Dodoma FM

Kwaheri Magufuli

22 May 2023, 4:21 pm

Fahamu jinsi maziko ya watu wa kale yalivyofanyika

Chifu Chihoma alipata wasaa wa kutuelezea kuhusu uzikaji wa watu wa kale ulivyo kuwa unafanyika. Na Mariam Kasawa. Mtazamaji wa Fahari ya Dodoma bado tunaendelea kukujuza mambo mbalimbali hususani historia za kale lengo letu likiwa ni kukuonesha fahari zilizopo hapa…

22 May 2023, 3:44 pm

Matambiko na siri ya maji ya kisima cha Bwibwi

Nilimuuliza chifu je kisima hiki cha Bwibwi huwa na maji katika misimu yote au wakati wa kiangazi hukauka ? Na Mariam Kasawa. Mtazamaji wa fahari tunaenedelea kusikiliza historia ya kisima hiki cha Bwibwi kisima ambacho hadi leo bado baadhi ya…

19 May 2023, 6:15 pm

Fahamu historia ya kisima cha Bwibwi kilichomeza watu 29

Imani ya watu dhidi ya maji ya kisima hiki ni kubwa, chifu anatueleza na kutuonesha mfano wa kunywa maji haya. Na Mariam Kasawa. Bado tunaendelea kukujuza mambo mbalimbali ya kale, historia za kale zinazopatikana mkoani Dodoma kupitia fahari ya Dodoma.…

15 May 2023, 7:49 pm

Wananchi waendelea kuhimizwa kutumia nishati mbadala

Miongoni mwa madhara hayo ni pamoja na ukame, mafuriko, vimbunga, mioto ya misitu vimeharibu maisha ya mamilioni ya watu na kuwaweka katika hatari zaidi ya kukabiliwa na njaa. Na Alfred Bulahya. Wakati mataifa yote ulimwenguni yakipambana kuzuia ongozeko la joto…

8 May 2023, 2:59 pm

Zifahamu dalili za hatari kwa mama mjamzito

Je ni dalili zipi hizo ambazo ni hatari kwa mama mjamzito? Na Yussuph Hassan. Leo tunazugumzia dalili hatari kwa Mama mjamzito ambapo Dkt Abdallah Majaliwa kutoka hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma anaeleza kuhusu dalili hizo.

4 May 2023, 4:09 pm

Zifahamu sifa za watoto wenye Usonji

Dkt Arapha Aragika kutoka hospitali ya Taifa ya Afya ya akili Mirembe. Picha na Yussuph Hassan. Watoto wenye usonji pia wanazo sifa mbalimbali kama anavyo ainisha Dkt. Arapha. Na Yussuph Hassan. Leo tunaendelea kuzungumzia sifa za watoto wenye usonji, tukiungana…

2 May 2023, 1:43 pm

Je Usonji ni nini

Je usonji ni nini na husababishwa na nini. Na Yussuph Hassan. Usonji ni tatizo linalojitokeza mapema utotoni, ambapo mtoto huwa na mapungufu kwa kupenda kujitenga na kutotaka kuwa karibu na watu. Usonji ni ugonjwa unaonekana kwa watoto kuanzia mwaka mmoja…

27 April 2023, 3:41 pm

Yafahamu matibabu ya Ugonjwa wa surua

Mratibu wa Huduma za Chanjo Halmashauri ya Jiji la Dodoma Victor Kweka leo anazungumzia matibabu ya ugonjwa huo. Yussuph Hassan. Bado tunaendelea kufahamu kwa kina juu ya ugonjwa wa surua, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi. Ugonjwa wa surua unaweza kumpata…

25 April 2023, 4:58 pm

Dalili za ugonjwa wa Surua

Ugonjwa wa surua unaweza kumpata mtu wa rika lolote, husababishwa na virusi vinavyosambazwa kwa matone madogo hewani baada ya mtu mwenye surua kukohoa au kupiga chafya. NaYussuph Hassan. Surua ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambapo inaelezwa kuwa dalili zake zinaweza…