Utamaduni
15 Machi 2024, 6:16 um
NEMC na Halmashauri ya jiji la Dodoma zaagizwa kufanya tathhmini katika milima
kwa mujibu wa sheria ya mazingira ibara ya 58 ibara ndogo ya 2 kifungu kidogo cha D Kinatoa maelekezo ya kulinda vilima vyote vya jiji la Dodoma. Na Mariam Kasawa.Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), pamoja…
5 Machi 2024, 5:00 um
Ummy: Asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo
Waziri Ummy amezielekeza mamlaka kuhakikisha zinasimamia vyema matumizi ya vyoo kwa wasafiri wawapo safarini kwa kuhakikisha mabasi yanasimama kwenye maeneo rasmi ikiwemo stendi za mabasi . Na Mariam Kasawa. Takwimu zinaonesha kuwa asilimia 9.8 ya watu nchini hawana vyoo kabisa…
16 Febuari 2024, 4:46 um
Athari za taka za plastiki kwa viumbe wa baharini na Afya za binadamu
Inaonyesha kwamba ingawa tuna maarifa, tunahitaji kujitolea kwa hatua za dharura ili kukabiliana na changamoto hizi zinazoongezeka kila siku katika mazingira. Na Mariam Kasawa. Uchafuzi wa mazingira katika maeneo ya bahari unatajwa kuwa na athari kwa viumbe hai waishio chini…
9 Febuari 2024, 5:18 um
Yafahamu madhara ya utupaji taka za plastiki katika vyanzo vya maji
Hata hivyo Umoja wa mataifa mara kadhaa umekuwa ukionya kuwa iwapo mataifa hayatochukua hatua za mapema kudhibiti taka zitokanazo na plastiki, huenda ulimwengu ukashuhudia idadi kubwa ya plastiki katika maziwa na bahari ukilinganisha na Samaki ifikapo mwaka 2050. Na Mariam…
5 Febuari 2024, 6:02 um
Taka, chupa za plastiki ni mali katika mazingira
Kwa mujibu wa redio Vatican inasena chupa za plastiki ambazo zilipaswa kutumika tena, lakini sehemu kubwa ya shehena za chupa inaishia kuwa ni taka zinazoendelea kutupwa na hivyo kuhatarisha maisha ya watu wengi duniani chupa hizi kamwe hazitaoza na zitaendelea…
18 Disemba 2023, 12:54
Kyela:Kinanasi kutunukiwa Uchifu wilaya ya Kyela
Mbunge wa jimbo la Kyela Ally Mlaghila Jumbe Kinanasi anatarajiwa kuvikwa uchifu na jumuaiya ya wazee wa kimila wilaya ya kyela katika tukio litakalofanyika desemba 28 mwaka huu. Na Masoud Maulid Umoja wa wazee wa kimila maarufu Machifu na wasaidizi…
29 Septemba 2023, 10:46
Tulia traditional dances festival yafana Mbeya
Mziki ni sehemu ya maisha maisha ya binadamu,jamii inasisitizqwa kuenzi na kufuatilia mziki wa asili ili kudumisha mila,destri na tamaduni Na Ezra Mwilwa Mstahiki meya wa jiji wa Mbeya Dormohamed Issa amewataka wananchi wa mkoa wa Mbeya kuyatumia maonesho ya…
Agosti 27, 2023, 8:28 um
Tuulinde Utamaduni wetu-Waziri Balozi Dkt. Pindi
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amesema utamaduni unaodumishwa katika Taifa umesaidia kudumisha Amani tofauti na Mataifa mengine.
Agosti 27, 2023, 7:58 um
Watanzania Tuenzi Mila na Desturi zetu-Mhe. Mkuchika
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Maalum Mhe. Kapt Mstaafu George Mkuchika ameiasa jamii kuenzi mila na desturi za Tanzania ambazo ndio utambulisho wa Taifa hilo ndani na nje ya nchi, na kuacha kuiga utamaduni usiofaa wa Mataifa mengine.
19 Julai 2023, 6:23 um
CHAMIJATA yaja na mikakati kuenzi tamaduni
Inadaiwa kuwa utandawazi ni moja ya njia inayopelekea mila na desturi za kiafrika kusahaulika, na watu wa tamaduni hizo kufuata mambo ya kigeni, hilo limewainua CHAMIJATA kusimama kidete katika kuzilinda tamaduni hizo. Na Kale Chongela- Geita Katika kuendelea kuboresha utamaduni…