Storm FM

Storm FM

6 May 2024, 5:32 pm

Wezi wadaiwa kuficha mali juu ya mlima

Licha ya dhana ya ulinzi shirikishi na uwepo wa polisi jamii katika mitaa na vijiji vya mkoa wa Geita, bado changamoto ya vibaka na wezi imeendelea kuwatesa wakazi wa Njia panda ya Inyala katika mji mdogo wa Katoro. Na: Evance…

4 May 2024, 1:13 pm

GGML, OSHA yawanoa bodaboda 200

Kutokana na kundi la bodaboda kutajwa kutokuzingatia suala la usalama na afya mahala pa kazi wadau wameombwa kuendelea kujitokeza kutoa elimu kwa kundi hilo ili kuepuakana na vifo au ulemavu wa kudumu. Na Mwandishi Wetu: ZAIDI ya madereva bodaboda 200…

3 May 2024, 8:20 pm

Makala: Athari ya mvua zinazoendelea kunyesha Geita

Karibu katika makala inayoangazia mvua athari zilizosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Geita ambapo mbali nakusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ya barabara pia zimesababisha vifo hususani kwa watoto wadogo wanaoishindwa kujisaidia wenyewe. Makala hii imeandaliwa na Mrisho Sadick nakuwasilishwa…

2 May 2024, 10:47 am

Watumishi sekta binafsi waiangukia serikali Geita

Kwakuwa serikali ndie msimamizi mkuu wa shughuli zote hapa nchini imetakiwa kufanya tathimini ya utendaji kazi wa sekta binafsi kwani zinadaiwa kukabiliwa na changamoto nyingi. Na Mrisho Sadick – Geita Wafanyakazi wa sekta binafsi na sekta zisizo rasmi Mkoani Geita…

1 May 2024, 7:04 pm

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu wa GGML

GGML ni kampuni inayoendeshwa kwa kufuata sheria na taratibu walizojiwekea jambo ambalo linaifanya kuendelea kusifika nakuwa mfano wa kuigwa hapa nchini. Na Mwandishi wetu: SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala wa Usalama na Afya mahalipa kazi…

1 May 2024, 3:43 pm

Taka ni kikwazo kwa baadhi ya maeneo mjini Geita

Licha ya jitihada mbalimbali zinazoendelea kufanywa na halmashauri ya mji wa Geita ili kukabiliana na uchafu wa mazingira, bado hali ni tete kwa baadhi ya maeneo. Na: Kale Chongela – Geita Baadhi ya wananchi kutoka mitaa ya Mpomvu, Mbabani, Nyantorotoro…