Nishati
8 June 2022, 3:10 pm
Nishati mbadala itaepusha uharibifu wa mazingira
Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kutumia nishati mbadala hali itakayosaidia kuepuka uharibifu wa mazingira hivyo kuchangia mabdailiko ya tabia ya nchi. Ushauri huo umetolewa na meneja wa mamlaka ya hali ya hewa kanda ya kati bwana Isdory Kilenga wakati akizungumza…
8 June 2022, 2:59 pm
Wakazi wa Pwaga waiomba Serikali huduma ya umeme
Na; Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Pwaga Wilaya ya Mpwampwa wameiomba Serikali kuwafikishia huduma ya umeme. Wakizungumza na taswira ya habari wameleza changamoto hiyo imekuwa ya muda mrefu licha ya wao kujaribu kutuma maombi ya kuunganishiwa umeme. Mwenyekiti wa…
18 May 2022, 2:02 pm
Makaa ya mawe yatapunguza kutoweka kwa misitu
Na;Mindi Joseph. Shirika la utafiti wa viwanda limefanya utafiti wa matumizi ya Mkaa wa makaa ya mawe utakaotumika nyumbani ili kusaidia kupunguza utowekaji wa misitu. Taswira ya habari imezungumza na Mtafiti kutoka shirika la utafiti na maendeleo ya viwanda Tazania…
18 August 2021, 1:46 pm
Kukamilika kwa daraja la kiselu kutasaidi kukuza uchumi wa Sunya, Gairo na Kongw…
Na; Selemani Kodima. Kukamilika kwa ujenzi wa daraja la kiselu wilayani kiteto kunatajwa kusaidia kuchochea uchumi wa wakazi wa kata ya Sunya pamoja na wafanyabiashara wa maeneo ya Gairo na Kongwa. Akizungumza na Dodoma FM Diwani wa kata ya Sunya…
16 August 2021, 1:44 pm
Wakazi Mkoani Dodoma walalamikia kukosa taarifa juu ya mikopo ya asilimia kumi
Na;Yussuph Hans. Wakazi mkoani Dodoma wamelalamikia kukosa taarifa juu fursa ya mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na kila halmashauri nchini kwa vikundi vilivyosajiliwa vya vijana, wanawake na Watu wenye ulemavu. Wakizungumza na kitu hiki wakazi hao wamesema kuwa wanapata changamoto…
12 August 2021, 11:15 am
Zaidi ya Asasi 1000 zinatarajia kushiriki katika wiki ya Azaki 2021 jijini Dodom…
Na;Mindi Joseph . Zaidi ya Asasi 1000 zinatarajia kushiriki katika wiki ya azaki mwaka 2021 Jijini Dodoma ili kuleta uelewa wa mchango wa asasi za kiraia Nchini. Akizungumza mapema leo na waandishi wa habari Jijini Dodoma kwa niaba ya kamati…
9 August 2021, 1:46 pm
Maji yapelekea baadhi ya wakazi wa kata ya Nkuhungu kuyakimbia makazi yao
Na; Fedrick Lukasho. Wananchi wa kata ya Nkuhungu katika mitaa ya Mnyakongo ,Bochela, Mtube na Salama Jijini Dodoma wameiomba Serikali kutatua changamoto ya maji kutuama kwa muda mrefu katika makazi yao. Wakizungumza na Dodoma FM Radio kwa nyakati tofauti baadhi…
6 August 2021, 11:50 am
Madiwani wa Dodoma mjini watakiwa kuyaenzi mafanikio waliyo yakuta
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa madiwani wa kata zote za Wilaya ya Dodoma mjini kuyaenzi mafanikio waliyoyakuta katika jiji na namna yakuendeleza uchumi hasa katika zao la zabibu. Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma…
23 June 2021, 11:34 am
wanawake Dodoma wamshukuru rais Samia.
Na; Benard Filbert Baadhi ya wanawake jijini Dodoma wamemshukuru rais Mh.Samia Suluhu Hassan kufuatia ongezeko la idadi ya wanawake ambao wameteuliwa hivi karibuni katika nafasi ya wakuu wa Wilaya nchini.Wakizungumza na taswira ya habari wanawake hao wamesema kitendo cha rais…
3 June 2021, 12:11 pm
Wafugaji wilayani Chemba walia na changamoto ya kukosa soko la kuuzia mifugo yao
Na;Victor Chigwada. Wakulima na wafugaji wa Kata ya Farkwa katika Wilaya ya Chemba Mkoani Dodoma wameiomba Serikali kuwatatulia changamoto ya soko la mazao pamoja na majosho ili wafanye shughuli zao kwa tija. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema…