Radio Tadio

Siasa

5 Febuari 2024, 4:14 um

DC Mpanda: Waliofyekewa mahindi walipwe

“Chama Cha Mapinduzi hakipo tayari kuona baadhi ya wananchi wakidhurumiwa haki zao.Picha na Deud Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu wa itikadi na Uenezi Chama cha Mapinduzi  PAUL MAKONDA Amemuagiza mkuu wa wilaya ya…

5 Febuari 2024, 3:49 um

Makonda: Watendaji wazembe serikalini wanakiangusha chama

“Chama cha mapinduzi hakipo tayari kuona Wananchi wakiendelea kuteseka na kero zinzowakabili huku watendaji wa serikali wakitumia mianya hiyo kujinufaisha wenyewe bila kujali wananchi.Picha na Deus Daud Na Festo Kinyogoto Mjumbe wa halamashauri kuu ya CCM taifa, katibu itikadi uenezi…

5 Febuari 2024, 12:23 um

Ccm yawaonya wasiofata taratibu

Chama cha mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro kimewataka baadhi ya wanachama ambao wamekuwa wakikiuka taratibu za chama kwa kuomba kura kwa wananchi kabla ya uchaguzi kuacha mara moja. Na Elizabeth Mafie Chama cha Mapinduzi (CCM ) mkoa wa Kilimanjaro kimetoa onyo…

16 Januari 2024, 12:16 um

Watendaji watakiwa kukaa ofisini Nyasura

Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia wananchi. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa watendaji wa serikali za mitaa kata ya Nyasura kukaa ofisini ili kutimiza adhma ya kuwahudumia…

8 Januari 2024, 16:02

Swebe: Nipo tayari, CHADEMA nitume popote nitakwenda

Baada ya kushinda kwa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha demokrasia na amaendeleo wilaya ya Kyela mwenyekiti mpya wa chama hicho Victoria Swebe amesema yuko tayari kukipigania chama hicho ili kitwae jimbo katika uchaguzi ujao. Na James Mwakyembe…

4 Januari 2024, 9:43 um

Wananchi watakiwa kujitokeza kutoa maoni marekebisho ya katiba

Wadau ,wanasiasa wa vyama vya upinzani pamoja na wananchi wamekua wakitoa maoni tofouti juu marekebisho katika miswada hiyo. Na Fred Cheti. Wito umetolewa kwa wananchi kushiriki ipasavyo kutoa maoni na mapendekezo katika Marekebisho ya Muswada wa Sheria za uchaguzi wa…