Nuru FM
Nuru FM
10 May 2025, 1:13 pm
Pichani ni katibu Mtendaji Tume ya Utangazaji Zanzibar Hijji Shajak (alievaa koti jeusi) akikabidhi zawadi za tunzo ya Samia kalam award 2025 katika Ofisi ya Wizara ya Habar Zanzibar. Picha na Abdul-Sakaza. “Tumieni tunzo mliyopatiwa katika kuleta mabadiliko ya kimaendeleo…
6 May 2025, 9:09 pm
Na Adelphina Kutika Jeshi la polisi mkoni Iringa linamshikilia Joseph Yustino Mhilila mkazi wa mtaa wa Lukosi Kata ya Mtwivila kwa tuhuma za kumuua mtoto wake timotheo Mhulikwa (6) aliyepotea tangu tarehe 1 mwezi wa nne 2025. Akizungumza na Nuru…
6 May 2025, 5:12 pm
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya wauguzi Duniani, wauguzi wilaya ya Bukombe waadhimisha siku hiyo Mei 03, 2025. Na: Edga Rwenduru: Chama cha wauguzi Tanzania (TANA) wilaya ya Bukombe mkoani Geita kimeiomba serikali kuwatatulia changamoto ya uhaba wa nyumba za…
5 May 2025, 11:41 pm
Madhara mengi yanaweza kujitokeza endapo mama mjamzito atafika kwa kuchelewa hospitalini siku ya kujifungua. Na Theresia Damasi. Ikiwa ni siku ya Mkunga Duniani Kituo cha Afya uvinza wilayani uvinza kimewataka akina mama wajawazito kuhudhuria clinik mapema pale tu wanapogundua ni…
April 26, 2025, 9:26 am
Baada ya fountain gate kufungwa magoli manne bila na Young African kocha mkuu wa club hiyo amesema hatompanga kwenye kikosi chake golikipa wake John Nobo Na Mbaraka Sungi Hii ni ripoti ya kamati ya michezo kupitia Smile FM 95.3 na…
April 24, 2025, 10:19 am
Makala hii inaangazia mkazi wa kijiji cha Msia wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe, Shukurani Mgale anavyo tumia njia za asili kuwatibu wangojwa waliovunjika mifupa Na Pili Mwang’osi
April 24, 2025, 10:16 am
Halmashauri ya Arusha imetenga kiasi cha shilingi milioni 5.3 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la zahanati ya Kijiji cha Engorora ambalo limekuwa likikabiliwa na nyufa kwa muda mrefu hali inayosababisha kituo hicho kutotoa huduma za usiku kutokana na wahudumu…
April 23, 2025, 1:56 pm
Kuelekea kilele cha siku ya maadhimisho ya kitaifa ya utoaji wa huduma za afya ya wanyama ambayo itafanyika April 26 mwaka huu,wadau na wafugaji wametakiwa kuacha tabia za kutumia dawa za ARV ili kunenepesha mifugo Na Mzidalifa Saidi. Akizungumza leo …
April 23, 2025, 11:57 am
Baadhi ya wananchi wakipata elimu ya migogoro ya ardhi shambani. Ardhi inavyoweza kuwa chanzo cha kuondoa umaskini badala ya kusababisha migogoro katika jamii. Na Shemsa Musa Wananchi manispaa ya bukoba wametakiwa kujielimisha kwa lengo la kuwa na ufahamu juu ya…
April 23, 2025, 10:28 am
Wakulima wameshauriwa kuwa na utaratibu wa kupima afya ya udongo kabla msimu wa kilimo kuanza Na.Revocutus Andrew Wakulima nchini wametakiwa kupima afya ya udongo pamoja na kulima kilimo asilia. Hayo yamezungumzwa Leo na Bensoni Mturi afisa Teknolonjia za kilimo kutoka…