kijamii
5 April 2022, 8:20 am
Shilingi bilioni 93.1 zatumika kwenye miradi ya mendeleo Iringa
Sh93.1 bilioni zimetumika katika miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani Iringa ikiwemo ujenzi wa barabara ya Kihesa Kilolo – Igumbilo itakayosaidia kupunguza msongamano wa magari mjini. Kwa sasa magari yote yanapita katikati ya mji na kusababisha msongamano mkubwa kutokana na ukosefu…
4 April 2022, 4:56 pm
Kamanda Mutafungwa: Marufuku Malori, Gari Za IT Kupakia Abiria
JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limepiga marufuku magari yote ya mizigo pamoja na magari yanayokwenda nje maarufu kama IT kubeba abiria huku likitoa anyo kwa wamiliki ambao wanaingiza magari mabovu babaranani na kusababisha ajali. Akizungumza wakati wa kufunga…
4 April 2022, 4:53 pm
Ajali ya Basi Dodoma Yaua Watu Wanne
Watu wanne wamefariki dunia na 19 kujeruhiwa mkoani Dodoma katika ajali iliyohusisha basi la Geita Express kugongana na Fuso jana Jumapili Aprili 3, 2022. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Onesmo Lyanga amesema ajali hiyo…
28 March 2022, 5:37 pm
Profesa Ngowi afariki dunia ajalini
Profesa wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Honest Ngowi amefariki dunia leo Jumatatu Machi 28, 2022 kwa ajali ya gari iliyohusisha lori na gari ndogo alilokuwa anasafiria kwenda mkoani Morogoro. Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Pius Lutumo amethibitisha kutokea kwa ajali…
28 March 2022, 9:00 am
Uingereza kuipa Ukraine makombora ya kutungulia ndege kukabiliana na Russia
Waziri wa Ulinzi wa Uingereza ametangaza kuwa London imeamua kuipa Ukraine makombora ya kutungulia ndege ili kukabiliana na mashambulizi ya anga ya Russia. Shirika la habari la IRNA limemnukuu Ben Wallace akisema hayo jana Jumapili na kuongeza kuwa, London imeamua kuipa Ukraine…
26 March 2022, 6:54 am
Machi 28, 2022 wapangaji wanunuzi kuhamia
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA,) imefanyia kazi maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan Machi 23 mwaka huu wakati wa uzinduzi wa nyumba za makazi za Magomeni Kota juu ya wakazi hao kununua nyumba hizo kwa utaratibu wa mpangaji- mnunuzi.…
25 March 2022, 9:05 am
DC MOYO: Kurejeshwa Mahakama Kata Ya Maboga Hakutoathiri Shughuli Za Mahakama Ya…
Mkuu Wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo amewakikishia Wakazi Wa Tarafa ya Kiponzero kuwa kurejeshwa Kwa shughuli za kimahakama katika Kata ya Maboga hakutoathiri shughuli za kimahakama zinazoendelea kata ya Ifunda. Akizungumza na viongozi wa vijiji na kata za…
24 March 2022, 5:19 pm
Iruwasa Wilaya ya Kilolo kukabidhi bajeti kwa Balozi Isabela Kupitia DC Magiri y…
Mamlaka ya Maji na usafi wa Mazingira IRUWASA Wilaya ya Kilolo inatarajia kuandaa bajeti na kuipeleka kwa Mkuu wa Wilaya yenye lengo la kupeleka huduma ya maji katika Familia ya walemavu watatu wa kijiji cha Lulanzi Wilayani Kilolo. Bajeti hiyo…
24 March 2022, 5:44 am
Dc Moyo kuwachukulia hatua kali za kisheria watakao haribu vyanzo vya maji.
Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo kuwachukulia hatua Kali za kisheria wananchi na viongozi wote watakao hatibu vyanzo vya Maji na kukata hovyo miti. Ameyasema hayo wakati wa maadhimisho ya siku ya maji wilaya ya Iringa yaliyofanyika katika…
23 March 2022, 4:55 pm
Dc Kilolo Aunga Mkono Kampeni Ya Balozi Isabela Ya Kuisaidia Familia Ya Walemavu…
Mkuu wa Wilaya ya Kilolo Peres Magiri amewatembelea familia ya walemavu watatu waliopo katika kijiji cha Lulanzi ikiwa imepita siku chache baada ya Balozi wa Utalii Nchini Tanzania Bi. Isabela Mwampamba kufika na kuanza mchakato wa kutatua changamoto zinazowakabili. Changamoto…