Radio Tadio

Jinsia

19 Machi 2026, 17:18

Manyara wafanyiwa uchunguzi wa afya ya kinywa na meno

Zadi ya wananchi 5000 katika Mkoa wa Manyara wamefanyiwa uchunguzi wa afya ya kinywa na meno ambapo kati yao 318 wamepatiwa matibabu ya kuzibwa meno, 191 wamesafishwa, zaidi ya 500 wamen’golewa meno, 14 wamefanyiwa upasuaji mdogo, 3 upasuaji mkubwa  na…

16 Machi 2026, 20:47

Ujenzi wa choo kusaidia wanafunzi kutojisaidia vichakani

Kutokana na uhaba wa matundu ya vyoo shuleni hapo, wanafunzi hao wenye mahitaji maalumu walikuwa wakilazimika kujisaidia sehemu zisizo salama kwa kuogoapa kuchangamana na wenzao. Na Mwandishi wetu Kufuatia wanafunzi wenye mahitaji Maalum katika shule ya Msingi Madaraka wilayani Butiama…

21/08/2025, 14:58

Msako madereva Bajaji wavunja sheria Geita

Oparesheni hiyo ni endelevu na inalenga kulinda usalama wa abiria na watumiaji wengine wa barabara Na Kale Chongela. Na Kale Chongela: Jeshi la Polisi kupitia kitengo cha usalama barabarani mkoani Geita limesema halitawafumbia macho madereva wanaovunja sheria za usalama barabarani…

8 Disemba 2023, 10:50 mu

Makala: Ukatili wa kijinsia ni kinyume na Haki za binadamu

Watoto wa kike kutoka jamii za kimaasai wanaeendelea kuwa wahanga wakubwa wa ukatili wa kijinsia Na Saitoti Saringe Kutokana na mila kandamizi katika jamii ikiwemo ukeketaji, kutopewa fursa ya elimu na kumiliki ardhi ni sababu kubwa inayopelekea watoto wengi kutoka…

20 Novemba 2023, 11:12

Ushiriki wa mwanamke kwenye nafasi za uongozi

Nimefarijika kuona jinsi gani wananchi wa Mkunwa na viongozi wao wapo tayari kuhakikisha kwamba wanawake wenye uwezo na vigezo wanaweza kushiriki katika nafasi mbalimbali za uamuzi. Na Musa Mtepa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umefurahishwa na Maendeleo ya Mradi wa…

19 Novemba 2023, 12:22

Ushirikiano wa wenza katika kumiliki mali

Na Leonard Mwacha. Hii leo tunaangazia umuhimu wa wenza kushirikiana katika umiliki wa mali. Mwenzetu Leonard Mwacha amefanya mazungumzo na mwanasheria na ameanza kumuuliza hali ikoje kwa wanawake kushirikishwa katika umiliki wa mali wa pamoja na wenza wao.

16 Novemba 2023, 15:13

Miaka 10 ya Tumbatu Fm, wenye ulemavu wathaminiwe

Radio ya jamii Tumbatu inaadhimisha miaka kumi tangu kuanzishwa kwake ambapo maadhimisho hayo yanaambatana na kufanya matendo ya huruma kwa jamii hasa wenye mahitaji maalum. Na Mwanahawa Hassan. Jamii imetakiwa kuishi vizuri na watu wenye ulemavu na kuwapatia mahitaji yao…

12 Oktoba 2023, 16:00

Wito: Wenza jadilianeni pamoja kuimarisha mahusiano

Wenza wametakiwa kuzungumza kwa pamoja changamoto wanazokutana nazo kwenye mahusiano ili waweze kupata msaada wa kutatua changamoto hizo. Na Mariam Ally Wakiongea na kituo hiki kupitia kipindi cha Busati la wenza wawezeshaji ngazi ya jamii kutoka katika kijiji cha Mwera…