Maji
9 Machi 2023, 1:23 um
Siku ya Wanawake Duniani Katavi watakiwa kuondoa vikwazo kwa wanawake
KATAVI Kutokuwa na uhuru wa kushiriki katika shughuli za kimaendeleo,rushwa,na kutokujua sheria zimetajwa kuwa ni changamoto zinazowakabiri wanawake. Akisoma Risala , Bi. Chiku Peter na kuwawakilisha wanawake katika kusherehekea siku ya wanawake duniani iliyofanyika Machi 8 mwaka huu amesema kuwa …
9 Machi 2023, 1:08 um
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani, wanawake waaswa kupinga vitendo vya ukatili
KATAVI Katika kuelekea siku ya mwanamke Duniani march 8 mwaka huu ,Wanawake Mkoani Katavi wametakiwa kupinga vitendo vya uvunjifu wa maadili sambamba na vitendo ukatili kwa wanawake na watoto ili kuendelea kutengeneza jamii yenye maadili na usawa Hayo yamebainishwa na…
9 Machi 2023, 12:52 um
Kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wanafunzi waaswa kuripoti ukatili
KATAVI Katika kuelekea siku ya wanawake duniani wanafunzi wa kike katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameaswa kutoa taarifa kila waonapo ukatili wa kijinsia. Akisoma taarifa afisa maendeleo ya jamii manispaa ya mpanda bi Marietha Mlozi amesema wanaiadhimisha siku ya…
3 Machi 2023, 2:39 um
Wakaazi elfu 7,000 kunufaika na mradi wa maji Misisi-Zanzibar katika Halmashauri…
Zaidi ya watu 7,000 ambao ni wastani wa kaya 1000 wanatarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Misisi-Zanzibar katika Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara. Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Maji Bunda BUWASA, Esther Gilyoma wakati…
1 Machi 2023, 5:14 um
Nzelenze waiomba serikali huduma ya maji safi na salama
Hatua za kukabiliana na changamoto ya maji vijijini bado zinaendelea ili kuondokana na matumizi ya maji yaliyo tuama na visima vifupi ambayo ni hatari kwa afya za binadamu. Na Victor Chigwada Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya…
28 Febuari 2023, 4:58 um
Uzalishaji wa maji Dodoma waongezeka kwa asilimia 6.3
Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira imefanikiwa kupunguza upotevu wa maji kutoka wastani wa asilimia 39.1 na kufika asilimia 28.3 Disemba mwaka 2022. Na Selemani Kodima . Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira mkoani Dodoma DUWASA imetaja…
18 Febuari 2023, 10:07 um
Waziri mkuu ashuhudia utiaji saini Mradi wa Maji vijiji 55
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi wa maji utakaogharimu takribani shilingi bilioni 120 unaotekelezwa katika vijiji 55 vya wilaya za Ruangwa (vijiji 34) na Nachingwea (vijiji 21) mkoani Lindi. Amesema mradi huo ambao…
17 Febuari 2023, 4:19 um
Wizara ya Maji Yaikumbuka Ilalasimba
Ujenzi wa mradi huo wa bwawa la Ilalasimba katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa uliofanyiwa upembuzi yakinifu tangu mwaka 2018 sasa watarajiwa kujengwa. Na Hawa Mohammed. Zaidi ya shilingi bilioni mbili (2) zimetengwa na Wizara ya maji kwa ajili ya…
25 Januari 2023, 4:40 mu
Upatikanaji wa Maji Mlowa barabarani bado ni changamoto
Na; Victor Chigwada. Licha ya maboresho kufanywa katika kisima cha maji katika kata ya Mlowa barabarani lakini bado upatikanaji wa huduma ya maji katika kata hiyo unasuasua. Wananchi wa Kata ya Mlowa barabarani wamesema kuwa licha ya uwepo wa kisima…
21 Januari 2023, 10:13 mu
Wakazi wa Igungulile walazimika kutumia maji ya Mabwawa
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma ya Maji safi na salama imetajwa kuwa ni sababu ya Wananchi wa kijiji cha Igungulile wilayani Chamwino kutumia maji ya mabwawa. Mwenyekiti wa kijiji cha Igungulile Bw.Hamisi Msangi amesema changamoto ya maji imesababisha wananchi…