Kwaheri Magufuli
20 September 2023, 3:29 pm
Fahamu maajabu na uvamizi wa Tembo katika vijiji
Je ni mbinu gani nzuri zinazo tumika kuwarudisha Tembo hifadhini pindi wanapo ingia katika makazi ya watu ? Na Yussuph Hassan. Fahari ya Dodoma leo imezungumza na Afisa wanyamapori jiji la Dodoma hapa anaeleza jinsi Tembo wanavyoingia katika vijiji na…
13 September 2023, 4:59 pm
Nini kinapelekea baadhi ya wazazi kutelekeza familia
Leo mchanyato upo Bahi kuzungumza na Jane Mgidange ambaye ni mratibu wa Elimu jumuishi Wilaya Ya Bahi Kufahamu zaidi nini sababu za kutelekeza familia. Na Leonard Mwacha. leo tunaangazia sababu za kutelekeza familia ambapo jamii inahusika moja kwa moja kabla…
6 September 2023, 3:06 pm
Vilindoni shule kongwe yenye changamoto
Licha ya shule hii kuwa Kongwe lakinibado inakabiliwa na upungufu wa madawati, upungufu wa walimu na Uchakavu wa madarasa. Na Yussuph Hassan. Leo kamera ya fahari ya Fahari imegonga hodi katika kata ya Mbabala shule ya msingi Vilindoni ,shule hii…
4 September 2023, 5:19 pm
Fahamu asili ya jina Dodoma
Je ni kweli jina la Dodoma lilitokana na tembo kudidimia katika eneo la Kikuyu kilipo chuo cha mtakatifu Yohana leo hii?
21 August 2023, 6:15 pm
Jinsi ajira kwa watoto zinavyoathiri maisha ya mtoto
Alfred Bulahya amezungumza na binti ambaye aliajiriwa katika umri mdogo lakini mwajiri wake aliamua kumuendeleza kielimu. Na Alfred Bulahya. Ajira kwa watoto inarejelea unyonyaji wa watoto kupitia aina yoyote ya kazi ambayo inawanyima utoto wao, inaingilia uwezo wao wa kuhudhuria shule ya kawaida, na inawadhuru kiakili,…
15 August 2023, 3:42 pm
Baba atelekeza familia na kwenda kuanzisha familia nyingine
Mama huyo anadai kuishi maisha magumu kwani anatumia muda mwingi kutafuta kipato cha kumuwezesha yeye pamoja na watoto wake kupata mahitaji muhimu ikiwemo chakula. Na Leonard Mwacha. Katika hali ya kushangaza baba mmoja mkazi wa Jijini Dodoma ameitelekeza familia yake…
14 August 2023, 12:41 pm
Rushwa ya ngono inavyowaathiri vijana katika utafutaji
Nini kifanyike ili kuwanusuru vijana pindi wanapokutana na changamoto ya kuombwa rushwa ya ngono. Na Leonard Mwacha. Vijana wamekuwa wakipitia changamoto nyingi pindi wanapotafuta maisha ikiwemo kuombwa rushwa ya ngono ili waweze kufanikiwa kimaisha. Hali hii imekuwa ikiwakatisha tamaa vijana…
10 August 2023, 2:01 pm
Nini kifanyike kesi za ukatili wa kingono zisimalizwe kifamilia?
Serikali itaendelea kuimarisha mifumo yote ya ulinzi na usalama wa mtoto kama ilivyoelekezwa katika mikataba ya kikanda na kimataifa kuhusu haki na ustawi wa mtoto ili kuhakikisha hakuna mtoto anayefanyiwa vitendo vya ukatili. Na Mariam Matundu. Na leo tumepita Mtaani…
9 August 2023, 4:19 pm
Nini kifanyike kesi za ukatili kingono zisimalizwe kifamilia?
Unyanyasaji unaweza kutokea katika mazingira mbalimbali ya kijamii kama vile sehemu za kazi, nyumbani, shuleni au kwenye Taasisi za kidini. Na Mariam Matundu. Ni aina ya unyanyasaji unaohusisha matumizi ya matamshi ya ngono ya wazi au ya siri, ikiwa ni pamoja na ahadi zisizohitajika…
7 August 2023, 2:20 pm
Jinsi jamii inavyopambana na ukatili wa kingono dhidi ya watoto
Familia zinaaswa kuacha kumaliza kesi hizi kifamilia kwani inakuwa haisadii mtu anae fanya vitendo hivi anaweza kufanya kwa mtu mwingine. Na Leonard Mwacha. Jamii inashauriwa kuacha kufumbia macho ukatili dhidi ya watoto hasa ukatili wa kingono kwani umekuwa ukiwaathiri zaidi…