Nishati
29 April 2021, 5:42 am
Miundombinu hafifu sera ya Elimu 2014
Na; Mariam Matundu. Wakati taasisi ya haki elimu ikitarajia kuzindua ripoti ya uchambuzi wa kina wa sera ya elimu leo April 29 ,miundombinu hafifu imetajwa kuwa kikwazo katika utekelezaji wa sera ya elimu ya mwaka 2014. Mwandishi wetu Mariam Matundu…
27 April 2021, 10:00 am
Changamoto ya Madawati shule ya sekondary Wotta yatatuliwa
Na; Seleman Kodima Wakazi wa kata ya Wotta wilayani Mpwapwa wameishukuru Dodoma fm redio kwa Juhudi ya kubwa walizofanikisha kuripoti tatizo la uhaba wa madawati ktika shule ya sekondari na hatimaye Changamoto hiyo kufanyiwa kazi . Hayo yamejiri baada ya…
26 April 2021, 7:03 am
Uongozi wa kata ya Mnadani waahidi kutatua kero ya barabara
Na; Alfred Bulahya Wananchi wa kata ya Mnadani jijini Dodoma wametakiwa kutoa ushirikiano pamoja na kuwa wavumilivu, wakati uongozi wa kata hiyo ukifanya jitihada za kutatua kero ya ubovu wa miuno mbinu ya barabara za mtaa ili kusaidia kufanikisha zoezi…
26 April 2021, 6:28 am
Wakazi Handali walalamikia kukosa mtendaji
Na, Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Handali Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma wametoa malalamiko yao ya kutokuwa na mtendaji hali inayochangia kurudisha nyuma maendeleo yao. Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa kukosekana kwa mtendaji…
23 April 2021, 10:24 am
Kusudio la Rais Samia la kukutana na viongozi wa vyama vya siasa litasaidia ku…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa azma ya rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu ya kukutana na viongozi wa vyama vya siasa Nchini itasaidia kuleta maelewano baina ya serikali na vyama vingine vya siasa. Akizungumza na Taswira ya…
22 April 2021, 11:25 am
Mlowa Bwawani kufikisha huduma ya maji katika maeneo yake ambayo hayajafikiwa
Na; Benard Filbert Kufuatia kukamilika kwa marekebisho ya mradi wa maji katika Kata ya Mlowa Bwawani Wilayani Chamwino, uongozi wa Kata umejipanga kufikisha huduma hiyo kwenye maeneo ambayo hayajafikiwa. Hayo yanajiri kufuati miezi kadhaa iliyopita mradi huo kushindwa kufanya kazi…
21 April 2021, 10:44 am
Jamii yatakiwa kutambua kuwa haki sawa katika malezi itapunguza ukatili wa kijin…
Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kuhakikisha inatoa haki sawa katika malezi kwa watoto wao wa kike na wakiume ili kuleta usawa wa kijinsia na kupunguza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Wito huo umetolewa na afisa ustawi wa jamii Dodoma Bi.Faudhia…
21 April 2021, 8:29 am
Hombolo walalamikia changamoto ya barabara inayopelekea vyombo vya usafiri kuhar…
Na ;Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Hombolo Makulu Wilaya ya Dodoma mjini wametoa kilio chao juu ya changamoto ya barabara ambayo huwa inaathilika kwa kipindi cha mvua na kusababisha kero kwa watumiaji Taswira ya habari imezungumza na Mwajuma Rashidi…
20 April 2021, 12:18 pm
Sekondari ya Wotta kutatuliwa kero ya madawati
Na; Selemani Kodima Changamoto ya upungufu wa madawati katika shule ya Sekondari Wotta Wilayani Mpwapwa huenda ikapatiwa ufumbuzi baada ya kupatikana fedha za mfuko wa jimbo kiasi cha shilingi milioni moja na elfu thelathini na mbili. Baadhi ya wananachi wakizungumza…
20 April 2021, 11:27 am
Migogoro ya ardhi yapelekea Ndachi kukosa huduma nyingi za Msingi
Na; Mariam Matundu Wakazi wa mtaa wa Ndachi jijini hapa wamekuwa na kilio cha muda mrefu juu ya migogoro ya ardhi pamoja na kukosekana kwa miradi ya maendeleo katika mtaa huo. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wananchi wa…