
Radio Tadio
19 February 2023, 9:07 pm
Mayela Maleba (37) Mkazi wa Tamau kata ya Nyatwali Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara amekamatwa na mamba wakati akiendelea na shughuli za uvuvi wa samaki kandokando ya ziwa Victoria eneo la Tamau. Mwanamme huyo ambaye mpaka sasa bado…
27 April 2021, 8:53 am
Na;Jayunga Pius Wanawake walio katika umri wa kujifungua wameshauriwa kutumia chakula aina ya ugali unatokana na unga ambao umeongezwa virutubishi ili kuepuka kujifungua watoto walio na matatizo mbalimbali ya kiafya ikiwemo kichwa kikubwa na mgongo wazi. Ushauri huo umetolewa na…