Habari
2 February 2023, 9:01 pm
Mkuu wa wilaya atoa agizo hili katika Sheria Pangani.
Na Saa Zumo kushirikiana na Erick Mallya Kauli mbiu ya wiki ya Sheria mwaka 2023 ni ‘Umuhimu wa Utatuzi wa Migogoro kwa Njia ya Usuluhishi Katika Kukuza Uchumi Endelevu: Wajibu wa Mahakama na Wadau.’ Mkuu wa wilaya ya Pangani Bi.…
31 January 2023, 12:07 pm
Wanawake washauriwa kukuza kipato cha familia
“Wanawake wa Mkoani Mtwara wameshauriwa kupambana katika kutafuta na kuongeza kipato cha familia na kuachana na tabia ya kuwaacha wanaume pekee katika kutekeleza majukumu ya Nyumbani.“ Na Mohamed Massanga Akizungumza na Jamii fm Radio Mwenyekiti wa kikundi cha ‘’LIYAKAYA WOMENI GROUP’’…
31 January 2023, 11:56 am
DAS Pangani atangaza hatua dhidi ya wazazi wasiochangia chakula Shuleni
Jumla ya wanafunzi 280 walifanya mitihani ya Darasa la Saba mwaka 2022 katika shule ya msingi Kipumbwi. Waliochaguliwa kujiunga na Elimu ya Sekondari ni 219 na ambao hawakufanikiwa kupata alama za kutosha kuendelea na elimu ya Sekondari ni 61. Na…
30 November 2022, 13:12 pm
Kujihusisha na kilimo cha Bangi, kifungo cha miaka 30 jela
Na Gregory Millanzi. Afisa sheria Mkuu wa Mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za Kulevya nchini, Christina Rweshabura amesema kuwa ukibainika kujihusisha na kilimo cha bangi na Mirungi , sheria inatoa kifungo cha miaka 30 jela. Rweshabura amesema kuwa,…
2 November 2022, 13:17 pm
Kamati ya Lishe ya Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara yafanya tathimini
Na Gregory Millanzi Kamati ya lishe ya Halmashauri ya Wilaya Mtwara jana Novemba 1, 2022 imefanya kikao cha tathmini na Mkataba wa Lishe wa Kata na Vijiji. Afisa lishe wa Halmashauri ya Wilaya Mtwara Bi. Magreth Tingo amewasilisha taarifa ya…
18 August 2022, 6:06 am
Mara: Viongozi wa dini,Vyama vya Siasa,Wazee wa mila na waandishi wa habari wat…
Viongozi wa dini,Vyama vya Siasa,Wazee wa mila na waandishi wa habari wameombwa kuunganisha nguvu na taasisi za Serikali kuhamasisha masuala ya Sensa ili watu wote waweze kujitokeza kuhesabiwa. Akitoa hamasa kwa makundi hayo Mkuu wa Mkoa wa Mara Meja Jenerali…
13 August 2022, 7:44 am
Jeshi la polisi Lindi lawadaka watu kumi kwa tuhuma za wizi na usafirishaji miha…
Jeshi la polisi mkoani Lindi linawashikilia watu kumi kwa tuhuma za wizi na usafirishaji mihadarati. Hayo yameelezwa na kamanda wa polisi wa mkoa (RPC) wa Lindi, Kamishna msaidizi wa polisi (ACP) Marco Chirya alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi…
1 August 2022, 9:31 am
Vijiji 20 Ludewa kusahau makali mgao wa umeme
Waziri wa Nishati, January Makamba ametoa ufumbuzi wa changamoto ya muda mrefu ya mgawo wa umeme wa masaa 12 kwa vijiji 20 vilivyopo Wilaya ya Ludewa, ambavyo vimekuwa vikipata umeme kutoka kampuni moja inayoendesha mradi mdogo wa umeme wa maji…
1 August 2022, 9:22 am
DC aagiza NIDA kuwafuata watu
Mkuu wa Wilaya ya Missenyi, Kanali Wilson Sakulo amewaagiza maofisa wote wanaohusika na idara ya kutoa vitambulisho vya taifa (NIDA), kuweka utaratibu wa kuwapelekea huduma karibu wananchi wa mipakani, ili kuwaondolea adha ya kusafi ri umbali mrefu. Kanali Sakulo, ametoa…
28 July 2022, 19:12 pm
Balozi wa Sweden atembelea Waandishi wa Habari Mtwara
Balozi wa Sweden 🇸🇪 nchini Tanzania Anders Sjöberg, leo julai 28,2022 ametembelea katika ofisi za Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) zilizopo katika jengo la Chama cha waalimu – CWT, mkoani humo. Balozi huyo amepokelewa na viongozi…