Radio Tadio

Jamii

2 Febuari 2023, 4:35 um

Wadau Ihumwa waishukuru Dodoma fm

Wakiwa kwenye mahojiano leo Leornad Mwacha na Mdau kutokea Ihumwa ndugu Julius Chedego wamezungumza na mdau huyo kutoa shukrani zake juu ya radio hiyo. Na Martha Mgaya Mmoja wa wadau wa Dodoma fm Bwana Julius Chedego leo katika kipindi cha…

31 Januari 2023, 12:23 um

Hekima na busara, sababu ya amani msimbati

Jaji Mfawidhi wa Makahama Kuu ya Kanda ya Mtwara Mhe.Zainab Muruke amemtaja mzee Issa Mohamed Mkumba kuwa ni kinara wa kutatua changamoto za migogoro katika jamii bila kufikishana katika vyombo vya usuluhishi na Mahakama. Na Hamza Ally Mzee Mkumba amekua…

30 Januari 2023, 4:17 UM

Upendo Charity yaguswa na tatizo la Salma

Kikundi kinachosaidia watu wenye uhitaji kilichopo Wilayani Masasi,Mkoani Mtwara, kinachofahamika kama Upendo Charity kimeguswa na tatizo la mtoto Salma Pascha Machemba, mwenye umri wa miaka tisa (9) ambaye anaishi Kijiji cha Matekwe Majenanga, huko Nachingwea Vijijini. Salma ni mlemavu wa…

30 Novemba 2022, 18:07 um

Ufafanuzi juu ya adhabu za kujihusisha na Dawa za kulevya

Na Musa Mtepa, Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya imejipanga kuweka adhabu kali kwa watu wote wanaojihusisha  uuzaji na madawa ya kulevya ikiwemo  Walimaji na watumiaji wa Bangi nchini. Wakiwa kwenye Wiki ya Maadhimisho ya siku ya…

26 Novemba 2022, 6:17 mu

TRA Katavi wafanya usafi pamoja na kutoa msaada Kwa wagonjwa

MPANDA Katika kuadhimisha wiki ya Mlipa kodi Mamlaka ya ukusanyaji mapato [TRA] mkoani Katavi wametembelea hospitali mpya ya mkoa na kufanya usafi pamoja na kutoa msaada kwa wagonjwa. Akizungumza wakati wa zoezi hilo Meneja wa mamlaka ya ukusanyaji mapato mkoa…

Novemba 9, 2022, 10:12 mu

Wananchi Nyandekwa waunga juhudi za maendeleo

Wananchi wa vitongoji vya kigungumli na baseka vilivyopo nyandekwa  manispaa ya kahama mkoani shinyanga  wameungana kwa ajili ya kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika maendeleo kwa kuitisha harambee yenye lengo la ujenzi wa shule ya msingi. Hatua…