
Siasa

20 November 2023, 8:10 pm
Opareshen peperusha bendera ilivyofana Kata Kayanga – Karagwe
Ziara ya oparesheni peperusha bendendera imelenga kuhamasisha masuala ya utawala bora, kuhamasisha kusajiliwa kwa njia ya elektronik, kuhamasisha uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2025 pamoja na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Ospicia Didace Viongozi wa Chama…

13 November 2023, 3:27 pm
Familia ya Mwansasu yawashukuru watanzania
Jamii imeshauriwa kuwaombea viongozi wa serikali ili waweze kuwatumikia kwa moyo Mh,Tulia akiwashukuru wana Rungwe kwa kumuombea kwenye shuguli za Serikali [picha na lennox mwamakula] RUNGWE.MBEYA Na Lennox mwamakula Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson…

10 November 2023, 16:17
Lulandala:Iweni walinzi na watetezi wa chama na serikali
katibu mkuu wa UVCCM Fakii Lulandala amewataka vijana wa UVCCM kuwa walinzi na watetezi wa chama na serikali katika utekelezaji wa maendelo kupitia ilani ya CCM. Wito huo ameeutoa katika ofisi za chama cha mapinduzi sokomatola jijini mbeya wakati akizungumza…

10 November 2023, 4:07 pm
Makonda azulu kaburi la JPM Chato
Ikiwa ni muendelezo wa ziara ya Makonda amezulu kaburi la Maguli leo hii. Na Mrisho Sadick- Geita Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Paul Makonda akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa, leo November 10, 2023…

10 November 2023, 3:59 pm
Makonda atua Chato, asema Rais Samia hana ubaguzi
Akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo Paul Makonda , leo November 10, 2023 amefika wilayani Chato na kuzungumza na wananchi. Na Mrisho Sadick- Geita Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na…

10 November 2023, 14:14
CCM yawaita wananchi kumpokea Dk.Tulia
mwandishi lameck Charles Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekamilisha maandalizi ya kumpokea Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini dokta Tulia Acksoni anayetarajia kuwasili kesho ikiwa ni siku chache tangu kiongozi huyo achaguliwe kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge…

7 November 2023, 12:55
Mwenyekiti UVCCM Mbeya awataka vijana kutumia fursa zinazotolewana serikali
Vijana mkoani Mbeya wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuzitumia fursa mbalimbali ambazo zinatangazwa na serikali kwa lengo la kujiletea maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Na Ezra Mwilwa Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mbeya Yassin Ngonyani…

4 November 2023, 17:39
CCM Mbeya wajipanga kumpokea Dk.Tulia
Mwandishi samweli ndoni Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mbeya imempogeza Spika wa Bunge Dk. Tulia Acksoni kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa umoja wa wabunge duniani (IPU).Dk, Tulia ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbeya…

4 November 2023, 17:26
CCM Mbeya yamtambulisha katibu mwenezi mpya
Mwandishi : samweli ndoni Chama Cha Mapiduzi (CCM) mkoa wa Mbeya kimemtambulisha katibu wa siasa na uenezi wa Chama hicho ngazi ya mkoa Christopher Uhagile, akichukua nafasi ya Bashiru Madodi ambaye amepangiwa majukumu mengine ya kichama. Akimtambulisha kwa waandishi wa…

27 October 2023, 10:04 pm
Anatropia Theonest aendelea kutatua changamoto za wananchi
Na Jovinus Ezekiel Jumla ya mifuko 40 ya saruji imetolewa na mbunge wa viti maalum mkoani Kagera Anatropia Theonest kwa lengo la kuwezesha ujenzi wa miradi ya zahanati ya Milambi na shule shikizi ya msingi Omukiyonza inayotekelezwa katika kata ya…