo nchini huku baadhi ya vijana wakijiajiri na kuweza kuendesha maisha yao. Na Evance Mlyakado – Geita Umoja wa waendesha bajaji…
23 April 2024, 4:21 pm
Jamii yakumbushwa kulea watoto katika misingi ya kidini
Malezi sahihi ya mtoto hutajwa kuwa kiungo muhimu katika kujenga taifa la kesho, hivyo wazazi na walezi wanahimizwa kuzingatia suala la malezi na makuzi ya mtoto kwenye misingi ya kumpendeza Mwenyezi Mungu. Na Joel Maduka – Geita Jamii imekumbushwa kuwa…
23 April 2024, 10:16 am
Ugonjwa usiojulikana waua watoto wawili Geita
Serikali kupitia Wizara ya Afya nchini imeendeleza ajenda ya kuhamasisha jamii kuzingatia kanuni bora za kiafya ikiwemo matumizi ya vyoo bora, kunawa mikono nyakati muhimu na kutunza mazingira ili kujilinda na magonjwa ya kuharisha na kutapika. Na Kale Chongela –…
22 April 2024, 5:58 pm
UVCCM Geita yaahidi kusimamia fedha za 10%
Baada ya Serikali kupitia Wizara ya TAMISEMI kutangaza kurejesha mikopo ya asilimia 10 kwa makundi ya vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, UVCCM mkoa wa Geita yaagiza Halmashauri za Geita kutenda haki kwenye utoaji wa mikopo hiyo. Na Kale Chongela…
19 April 2024, 10:25 am
GGML, TAKUKURU zatoa elimu mapambano ya Rushwa
Tanzania inajiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa kuelekea uchaguzi mkuu 2025 kwa mujibu wa Katiba ya nchi ambapo uchaguzi hufanyika kila baada ya miaka mitano. Na Adelina Ukugani – Geita Kuelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa ukaofanyika mwezi…
16 April 2024, 9:05 pm
Viongozi wa dini waonya serikali kulaumiwa kwa majanga ya asili
Kuendelea kutokea kwa majanga ya asili hapa nchini baadhi ya wananchi wameanza kuinyoshea kidole serikali huku baadhi ya viongozi wa dini wakionya. Na Nickolaus Lyankando – Geita Watanzania wametakiwa kuacha tabia ya kuilaumu serikali kutokana na majanga ya asili ambayo…
16 April 2024, 3:49 pm
Kufariki kwa mjamzito Busanda wananchi waiangukia serikali
Uhaba wa vituo vya afya kwa baadhi ya maeneo ya mkoa wa Geita umeendelea kusababisha changamoto mbalimbali ikiwemo vifo vya akina mama wajawazito na watoto. Na Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa kijiji cha Lubanda kata ya Busanda wilayani na…