Nishati
20 Aprili 2021, 12:18
Sekondari ya Wotta kutatuliwa kero ya madawati
Na; Selemani Kodima Changamoto ya upungufu wa madawati katika shule ya Sekondari Wotta Wilayani Mpwapwa huenda ikapatiwa ufumbuzi baada ya kupatikana fedha za mfuko wa jimbo kiasi cha shilingi milioni moja na elfu thelathini na mbili. Baadhi ya wananachi wakizungumza…
20 Aprili 2021, 11:27
Migogoro ya ardhi yapelekea Ndachi kukosa huduma nyingi za Msingi
Na; Mariam Matundu Wakazi wa mtaa wa Ndachi jijini hapa wamekuwa na kilio cha muda mrefu juu ya migogoro ya ardhi pamoja na kukosekana kwa miradi ya maendeleo katika mtaa huo. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wananchi wa…
19 Aprili 2021, 05:41
Rais Samia awashukia wabunge kuhusu mijadala isio na tija kwa taifa
Na ; Mariam kasawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na mijadala inayoendelea bungeni ya kumlinganisha na mtangulizi wake, hayati John Magufuli. Akizungumza jana Jumapili Aprili 18, 2021 katika kongamano la viongozi wa dini, …
16 Aprili 2021, 12:42
Waandishi tumieni kalamu zenu kuhamasisha maendeleo ya Nchi.
Na; Benard Filbert. Wito umetolewa kwa waandishi wa habari nchini kutumia kalamu zao ili kuhamasisha maendeleo ya Nchi na si vinginevyo. Wito huo umetolewa na msemaji mkuu wa serikali na mkurugenzi wa idara ya habari maelezo Mh. Gerson Msigwa wakati…
16 Aprili 2021, 12:02
Wakazi Chilonwa waomba uongozi wa Chamwino kuhamisha Dampo ambalo limekuwa kero…
Na; Selemani kodima Dampo la kutupia taka lililopo katikati ya mpaka wa Kijiji cha Chamwino ikulu na Chilonwa Wilayani Chamwino limetajwa kuhatarisha afya za wananchi wa eneo hilo.. Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya habari kuzungumza na baadhi ya wakazi…
14 Aprili 2021, 12:04
KIBAWASA kutekeleza mradi wa maji Kibaigwa
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa endapo mradi mpya wa maji ambao unatekelezwa katika mji mdogo wa Kibaigwa utakamilika utasiaidia kuondoa tatizo la maji kwa wakazi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na afisa uhusiano kutoka mamlaka ya maji Kibaigwa Water Sanitation…
14 Aprili 2021, 11:32
Waislamu watakiwa kutumia kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani kujinyenyekeza kw…
Na;Yussuph Hans Wakati hii leo waumini wa dini ya Kiislamu wakianza mwezi mtukufu wa Ramadhan, wito umetolewa kwa waumini hao kujizuia kufanya mambo yote yaliyokatazwa na Mwenyezi Mungu ili kutimia kwa lengo la funga zao. Akizungumza na taswira ya Habari…
14 Aprili 2021, 09:48
Jamii imetakiwa kujali na kuwathamini watoto wanao ishi na kufanya kazi mtaani
Na Mariam Kasawa Imeelezwa kuwa mtoto anae ishi mtaani ana haki ya kupata haki zote za msingi kama anazopatiwa mtoto mwingine ili kumkinga na maovu. Akizungumza na Kapu kubwa la Dodoma fm Afisa ustawi wa jamii ngazi ya mtaani wa…
13 Aprili 2021, 13:16
DUWASA kukabiliana na wezi wa maji Dodoma
Na; Mindi Joseph Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk Binilith Mahenge ameitaka Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira( Duwasa) kukabiliana na wezi wa maji na uvujifu wa maji pamoja na kuwachukulia hatua watumishi wa Duwasa wasio waminifu wanaochangia hasara…
13 Aprili 2021, 12:35
Nagulo Bahi wakabiliwa na changamoto ya kukosa Zahanati
Na; Selemani Kodima Licha ya mwongozo wa sera ya afya ya 2007 kuainisha kuwa kila Kijiji kitakuwa na Zahanati, hali ni tofauti katika Kijiji cha Nagulo Kata ya Bahi ambapo tangu kuanzishwa kwa Kijiji hicho hawajawahi kuwa na Zahanati. Taswira…