FM Manyara
FM Manyara
11 September 2025, 9:38 pm
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga,amewaonya viongozi wa sekta binafsi ambao wamekuwa wakijifanya miungu watu kuacha tabia ya kuwanyanyasa wafanyakazi ikiwemo kutowapatia mikataba Na Mwandishi wetu Sendinga amesema hayo Leo katika kikao Cha kusikiliza na kutatua kero za wananchi,…
11 September 2025, 9:43 am
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga  amesikiliza na kutatua kero za wananchi kutoka wilaya zote za Mkoa wa Manyara katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Na Mzidalfa Zaid Katika kikao hicho Sendiga amesikiliza…
9 September 2025, 11:06 am
Na Marino Kawishe Zaidi ya Wananchi elfu Tatu kutoka kata nne za Galapo, Mamire, Endakiso na Qash zilizopo Wilayani Babati Mkoani Manyara wamejitokeza kupata huduma za afya katika kambi ya siku tano iliyomalizika jumamosi sept 6 iliyoandaliwa na Shirika la…
3 September 2025, 7:09 pm
Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuwekeza katika mkoa huo kwa kujenga hotel za kisasa, migahawa na nyumba za kulala wageni kutokana na kasi ya ukuaji wa mkoa. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa na mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga…
3 September 2025, 7:01 pm
Jamii mkoani Manyara imetakiwa kuhakikisha watoto wote kuanzia umri wa miaka 0 hadi 8 wanapata lishe bora na huduma za malezi jumuishi ili iwasadie katika ukuaji . Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa leo na mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa…
2 September 2025, 9:28 pm
Kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia kampuni tanzu Mati Technologies imekuja na teknolojia ya kisasa ya Ndege nyuki (drone) kwa ajili ya sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii ili kuongeza ufanisi. Na Mzidalfa Zaid Mkurugenzi Mtendaji wa…
2 September 2025, 6:22 pm
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wananchi mkoani Manyara kuzitumia shule za elimu ya watu wazima kwa kujiendeleza kielimu. Na Mzidalfa Zaid Sendiga amesema hayo baada ya kagua na kuweka jiwe la msingi katika jengo la elimu ya…
2 September 2025, 12:04 pm
Madaktari kutoka hospitali ya wilaya ya Babati kwa kushirikiana na shirika la So They Can Tanzania yaweka kambi ya siku sita kuhudumia wananchi wa kata nne za wilaya ya Babati. Na Marino Kawishe Wananchi wilayani Babati mkoani Manyara wamejitokeza kwenye…
1 September 2025, 11:46 pm
Ili uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025 uwe wa huru na haki chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimetoa mapendekezo ya Ibara za katiba zinazotakiwa kufanyiwa maboresho. Na George Augustino Baraza Kuu la Wazee wa chama cha Demokrasia na Maendeleo…
1 September 2025, 4:18 pm
Wawekezaji  mkoani Manyara wanaohitaji kufuga wanyamapori na kuwapa fursa wananchi kuona wanyama katika maeneo yao, wametakiwa kuwasiliana na uongozi wa pori la akiba Mkungunero ili kupewa utaratibu wa kufuga wanyama hao. Na Mzidalfa Zaid Hayo yameelezewa leo na afisa Utalii…
COMPANY PROFILE
FM Manyara Radio was founded in 2018 located in Babati district, Manyara region. FM
Manyara 92.3 Radio we are committed to innovation to bring the best radio and broadcasting
services in the region and around the country.
Manyara 92.3 FM Radio is a radio station broadcasting a mixed format consisting of news,
sports, music and a variety of talk programs both being aired within 24 hours. It is strategically
located in Babati Town, Manyara –one of the fastest-growing towns in Tanzania.
The station commenced test transmission on 02nd of December 2018 and was granted a
district broadcasting license from Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA). Since
test transmission of the radio, the station has gained more support and acceptance from the
listeners around the district.
We provide and promote business through the following
ï‚· Live programs that enable customer to air his/her products or services and get direct
feedback from our audience
ï‚· Airing spot adverts.
ï‚· Airing presenter mentions
Any other live public events as suggested by the customer
The commercial activities on the radio began officially in 2019 and through this short period of
commercializing the media we have succeeded in working with different organizations and
institutions both governmental and nongovernmental, This creates a sense of trustworthiness not
only to ourselves but also to our partners.
COVERAGE AREA
FM Manyara 92.3 Radio has an average radius of 120 kilometers, and the station has
planned to complete a geographical expansion programme that will extend the radio signal to
the entire Northern zone and parts of Central Tanzania which will mean approximate listeners
of well over 2 to 3 million. Also, FM Manyara 92.3 Radio will widen the listeners to other areas
that we have not reached in terms of frequency coverage and modulation and use online
platform and our station will be tuned wherever in the world. We expect to have listeners from
far Asia in countries like Japan and South Korea / and far West in the United States of America and
Canada.
VISION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio vision statement is ‘to be an industry leader with national and
International brand recognition builds around the cohesive team of passionate, creative and
inspired Individuals who love what they do, empowering our clients to reach their goals. Our
the team is innovative and forward-thinking while remaining conscious of the needs of today, and
being a financially strong, growth-oriented company enables us to provide stability for our most
valuable assets; our people and our clients.
MISSION STATEMENT
The 92.3 FM Manyara Radio mission statement is ‘To empower and inspire motivated business
and entrepreneurs to discover and fulfill their dreams and adventures’ In terms of
programming, FM Manyara 92.3 Radio is a public interest station –combining education,
information, news, and entertainment. The station’s focus is on the interplay of issues
concerning the community; its history and the social, cultural, and economic activities and
endeavors of the people. Apart from providing essential information, the station’s programmes
incorporate the ‘how to do’ approach providing guidance, and offering tips and hints to listeners on
different subjects.