Radio Tadio

Nishati

14 April 2021, 12:04 pm

KIBAWASA kutekeleza mradi wa maji Kibaigwa

Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa  endapo mradi mpya wa maji ambao unatekelezwa katika mji mdogo wa Kibaigwa utakamilika utasiaidia kuondoa tatizo la maji kwa wakazi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na afisa uhusiano kutoka mamlaka ya maji Kibaigwa Water Sanitation…

13 April 2021, 1:16 pm

DUWASA kukabiliana na wezi wa maji Dodoma

Na; Mindi Joseph Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Binilith Mahenge ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira( Duwasa) kukabiliana na wezi wa maji na uvujifu wa maji pamoja na kuwachukulia hatua watumishi wa Duwasa wasio waminifu wanaochangia hasara…

13 April 2021, 12:35 pm

Nagulo Bahi wakabiliwa na changamoto ya kukosa Zahanati

Na; Selemani Kodima Licha ya mwongozo wa sera ya afya ya 2007 kuainisha kuwa kila Kijiji kitakuwa na Zahanati, hali ni tofauti katika Kijiji cha Nagulo Kata ya Bahi ambapo tangu kuanzishwa kwa Kijiji hicho hawajawahi kuwa na Zahanati. Taswira…

13 April 2021, 8:56 am

Mlebe walia na ukosefu wa maji na umeme kijijini hapo

Na ;Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Mlebe  Wilaya ya Chamwino wametoa shukrani  kwa wakala wa usimamizi wa barabarani vijijini TARURA  kwakupunguza adha ya ubovu wa barabara kijijini hapo. Wakizungumza na Taswira ya habari Wananchi hao wamesema kuwa wanaishukuru TARULA…