Radio Tadio

Habari za Jumla

10 July 2024, 10:50 am

Aliyechoma picha ya Rais alipa faini

Ni takribani siku tano zimepita tangu mahakama ya wilaya ya Rungwe ilivyomtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani au kulipa faini ya shilingi milioni tano kijana Shadrack Chaula (24) sasa yupo huru baada ya kulipa faini. Na Ezekiel…

9 July 2024, 13:17

Askofu wa Anglikana Tanzania awanyoshea kidole wazazi

Wazazi na Walezi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma imeaswa kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kuwa viongozi bora wa baadae. Mhashamu baba askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania dayosisi ya western Tanganyika mkoani Kigoma Emmanuel Bwatta ametoa rai hiyo katika…

9 July 2024, 10:52 am

Sangoma aua wanafamilia Katavi kwa kudai wataacha pombe

Wananchi mbalimbali waliojitokeza katika mazishi .picha na George Rujuba watu wanatakiwa kuachana na imani za kishirikina kwani matukio kama hayo yanajitokeza kutokana na watu kutomjua Mungu Na john Mwasomola -Katavi Watu wawili wa familia moja wamefariki dunia mara baada ya…

9 July 2024, 12:15 am

Ujenzi wa nyumba Msomera wafikia asilimia zaidi ya 90

Katika juhudi za kuendelea kuboresha mazingira na kujenga nyumba za kutosha katika kijiji cha Msomera ili kuwezesha wananchi watakao hama kwa hiari kutoka hifadhi ya Ngorongoro wanapata sehemu nzuri yakuishi pamoja na mifugo yao sasa ujenzi wa nyumba umekamilika ni…