Siasa
07/07/2023, 19:33
ACT wazalendo walalamikia bendera zao kushushwa
Katibu wa ACT- Wazalendo amekuja juu na kutoa shutuma baada ya bendera kadhaa za chama chao kushushwa katika mitaa na barabara za mjini Geita, jambo lililopelekea Katibu wa chama hicho kuzungumzia hilo. Na Said Sindo- Geita Bendera za chama cha…
06/07/2023, 16:50
Uzinduzi kampeni za uchaguzi wa udiwani CCM Kilosa mgombea akabidhiwa ilani ya c…
Kutokana na kuachwa wazi katika kata mbalimbali Tanzania bara, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC ilitangaza kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata 14 utakaofanyika Julai 13 mwaka huu na kampeni zilianza tangu Julai mosi hadi Julai 12 mwaka…
4 Julai 2023, 14:27
Wanawake mkoani Mara watakiwa kuzingatia muda kujiletea maendeleo
Na Adelinus Banenwa Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Taifa kupitia umoja wa wanawake UWT Bi Joyce Mang’o amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwapeleka wanawake viongozi kupata mafunzo nchini China.
Juni 26, 2023, 7:20 mu
Viongozi vyama vya siasa, dini wafanya kikao kuelekea uchaguzi udiwani kata Kiny…
Viongozi wa Dini, Siasa na wazee maarufu wakiwa kwenye Kikao kuelekea uchaguzi mdogo wa Udiwani Kata ya Kinyika
Juni 23, 2023, 8:05 mu
Uchaguzi udiwani ndani ya CCM Kinyika wafanyika
Mwangalizi wa Uchaguzi ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mwenye Koti Jeusi Ndg. Award Mpandila akishuhudia mchakato wa maoni ndani ya chama Kata ya Kinyika
21 Juni 2023, 15:16
Chongolo: Watoto wasimamiwe waende shule
Chongolo amesema wakati watoto wanapokuwa mashuleni sio wakati wa viongozi kukaa ofisini badala yake wajipange na kuratibu kuhakikisha watoto wote wanajiunga na masomo na si vinginevyo. Na Bernadetha Mwakilabi. Katibu mkuu wa Chama Chama Mapinduzi CCM Ndugu Daniel Chongolo amewataka…
30/05/2023, 23:05
UWT Kilosa yatoa msaada mashuka ya wagonjwa kituo cha afya Kidodi
Katika juhudi za kuunga mkono juhudi za serikali kuboresha huduma za afya nchini , Umoja wa Wanawake Tanzania UWT wilaya ya Kilosa wametembelea kituo cha Afya Kidodi kuwafariji wagonjwa pamoja na kutoa misaada ya kijamii kama vile sabuni na mashuka…
26 Mei 2023, 10:26 mu
CHADEMA na Katiba Mpya kabla ya uchaguzi
KATAVI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kuwa kitaendelea kusimamia misingi ya chama hicho kwa kutetea haki, uhuru, na demokrasia kwa wanachama wa chama hicho na wananchi wa taifa kwa ujumla. Akiwahutubia wanachama wa chama hicho katika uzinduzi wa…
10/04/2023, 13:37
Waliotajwa kwenye ripoti ya CAG waachie ngazi
Waliotajwa katika ripoti ya CAG watakiwa kuachia ngazi za madaraka walizonazo kutokana na ubadhirifu walioufanya kabla ya kuchukuliwa hatua za kisheria. “Serikali imepata hasara kubwa kutokana na watumishi wenye nia ovu na kama Rais alishasema wapishe, kama chama cha mapinduzi…
20 Machi 2023, 5:02 um
Wananchi Katavi watoa maoni mseto miaka 2 ya Dkt. Samia
MPANDA Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani katavi wametoa maoni mseto ya uongozi wa Rais wa awamu ya sita Dr Samia Suluh Hassan baada ya kutimiza miaka miwili ya uongozi wake. Wakizungumza na kituo baadhi ya wananchi hao wametaja…