Nuru FM

kijamii

6 May 2024, 11:36 am

Madereva Bajaji wadokozi waonywa

Tabia ya wizi imekuwa ikipigwa vita hasa baada ya abiria kusahau mizigo yao ndani ya vyombo vya moto. Na Agness Leonard Madereva bajaji mkoani iringa wametakiwa kuwa waaminifu pindi abiria anaposahau mzigo kwenye chombo cha usafiri. Hayo yamezungumzwa na Makamu…

29 April 2024, 9:55 am

DC Linda awaonya wanaowatumia walemavu kitega uchumi

Vitendo vya udhalilishaji kwa watu wenye ulemavu ikiwemo suala la kuwatumia kujinufaisha kiuchumi limeonekana kushamiri wilaya ya Mufindi. Na Hafidh Ally Wananchi wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wametakiwa kujenga utaratibu wa kuwasaidia watu wenye mahitaji maalum kuliko kuwafanya vitega uchumi…

23 April 2024, 10:12 am

RC Serukamba agoma kukagua miradi

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba ameagiza kufanyika ukaguzi wa miradi ambayo haitekelezwi na kujua changamoto inayokwamisha utekezaji wake. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba amekataa kuendelea na ziara ya kukagua miradi isiyo na changamoto…

8 April 2024, 9:53 am

Kihenzile afuturisha, afanya dua ya kuliombea taifa

Na Mwandishi wetu. Mbunge wa Jimbo la Mufindi na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile ameungana na Viongozi wa Dini , Serikali pamoja na Wananchi kupata Iftar ya pamoja iliyoambatana na dua ya kumuombea Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa…

4 April 2024, 10:30 am

Mafinga kupokea mwenge Juni 25

Mwenge wa uhuru ni mojawapo ya alama za kitaifa za Tanzania ambao huzunguka kila mkoa kwa lengo la kuangalia maendeleo ya miradi mbalimbali ya maendeleo katika jamii. Na Hafidh Ally Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa ameitisha…

30 March 2024, 10:54 am

DC Mufindi akagua miradi ya maendeleo Mafinga

Miradi mingi ya maendeleo katika Halmashauri ya mji Mafinga imekamilikankwa asilimia 95 kutokana na kupokea fedha serikali kuu na fedha za ndani. Na Hafidh Ally Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa amefanya ziara kukagua Miradi ya Maendeleo katikati…

26 March 2024, 4:41 pm

Mafinga mji kunufaika na mradi wa TACTIC

Mradi wa TACTIC utakuwa na lengo la kusaidia Kutekeleza Miradi ya maendeleo katika jamii. Na Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga ni moja kati ya Halmashauri 18 nchini zitakazonufaika na Mradi wa TACTIC kwa Awamu ya Tatu. Timu ya Wataalamu…

24 March 2024, 10:46 am

SAOHILL wapanda miti zaidi ya 2000

Kuhifadhi vyanzo vya maji kunaendana sambamba na zoezi la upandaji wa miti katika maeneo yanayotunguka. Na Mwandishi wetu ZAIDI ya vyanzo 20 vya maji vimehifadhiwa katika shamba la miti la Sao Hill lililopo wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambavyo vimekuwa…

23 March 2024, 11:38 am

UWT Iringa watoa msaada Zahanati ya Kising’a

Licha zahanati Kising’a kutoa huduma za kitatibu bado Kuna changamoto ya upungufu wa vifaa tiba. Na Fabiola Bosco Umoja wa wanawake wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Iringa umekabidhi mablanketi 16 na vifaa vya usafi katika zahanati ya kising’a  yaliyotolewa…

18 March 2024, 12:58 pm

Iruwasa kutoa elimu maadhimisho ya wiki ya maji Iringa

Iringa ikiadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira IRUWASA imepanga kuhakikisha huduma ya maji inawafikia wananchi wote. Na Hafidh Ally Ikiwa tupo katika wiki ya maji, Mamlaka ya maji na usafi wa mazingira IRUWASA Mkoa wa…