Radio Tadio

Habari za Jumla

18 July 2024, 11:35 am

Nkigi: Abiria acheni uoga

Abiria mkoani Manyara wametakiwa kupaza sauti zao na kutokuwa waoga wanapoona kuna changamoto katika vyombo vya usafiri kama dereva kukimbiza gari kwa kutoa taarifa katika vyombo vya sheria ikiwemo jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani pamoja na chama cha…

11 July 2024, 5:10 pm

Tume huru ya uchaguzi yasisitiza ushirikiano Katavi

Jaji wa Mahakama Kuu  Asina Omari ambaye  ni mjumbe wa tume  .picha na Rachel Ezekia “Tayari halmashauri  na majimbo yameshapokea vifaa  kwa ajili ya zoezi la uboreshaji  wa daftari la mpiga kura”. Na Rahel Ezekia -Katavi Tume huru ya uchaguzi …

11 July 2024, 8:51 am

Wakulima kunufaika na soko jipya Rungwe

Katibu wa mbunge jimbo la Rungwe ndg Gabriel Mwakagenda akiongea na vyombo vya habari katika kukabiliana na changamoto ya masoko mbunge wa jimbo la Rungwe amesema kwamba serikali inatarajia kujenga soko la ndizi ili kuinua uchumi wa mkulima. RUNGWE-MBEYA Na…