Nuru FM

kijamii

1 March 2024, 12:13 pm

Mradi wa SLR waanza kuleta matokeo Iringa

Na Frank Leornad WANANCHI waliofikiwa na Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bioanuai (SLR) unaosimamiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais wameanza kuitumia elimu wanayopatiwa katika mashamba darasa wilayani Iringa, kuifanya kuwa endelevu ili kuwakwamua kiuchumi. Baadhi…

29 February 2024, 9:11 pm

MMMAM yataka malezi bora kwa watoto

Na Joyce Buganda Wadau wa watoto wilayani Mufindi mkoani Iringa wametakiwa kufuatilia kwa ukaribu malezi, afya na makuzi ya watoto wanayoelekezwa na wataalam. Akizungumza katika ufunguzi wa Program Jjumuishi ya Taifa ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya Mtoto PJT…

28 February 2024, 9:32 am

Mafinga Mji kupambana na utapiamlo

Na Hafidh Ally Halmashauri ya Mji Mafinga imeweka mkakati wa kupambana na Utapiamlo kwa kuhakikisha Chakula kinatolewa shuleni. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshima Dkt. Linda Salekwa kwenye kikao cha Tathmini ya Mkataba wa Lishe ngazi…

28 February 2024, 8:56 am

Miradi ya fedha iwahusishe wananchi

Na Joyce Buganda Madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Iringa wametakiwa kushirikiana na watendaji kusimamia vizuri fedha za maendeleo zinazoletwa katika maeneo yao na serikali. Akizungumza katika kikao cha baraza la madiwani Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Iringa Bashir Mhoja…

23 February 2024, 10:27 am

TASAF wapewa wiki mbili kuwalipa wanufaika wa mpango huo

Na Mwandishi wetu WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene ameupa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini (TASAF) hadi Machi 5, mwaka huu uwe umelipa malimbikizo yote yanayodaiwa na walengwa wa mpango…

16 February 2024, 7:10 pm

Mama wa nyama ya swala ashinda rufaa yake

Na Mwandishi wetu. Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Elvin Mgeta amemuachia huru Maria Ngoda ambaye awali alihukumiwa kifungo cha miaka 22 jela kwa kosa la kukutwa na vipande 22 vya nyama ya swala. Kwa kupitia…

20 April 2022, 9:32 am

Watu Sita Wafariki Dunia Katika Ajali Mkoani Arusha

Watu sita (06) wamefariki dunia na wengine wanne wamejeruhiwa katika ajali iliyo husisha gari Toyota Noah kugongana na lori aina ya scania katika eneo la ALKATANI kata ya Sepeko tarafa ya Kisongo wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha katika  barabara…

20 April 2022, 7:37 am

Polisi kuchunguza kifo cha Padri Kangwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema linaendelea na uchunguzi wa tukio la kifo cha Paroko wa Parokia ya Mbezi Mshikamano, Padri Francis Kangwa aliyekutwa ndani ya tenki la maji akielea. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya…

5 April 2022, 8:20 am

Shilingi bilioni 93.1 zatumika kwenye miradi ya mendeleo Iringa

Sh93.1 bilioni zimetumika katika miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Iringa ikiwemo ujenzi wa barabara ya Kihesa Kilolo – Igumbilo itakayosaidia kupunguza msongamano wa magari mjini. Kwa sasa magari yote yanapita katikati ya mji na kusababisha msongamano mkubwa kutokana na ukosefu…