Utamaduni
18 April 2025, 4:49 pm
Dc Kaganda awataka wataalamu wa halmashauri,(WMA) na viongozi wa vijiji kumaliza…
Picha ya mkuu wa wilaya ya Babati Mkuu wa wilaya ya Babati, Emmanuela Mtatifikolo Kaganda amewataka wataalamu wa halmashauri kukutana na viongozi wa wildlife management areas (WMA) pamoja na viongozi wa vijiji husika ili kuweka mpango wa pamoja wa kumaliza migogoro inayojitokeza…
17 April 2025, 6:11 pm
Mgogoro wa mchanga wapelekea kukwama kwa ujenzi wa matundu ya vyoo Ihumwa
kwasasa wapo katika changamoto ya shule kulemewa hivyo majengo ya shule mpya nahitaji milioni 36 za ujenzi wa vyoo ndipo ianze kutumika Kwa kupunguza mjazano wa shule mama. Na Victor Chigwada.Imeelezwa kuwa matumizi mazuri ya rasilimali ni pamoja na rasilimali…
7 April 2025, 5:42 pm
Wananchi kata ya Chamwino washiriki zoezi la usafi usafi
Zoezi hilo ni enedelevu katika kata hiyo ambapo kila Jumamosi wananchi hujitokeza kwa ajili ya kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya kata hiyo. Na Lilian Leopord.Wananchi wa kata ya Chamwino jijini Dodoma wameshiriki katika zoezi la usafi wa mazingira katika…
1 April 2025, 6:25 pm
‘Wananchi wapatiwe elimu ya fursa za taka’
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), linawataka Watanzania kuanza kubadili mtazamo na kuziona taka kama fursa ya kuzirejeleza na kupata bidhaa mbalimbali na kujikomboa kiuchumi. Na Mariam Kasawa.Mamlaka za serikali za mitaa na halmashauri za wilaya…
21 March 2025, 9:55 am
Mti uliokatwa wakutwa umesimama Mpomvu
Wakazi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja, halmashauri ya manispaa ya Geita wameshtushwa na hali ya mti uliopo katika kanisa la GGC uliokuwa umekatwa kukutwa umesimama. Na: Kale Chongela – Geita Wakizungumza na Storm FM Machi 20, 2025 baadhi…
4 March 2025, 12:15 pm
Yafahamu Mazingira asili ya mkoa wa Dodoma
Licha ya Dodoma kufahamika kuwa na hali ya nusu jangwa lakini yapo mazao ambayo hulimwa wakati wa masika. Na Yussuph Hassani.Mwana fahari leo Yussu[h anasimuliza asili ya mazingira ya mkoa huu wa Dodoma katika mfululizo wa makala hii ya fahari…
20 February 2025, 6:02 pm
Mtaa wa changanyikeni Miyuji wageuzwa dampo la Taka
Halmashauri ya jiji la Dodoma imeomba kusaidia kutatua kero ya taka katika eneo hili ili wananchi waweze kuepukana na mrudikano wa taka pamoja na hatari ya kupata magonjwa ya mlipuko. Na Mariam Kasawa.Wakazi wa mtaa wa Changanyikeni kata ya Miyuji…
3 February 2025, 7:24 pm
Zaidi ya watu 2700 wafikiwa wiki ya sheria Bunda
Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa vimeainishwa na wadau wa mahakama. Na Adelinus Banenwa Wananchi zaidi ya 2700 wamefikiwa wiki ya sheria wilayani Bunda baada ya kufika katika vituo vilivyokuwa…
7 January 2025, 5:16 pm
Utenganishaji wa taka unavyorahisisha uchakataji wa taka za plastiki
Kama Halmashauri zitatambua aina na kiasi cha taka kinachozalishwa katika eneo lake ni rahisi kutenganisha taka hizo kwa kuyapa rangi tofauti tofauti mapipa au vizimba vinavyokusanya aina tofauti ya taka hizo. Na Mariam Kasawa.Vikundi vya ukusanyaji taka katika maeneo mbalimbali…
3 January 2025, 3:48 pm
Fahamu umuhimu wa miti katika mazingira
Miti ina faida nyingi katika mazingira na maisha ya binadamu. Na Yussuph Hassan.Mwandishi wetu Yussuph Hassan anatufahamisha kuhusu bustani inayosimamiwa na halmashauri ya jiji la Dodoma inayopatikana eneo la Wajenzi jijini Hapa.