Radio Tadio

Nishati

8 June 2022, 3:10 pm

Nishati mbadala itaepusha uharibifu wa mazingira

Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kutumia nishati mbadala hali itakayosaidia kuepuka uharibifu wa mazingira hivyo kuchangia mabdailiko ya tabia ya nchi. Ushauri huo umetolewa na meneja wa mamlaka ya hali ya hewa kanda ya kati bwana Isdory Kilenga wakati akizungumza…

8 June 2022, 2:59 pm

Wakazi wa Pwaga waiomba Serikali huduma ya umeme

Na; Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Pwaga Wilaya ya Mpwampwa wameiomba Serikali kuwafikishia  huduma ya umeme. Wakizungumza na taswira ya habari wameleza changamoto hiyo imekuwa ya muda mrefu licha ya wao kujaribu kutuma maombi ya kuunganishiwa umeme. Mwenyekiti wa…

18 May 2022, 2:02 pm

Makaa ya mawe yatapunguza kutoweka kwa misitu

Na;Mindi Joseph. Shirika la utafiti wa viwanda limefanya utafiti wa matumizi ya Mkaa wa makaa ya mawe utakaotumika nyumbani ili kusaidia kupunguza utowekaji wa misitu. Taswira ya habari imezungumza na Mtafiti kutoka shirika la utafiti na maendeleo ya viwanda Tazania…

23 June 2021, 11:34 am

wanawake Dodoma wamshukuru rais Samia.

Na; Benard Filbert Baadhi ya wanawake jijini Dodoma wamemshukuru rais Mh.Samia Suluhu Hassan kufuatia ongezeko la idadi ya wanawake ambao wameteuliwa hivi karibuni katika nafasi ya wakuu wa Wilaya nchini.Wakizungumza na taswira ya habari wanawake hao wamesema kitendo cha rais…