Kwaheri Magufuli
21 July 2023, 4:48 pm
Kaizer Chiefs kucheza na Yanga kesho
Karibu upate habari za michezo kutoka hapa Nchi Tanzani zikisimuliwa kwako na mwana michezo wetu Rabiamen Shoo. Na Rabiamen Shoo. Kikosi cha Kaizer chiefs ‘Amakhosi’ kimetua Tanzania kwa ajili ya Mchezo wa Kirafiki dhidi ya Yanga kwenye Kilele cha Wiki…
20 July 2023, 5:06 pm
Ifahamu maana halisi ya jina Bahi
Kila jina huwa na maana au asili je jina Bahi lina maana gani na asili yake ni nini? Na Yussuph Hassan. Wilaya ya Bahi ni mojawapo kati ya wilaya saba za mkoa wa Dodoma. Wilaya hii ilianzishwa rasmi mwaka 2007…
18 July 2023, 5:05 pm
Zifahamu taratibu za kutoa maoni katika vituo vya Afya na hospitali ya Rufaa
Je unafahamu utaratibu wa kutoa maoni baada ya kupata huduma katika kituo cha Afya au hospitali endapo hukuridhishwa na huduma? Na Yussuph Hassan. Imeleezwa kuwa kila kituo cha afya kina utaratibu wa kupokea maoni yanayotolewa pindi mpokea huduma anapoenda kupatiwa…
14 July 2023, 6:45 pm
Hatua za kufuata kuepukana na ugonjwa wa saratani ya jicho
Na Yussuph Hassan. Ugonjwa wa saratani ya jicho kwa watoto ni ugonjwa ugonjwa wa kurithi ambapo Dkt Japhet Bright Bingwa wa Mgonjwa ya Macho kutoka Hospital ya rufaa ya Dodoma anazungumzia nini cha kufanya ili kuepuakana na ugonjwa huo.
14 July 2023, 4:44 pm
Wakulima wa Jangwani Laikala walia kukosa mavuno ya alizeti
Zao la alizeti limekuwa maarufu kutokana na mafuta yake kupendwa na watu wengi kwa sababu hayachanganywi na kemikali yoyote na bei yake imekuwa ikipanda na kushuka lakini Mei 29 2023 Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde alisema Serikali ipo mbioni…
13 July 2023, 5:58 pm
Fahamu matibabu ugonjwa wa saratani ya jicho
Dkt Japhet Bright Bingwa wa Mgonjwa ya Macho kutoka Hospital ya rufaa ya Dodoma anaeleza juu ya matibabu ya ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan. Leo tunazungumzia utaratibu wa matibabu ya ugonjwa wa saratani ya jicho kulingana na dalili mbalimbali tukiungana…
12 July 2023, 4:28 pm
Fahamu matibabu na jinsi ya kujikinga na saratani ya jicho
Saratani ya jicho kwa watoto ambapo huanzia miezi kumi na nane na huonekana zaidi kwa watoto chini ya miaka mitano. Na Yussuph Hassan. Baada ya kufahamu juu ya utambuzi wa Ugonjwa wa saratani ya jicho kwa watoto ambapo huanzia miezi…
22 June 2023, 5:20 pm
Fahamu jinsi uchunguzi wa utapiamlo unavyofanyika
Na Yussuph Hassan. Afisa lishe juma swedi anazungumzia utambuzi wa utapiamlo unavyofanyika katika vituo vya afya.
16 June 2023, 1:28 pm
Siku ya mtoto Afrika huadhimishwa kuangalia maslahi mapana ya watoto
Siku ya mtoto wa Afrika inaadhimishwa kwa lengo la kuangalia maslahi mapana ya watoto wa Afrika na huwapasa watu wazima kujitolea kwa hali na mali ili kushughulikia changamoto zinazokabili watoto katika bara zima la Afrika pamoja na kulindwa dhidi ya…
9 June 2023, 1:12 pm
Msanii wa kizazi kipya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao
Na Lonard Mwacha. Msanii wa kizazi kipya kutoka Dodoma Suleiya Abdi ameweka wazi dhamira yake ya kuwasaidia mabinti walioshindwa kutimiza ndoto zao kutokana na mimba za utotoni ili waweze kujikwamua kiuchumi.