Radio Tadio

Habari

8 Januari 2024, 07:23

RC Mtanda awataka Nyatwali kuendelea na shughuli zao

Mkuu wa mkoa wa mara Mhe Said Mohamed Mtanda amewataka wakazi wa Nyatwali kuendelea na shughuli zao za kawaidi huku serikali ikiendelea kufanya ufuatiliaji wa wao kuhama. Na Adelinus anenwa Mkuu wa mkoa wa mara Mhe Said Mohamed Mtanda amewataka…

30 Disemba 2023, 08:16

Dereva afutiwa leseni, wawili mbaroni Songwe

Na mwandishi wetu,Songwe Kamanda wa Polisi Mkoa wa songwe Kamishna Msaidizi wa Polisi ACP Theopista Mallya Disemba 29, 2023 ameendelea na operesheni ya ukaguzi wa magari ya abiria kwenye barabara ya kwenda Mbeya Tunduma katika kituo cha ukaguzi wa magari…

27 Disemba 2023, 16:58

Wakazi wa Bicha Kondoa wahofia kuathirika na mafuriko

Wananchi wanaoishi pembezoni mwa mkondo wa maji wamekuwa wakisisitizwa kuhama maeneo hayo ili kuepuka athari ambazo zinaweza kuwapata ikiwemo ikiwemo mvua kubwa zinazoambatana na uharibifu wa mali na maisha ya watu. Na Nizar Mafita. Wananchi wa Mtaa wa Bicha katika…

27 Disemba 2023, 13:03

Aliyejeruhiwa na mamba Chrismas afariki: Bunda

Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki wakati akikibizwa hispitali ya mkoa Na Adelinus Banenwa Mmoja wa majeruhi wa tukio la kushambuliwa na mamba eneo la Mayoro kata ya Nyamihoro amefariki…

18 Disemba 2023, 15:46

Chama cha ushirika Kasulu chawachagua viongozi wapya

Chama cha Ushirika cha Umoja ni imani wilayani Kasulu mkoani Kigoma kimechagua uongozi mpya utakaodumu kwa miaka mitatu ukiongozwa na mwenyekiti wake Alfa Obed aliyechaguliwa kwa kura 106. Na, Hagai Luyagila Akizungumza na vyombo vya habari Afisa ushirika wa halmashauri…

12 Disemba 2023, 17:06

Bunda DC yamtunuku hati ya pongezi Meneja TARURA Bunda

Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Bunda limempatia hati ya pongezi Meneja TARURA wilaya ya Bunda Eng Baraka Mkuya. Na Adelinus Banenwa Baraza la Madiwani Halmashauri ya wilaya ya Bunda limempatia hati ya pongezi na fedha shilingi laki tano…