Habari za Jumla
10 Mei 2024, 5:30 UM
Mbunge wa jimbo la Masasi akabidhi vifaa tiba kituo Cha afya mtandi
Mbunge wa Jimbo la Masasi mjini,Geofrey Mwambe (CCM) ametoa vifaa tiba katika kituo cha Afya cha kata ya Mtandi halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara ili kuweza kuhimarisha upatikanaji wa huduma bora ya afya kwa wananchi wa kata hiyo, vifaa…
Mei 10, 2024, 2:49 um
Wananchi wachimba mashimo na kujisaidia kwa kukosa vyoo
Na Denis Sinkonde, Songwe Jumla ya kaya 128 kati ya 320 katka Kijiji cha Mkutano Wilaya ya Momba mkoani Songwe hazina vyoo, huku kaya 34 pekee ndizo zenye vyoo bora sawa na asilimia 17. Hayo yamebainishwa na Mganga Mkuu wa…
10 Mei 2024, 14:38
Madiwani watakiwa kusimamia miradi ya maendeleo
Miradi inakuwa kwenye maeneo yenu laikini hakuna hata anayejishughulisha kufuatilia kinachofanyika kwenye utekelezaji wa miradi na ndio maana tunakuwa miradi mingi ambayo haikidhi viwango. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu amewaagiza madiwani wa…
10 Mei 2024, 12:38
Ziwa Tanganyika kufungwa kwa miezi mitatu
Waziri wa mifugo na uvuvi Mh. Abdallah Ulega amesema shughuli za uvivi zitafungwa rasmi kuanzia may 15 hadi mwezi augost lengo ikiwa ni kulinda rasmali za ziwa tanganyika kuongeza. Na Orida Sayon – Kigoma Katika kutekeleza dhamira ya kulinda rasilimali…
Mei 9, 2024, 8:59 um
Waendesha baiskeli mapacha wafariki Shinyanga
“Tumepokea taarifa za kifo cha vijana wetu kwa masikitiko makubwa, wamefariki dunia kwa kugongwa na gari wakiwa watatu kwenye pikipiki. Inasikitisha sana watu waliozaliwa siku moja, wakafa siku moja, …tulikuwa tunawaandaa kwenda kushiriki mashindano nje ya nchi” Waendesha Baiskeli Mabingwa…
8 Mei 2024, 14:26
Vijana wa JKT kutumika katika uzalishaji mali
Vijana wanaomaliza mafunzo ya kijeshi wametakiwa kuendelea kutumia ujuzi wa uzalishaji mali ili kusaidia kuzalisha na kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani. Na Kadislaus Ezekiel – Kakonko Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Jocob Mkunda, amewataka vijana wanaohitimu mafunzo…
8 Mei 2024, 13:13
Wajasiriamali tumieni vitambulisho kupata mikopo
Serikali imewataka wajariamali kutumia vitambulisho vya ujasiriamali kama sehemu ya kuwawezesha kupata mikopo itakayowasaidia kujiendeleza kibiashara. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wajasiriamali wadogo wadogo wa halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali ambacho kitamsaidia kupata…
8 Mei 2024, 9:39 mu
Chama cha Mapinduzi chajivunia utekelezaji wa miradi Tanga
Miradi ya ujenzi wa barabara na majengo ya zahanati vituo vya afya na hospitali na maji yanalenga kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Cosmas Clement Chama cha Mapinduzi mkoa wa Tanga kimesema serikali ya chama hicho inaendelea kutekeleza miradi mbalimbalii…
7 Mei 2024, 11:50 um
Majiko banifu, kulinda misitu wilaya ya Pangani
Shirika la Uzima Kwa Sanaa (UZIKWASA) limeendesha mafunzo ya utengezaji wa majiko banifu kwa wajumbe 6 wa kamati za mazingira zisizopungua saba za wilaya ya Pangani ikiwa ni moja ya afua zake katika mradi wa mazingira na mabadiliko ya tabia…
7 Mei 2024, 8:13 um
Baraza la Biashara Kaskazini Unguja lahimizwa kushirikiana na wafanyabiashara
Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Rashid Hadidi Rashid amelishauri Baraza la biashara la mkoa huo kushirikiana na wafanyabiashara ili kukuza pato la taifa. Na Abdul-Sakaza na Juma Haji, Kaskazini Unguja Rashid ameyasema hayo leo ofisini kwake Mkokotoni wakati alipokutana na baraza…