Radio Tadio

Siasa

13 Oktoba 2024, 12:01 um

Mavunde awatuliza wananchi mgodi wa Sota Sengerema

Mgodi wa dhahabu wa SOTA GOLD Mining uliopo kata ya Igalula wilayani Sengerema mkoani Mwanza unatarajiwa kuanza uzalishaji mwakani 2025, ambapo kwasasa wameaanza madalizi ya ujenzi wa Mgodi huo,ikiwemo kuwahamisha wananchi wenye maeneo yanayo pakana na eneo la mgodi huo.…

26/09/2024, 22:17

Mtoto (3) afariki dunia kwa kutumbukia kisimani Geita

Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu amefariki dunia kwa kutumbukia katika kisima baada ya kudaiwa kutoweka nyumbani na kisha kukutwa ndani ya kisimani. Na: Ediga Rwenduru – Geita Mtoto mwenye umri wa miaka mitatu aliyetambulika kwa jina la Junior Mussa…

24/09/2024, 19:26

Anastazia aliyevunjika mgongo bado anaomba msaada

Mkazi wa Geita na Tanzania tuungane kwa mara nyingine tena kuendelea kumsaidia Anastazia kwakuwa pesa ulizojitoa kumchangia nakupata nafasi ya kupata matibabu katika Hosptali ya Bungando Jijini Mwanza zimeisha namba ya msaada ni 0756397026. Na Mrisho Sadick: Siku zote hatuwezi…

19/09/2024, 00:16

Watu wawili wanusurika kifo kwa ajali mbaya ya ya pikipiki

Pichani ni umati wa watu wakiwa eneo la tukio.picha na Kale chongela. Katika hali ya kushangaza dereva pikipiki na dereva baiskeli wamegongana na kusababisha watu wawili kunusurika na kifo wakiwa katika shughuli zao za kila siku za kusafirisha abiria. Na…

7 Juni 2024, 09:11

Wawili wachomwa moto kwa tuhuma za wizi Shinyanga

Vijana wawili waliofahamika kwa majina ya Bahati Dotto na Emma wakazi wa manispaa ya Shinyanga wamepigwa na wananchi wenye hasira kali na kisha kuchomwa moto hadi kupoteza maisha wakituhumiwa kujihusisha na matukio ya wizi. Tukio hilo limeteokea jana mtaa wa…

5 Febuari 2024, 4:14 um

DC Mpanda: Waliofyekewa mahindi walipwe

“Chama Cha Mapinduzi hakipo tayari kuona baadhi ya wananchi wakidhurumiwa haki zao.Picha na Deud Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu wa itikadi na Uenezi Chama cha Mapinduzi  PAUL MAKONDA Amemuagiza mkuu wa wilaya ya…

5 Febuari 2024, 3:49 um

Makonda: Watendaji wazembe serikalini wanakiangusha chama

“Chama cha mapinduzi hakipo tayari kuona Wananchi wakiendelea kuteseka na kero zinzowakabili huku watendaji wa serikali wakitumia mianya hiyo kujinufaisha wenyewe bila kujali wananchi.Picha na Deus Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu itikadi uenezi…