Radio Tadio

Nishati

1 Septemba 2024, 11:06

Tamasha la Red Scopion La vunja rekodi mkoani Mtwara

“Malengo yetu sisi ni kutambulika na chama cha soka mkoani Mtwara (MTWAREFA) pamoja na kuwa timu kubwa itakayo kuwa inashiriki mashindano mbalimbali ndani na nje ya mkoa wa Mtwara lakini pia kuwa timu ya kukuza na kuuza vipaji “ Na…

27/07/2024, 11:57

Maajabu ya simu ya ZTE Blade A34 kutoka Tigo

Kampuni ya mawasiliano nchini Tigo imeendelea kuboresha huduma zake kwa kuwafikia watanzania zaidi ya milioni 20 ambao wanaendelea kunufaika na huduma zao. Na: Ester Mabula – Geita Meneja wa Tigo mkoa wa Geita Willington Byekwaso amesema Tigo imeendelea kutoa ofa…

18 Julai 2024, 8:07 um

Waziri Nape aitaka jamii kutumia vizuri mitandao

Mkoa wa Mwanza inajengwa minara 50 ya mawasiliano na mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF itayowanufaisha zaidi ya wakazi 885,420 wa vijijini. Na: Elisha Magege Waziri wa Habari Mawasiliano na teknolojia Nape Nauye amewataka wazazi na walezi nchini kuwafundisha vijana…

13 Julai 2024, 05:18

Sangoma adaiwa kumbaka binti yake Mbeya

Katika hali ya kushangaza binti mmoja mkoani Mbeya anadaiwa kufanyiwa kitendo cha ukatili na mzazi wake wa kumzaa (Baba) kwa kudaiwa kufanya naye tendo la ndoa. Na Ezekiel Kamanga Masumbuko Sompo (51) mganga wa jadi mkazi wa kijiji cha Nyombwe…

11 Juni 2024, 19:00

Fedha za ununuzi wa pamba ni mkopo kutoka TADB

Chama kikuu cha KACU kimepokea mkopo wa shilingi bilioni tisa na milioni miatano kwa ajili ya kununua pamba kwa msimu wa 2024/2025 ambapo kinatarajia kununua pamba kilo milioni 6. Na Leokadia Andrew Chama kikuu cha ushirika KACU wilayani Kahama mkoani…

6 Juni 2024, 10:21

Wakulima wa zao la Pamba toeni ushirikiano bodi mpya KACU

tutaendelea kufanya kazi kwa ushirikiano ili kukiinua chama kikuu cha KACU pamoja na kutafuta fursa mbalimbali zitakazosaidia kuwainua wakulima Na Leokadia Andrew Wakulima wa zao la Pamba wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa ushirikiano kwa bodi mpya iliyochaguliwa ya chama…

27 Mei 2024, 23:11

Wananchi watakiwa kuhifadhi chakula

Wafanyabiashara wengi wamekuwa wakinunua mazao kwa bei ya chini hali inayosababisha wakulima kuuza chakula na kusahau kukihifadhi ya ajili ya msimu ujao. na Sebastian Mnakaya Wananchi wa halmashauri ya ushetu wilayani kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuhifadhi chakula ili kuepuka…

31 Januari 2024, 7:09 um

Serikali: Hali ya umeme nchini yaanza kuimarika

“Yalikuwa ni maelekezo ya mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhakikisha umeme unaimarika katika kipindi cha miezi sita” Na. Anthony Masai Serikali imesema hali ya upatikanaji wa nishati ya umeme nchini inaendelea kuimarika licha ya kuwepo kwa upungufu…