Radio Tadio
13 Aprili 2021, 08:56
Na ;Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Mlebe Wilaya ya Chamwino wametoa shukrani kwa wakala wa usimamizi wa barabarani vijijini TARURA kwakupunguza adha ya ubovu wa barabara kijijini hapo. Wakizungumza na Taswira ya habari Wananchi hao wamesema kuwa wanaishukuru TARULA…
12 Aprili 2021, 12:05
Na; Benard Filbert. Taasisi zinazojihusisha na upandaji wa miti katika kukijanisha jiji la Dodoma zimetakiwa kuhakikisha zinapanda na kufuatilia ili kujua maendeleo ya miti hiyo. Hayo yanajiri kufuatia taasisi mbalimbali kushiriki katika kampeni ya kukijanisha jiji la Dodoma kwa kupanda…