Radio Tadio

Nishati

27 March 2025, 9:54 am

Mbunge Kishimba ashauri mazao mengine kuongezwa KACU

Mbunge wa Jimbo la Kahama mjini Jumanne Kishimba akiwa anazungumza katika mkutano mkuu wa 29 wa KACU. (Picha na Sebastian Mnakaya) ”Wakulima wengi walioko kwenye chama kikuu cha ushirika wilaya ya Kahama (KACU) ni wa pamba na tumbaku, je, wanaolima…

24 March 2025, 3:58 pm

Wakulima wa tumbaku, pamba watakiwa kusimamia ubora

Wakulima wa zao la pamba na tumbaku wametakiwa kusimamia ubora wa mazao hayo kuanzia shambani hadi katika masoko. Sebastian Mnakaya Wakulima wa zao la pamba na tumbaku wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kusimamia vyema ubora wa mazao yao kuanzia katika…

11 March 2025, 15:11

REA yatoa majiko banifu kwa wanufaika TASAF Kasulu

Uhamasishaji na utoaji elimu endelevu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ni muhimu katika utekelezaji mpango wa serikali kwa mtanzania kutumia nishati hiyo ifikapo 2034 Na Hagai Ruyagila Serikali kuu kupitia Wakala wa Nishati Vijijini REA imetoa majiko banifu…

5 March 2025, 21:50

SDA,TASA, SSDM na tamasha la usawa wa kijinsia Mtwara

Kila ifikapo March 8 ya kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya Mwanamke Duniani dhamira ikiwa kutambua mchango mkuu unaotolewa na Mwanake katika jamii hivyo kuelekea siku hiyo shirika la SDA,TASA na SSDM wamefanikisha kupeleka ujumbe juu ya haki ,usawa na…

17 February 2025, 19:06

Simba SC yatua Mtwara, kuwakabili Namungo Feb 19 Ruangwa

Katika misimu miwili iliyopita simba sc haijawahi kushinda mchezo wowote wa ligi kuu katika uwanja wa Majaliwa dhidi ya Timu ya Namungo ,katika michezo miwili waliyocheza katika miimu hiyo miwili wameambulia kupata sare. Na Musa Mtepa Timu ya soka ya…

10 November 2024, 08:44

DC Mtwara azindua uchaguzi Ndile Cup

Huu ni msimu wanne wa  mashindano hayo ambayo yamekuwa yakijigeuza kila mwaka kutokana na matukio makubwa ya kitaifa   ambapo mwaka 2022 yalitwa Sensa Ndile Cup na mwaka yanajulikana na kama Uchaguzi Ndile Cup. Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya…