Kwaheri Magufuli
18 January 2024, 8:56 am
Yafahamu madhara ya ugonjwa wa kipindupindu
Yafahamu madhara ya ugonjwa wa Kipindupindu endapo mtu atabainika kuwa na ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan.Tukiwa katika muendelezo wa kupata elimu juu ya ugonjwa wa kipindupindu na leo tunafahamu madhara ya ugonjwa huo endapo mtu akibainika kuwa na kipindupindu. Afisa…
17 January 2024, 8:50 am
Mambo ya kuzingatia kuepuka kipindupindu
Jamii imekumbushwa kuendelea kunawa na maji tiririka pindi wanapotoka maliwato ili kujilinda na kujikinga na maradhi hayo. Na Yussuph Hassan.Ikiwa tunaendelea kuelimisha Jamii kuhusu Ugonjwa wa Kipindupindu, Jamii imesisitizwa kuhakikisha wanajenga na kutumia Vyoo bora ili kupekuna na ugonjwa wa…
15 January 2024, 9:13 pm
Matumizi ya vyoo visivyo bora yatajwa kuchangia maambukizi ya kipindupindu
Pia inaelezwa kuwa ili mtu apate kipundupindu ni lazima awe amekula chakula au maji yaliyochafuliwa na vimelea vya ugonjwa huo . Na Yussuph Hassan.Ikiwa ni mwendelezo wa kutazama namna jamii inavyoweza kujikinga na magojwa ya mlipuko hasa kipindupindu, inaelezwa kuwa…
11 January 2024, 6:58 pm
Washiriki 1,707 wajiandikisha kushiriki utoaji maoni
Baada ya hapo, kamati hiyo itachambua maoni hayo yaliyopokewa. Na Seleman Kodima.Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria, Joseph Mhagama amesema jumla ya washiriki 1,707 wamejiandikisha kwenye ushiriki wa utoaji maoni. Pia, taasisi za kidini,…
10 January 2024, 12:04 am
Ajira katika umri Mdogo zinavyo kwamisha ndoto za mabinti
Kama mwajiri atatoa madai kwamba hakufahamu kwamba mtu aliyemuajiri ni mtoto wakati wa kumpa ajira au kudai kupewa taarifa zisizo sahihi watakua na wajibu wa kuthibitisha kua ilikua sahihi kwa wao au mtu mwingine yeyote mwenye akili timamu kuamini kwamba…
4 January 2024, 9:43 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kutoa maoni marekebisho ya katiba
Wadau ,wanasiasa wa vyama vya upinzani pamoja na wananchi wamekua wakitoa maoni tofouti juu marekebisho katika miswada hiyo. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wananchi kushiriki ipasavyo kutoa maoni na mapendekezo katika Marekebisho ya Muswada wa Sheria za uchaguzi wa…
23 December 2023, 5:28 pm
DUWASA yatolea ufafanuzi changamoto za mifumo ya maji taka
Thadei Tesha amezungumza na wakazi wa eneo hilo pamoja na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira DUWASA. Na Thadei Tesha. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mzingira Jiji la dodoma DUWASA imetolea ufafanuzi baadhi ya changamoto za…
21 December 2023, 4:23 pm
Mila, desturi zachangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali
Mila na desturi zimetajwa kuchangia kumnyima mwanamke haki ya kumiliki mali hali inayomrudisha nyuma kimaendeleo na kuchochea vitendo vya ukatili wa kijinsia . Na Mariam Matundu.Mariam Matundu amezungumza na mwanasheria kutoka Chama Chama Wanasheria Wanawake TAWLA Neema Ahmed ana anaanza…
13 December 2023, 8:59 pm
Wafanyabiashara Sabasaba washukuru kuboreshewa miundombinu ya soko
Soko la sabasaba ni miongoni mwa masoko makubwa na maarufu katika jiji la dodoma ambapo kwa mujibu wa baadhi ya wakaz wa jiji la dodoma wanasema kuwa soko hili linasifika kwa kuuzwa bidhaa za mbogamboga na matunda kwa bei rahii…
13 December 2023, 8:39 pm
Leo tunaangazia uongozi kwa wanawake
Ameanza jitihada za kuhakikisha elimu inatolewa kwa wanawake. Na Mariam Matundu.Mifumo dume pamoja na uwoga vimetajwa kuwa sababu ya baadhi ya wanawake kushindwa kuwania nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali wakati wa chaguzi . Diwani wa kata ya Nala bw.…