Ruangwa FM
Ruangwa FM
25 January 2023, 08:32
“Kina Baba wajibikeni ili wakina mama wafungue magoli wanawake Wengi wanatumia uzazi WA mpango Kwa sababu wanaume hawawajibiki na wengine wanakimbia kulea” Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Ruangwa katika Mkutano kijiji cha nambilanje katika Ziara yake ya kata…
24 January 2023, 09:57
Katika kuhakikisha ufaulu unaongezeka na kufikia asilimia 100% kama ilivyo malengo ya mkoa wa Lindi na Wilaya ya Ruangwa. Maafisa Elimu kata wilaya ya Ruangwa wamejazishwa mikataba ya Utendaji kazi katika kata zao ikiwa na malengo ya kupima utendaji ulioonyeshwa…
24 January 2023, 08:41
Wakulima wametakiwa kutumia mbolea ya ruzuku ya serikali ambayo huuzwa kwa thamani ya mfuko shilingi elfu Sabini (70,000/=) ili kuongeza tija ya uzalishaji katika sekta ya kilimo huku ikielezwa kuwa kilimo cha mazoea kinatajwa kuwadidimiza wakulima kupata mavuno haba. Hayo…
23 January 2023, 08:44
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ametoa siku 4 Kwa wazazi na walezi kata ya mandawa na chibula kupeleka watoto ambao hawajaenda shule la sivyo karandinga kuwapitia. Ngoma amezungumza hayo katika Ziara yake kata Kwa kata baada ya kupita…
21 January 2023, 09:47
Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, limepitisha Bajeti ya kiasi cha shilingi Bilioni thelathini na mbili milioni mia moja na saba laki saba na themanini na tatu elfu (32,107,783,000/=) kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024. kwa…
12 December 2022, 16:35
Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi amewataka wazazi na walezi mkoani lindi kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa walimu wa kuzuia utoro kwa wanafunzi ili waweze kusoma na kuyafikia malengo yao. Komba ameyasema hayo Disemba 12, 2022 katika viwanja vya CWT…
11 December 2022, 18:51
Wakulima wabnaohudumiwa na chama kikuu cha Ushirika RUNALI kinachohudumu katika wilaya za Ruangwa,Nachingwea na Liwale mkoani Lindi, wametakiwa kutumia pesa zao za korosho kununua chakula na kuhifadhi kutokna na uwapo wa dalili ya janga la njaa lililosabishwa na ukame kwa…
8 December 2022, 03:42
Kuelekea maadhimisho ya siku wa Uhuru Tanzania Watumishi wilayani ruangwa wamejumuika na wananchi wa wilaya hiyo kwenye Bonanza maalumu la Michezo lilofanyika usiku wa taraehe 8/12/2022 katika uwanja wa Majaliwa Wilayani humo. Ambapo katika mchezo wa mpira wa miguu…
21 November 2022, 15:35
Mwanafunzi wa Darasa la kwanza aliejulikana kwa jina la Adam Kaisi Jika (9) katika shule ya msingi Singino, wilayani kilwa mkoani Lindi, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na kabati la kuhifadhia vitabu na madaftari wakati akicheza na wenzake shuleni hapo.…
17 November 2022, 15:56
Mkuu wa wilaya ya ruangwa Hassan Ngoma amewaasa madiwani kusaidiana katika operation inayoendelea ya kuwafukuza wafugaji wanaoshi katika maeneo ambayo siyo rasmi wilayani Ruangwa “Oparesheni inaendelea mfugaji ambae Hana baraka za kijiji au ODC anatakiwa kuondoka wilaya ina eneo moja…
VISSION
The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.
MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.
VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media
OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.
– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.