Jamii
2 Febuari 2023, 4:35 um
Wadau Ihumwa waishukuru Dodoma fm
Wakiwa kwenye mahojiano leo Leornad Mwacha na Mdau kutokea Ihumwa ndugu Julius Chedego wamezungumza na mdau huyo kutoa shukrani zake juu ya radio hiyo. Na Martha Mgaya Mmoja wa wadau wa Dodoma fm Bwana Julius Chedego leo katika kipindi cha…
31 Januari 2023, 12:23 um
Hekima na busara, sababu ya amani msimbati
Jaji Mfawidhi wa Makahama Kuu ya Kanda ya Mtwara Mhe.Zainab Muruke amemtaja mzee Issa Mohamed Mkumba kuwa ni kinara wa kutatua changamoto za migogoro katika jamii bila kufikishana katika vyombo vya usuluhishi na Mahakama. Na Hamza Ally Mzee Mkumba amekua…
30 Januari 2023, 4:17 UM
Upendo Charity yaguswa na tatizo la Salma
Kikundi kinachosaidia watu wenye uhitaji kilichopo Wilayani Masasi,Mkoani Mtwara, kinachofahamika kama Upendo Charity kimeguswa na tatizo la mtoto Salma Pascha Machemba, mwenye umri wa miaka tisa (9) ambaye anaishi Kijiji cha Matekwe Majenanga, huko Nachingwea Vijijini. Salma ni mlemavu wa…
11 Januari 2023, 2:35 um
Matumizi ya dawa za kulevya bado ni tatizo kwa baadhi ya maeneo Nchini
Na; Mariam Matundu. Taarifa ya Hali ya Dawa za Kulevya kwa mwaka 2021 iliyotolewa Juni 2022 na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imesema ingawa hakuna takwimu halisi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini waraibu…
4 Januari 2023, 8:19 mu
Anusurika kipigo baada ya kukutwa kwenye makazi ya watu bila ya nguo.
Na Mrisho Sadick: Mwanamke mmoja ambae hakufahamika jina lake Mkazi wa Mtaa wa Nyerere Road mjini Geita amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi wa mtaa wa Uwanja Kata ya Nyankumbu baada ya kukutwa nje ya makazi ya mtu akiwa mtupu akahisiwa…
31 Disemba 2022, 12:56 UM
Mkuu wa Wilaya Masasi amewataka wananchi kusherekea Sikukuu za Mwisho wa Mwaka k…
Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Bi. CLAUDIA KITTA, ametoa Rai kwa Wananchi wa Masasi katika kuelekea Sikukuu za Mwisho wa Mwaka za Krismasi na Mwaka Mpya kusherehekea kwa utulivu na amani. Pia amesisitiza na kuwahimiza wazazi na walezi kuwalinda watoto…
23 Disemba 2022, 7:50 MU
Mbunge wa Jimbo la Ndanda, Cecil David Mwambe , ameshiriki hafla ya mapokezi ya…
Mbunge wa Jimbo la Ndanda, Cecil David Mwambe, ameshiriki hafla ya mapokezi ya Majengo Kwa ajili ya Shule ya Sekondari Mpanyani. Majengo hayo yaligarimu sh 460m yamekamulika na tayari wanafunzi 160 waliochaguliwa kuingia kidato Cha kwanza wataanza kuyatumia Kuanzia January…
30 Novemba 2022, 18:07 um
Ufafanuzi juu ya adhabu za kujihusisha na Dawa za kulevya
Na Musa Mtepa, Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya imejipanga kuweka adhabu kali kwa watu wote wanaojihusisha uuzaji na madawa ya kulevya ikiwemo Walimaji na watumiaji wa Bangi nchini. Wakiwa kwenye Wiki ya Maadhimisho ya siku ya…
26 Novemba 2022, 6:17 mu
TRA Katavi wafanya usafi pamoja na kutoa msaada Kwa wagonjwa
MPANDA Katika kuadhimisha wiki ya Mlipa kodi Mamlaka ya ukusanyaji mapato [TRA] mkoani Katavi wametembelea hospitali mpya ya mkoa na kufanya usafi pamoja na kutoa msaada kwa wagonjwa. Akizungumza wakati wa zoezi hilo Meneja wa mamlaka ya ukusanyaji mapato mkoa…
Novemba 9, 2022, 10:12 mu
Wananchi Nyandekwa waunga juhudi za maendeleo
Wananchi wa vitongoji vya kigungumli na baseka vilivyopo nyandekwa manispaa ya kahama mkoani shinyanga wameungana kwa ajili ya kuunga juhudi za serikali ya awamu ya sita katika maendeleo kwa kuitisha harambee yenye lengo la ujenzi wa shule ya msingi. Hatua…