Radio Tadio

Habari za Jumla

December 3, 2024, 11:39 am

Veta Nyasa Fursa kwa kujiajiri

Chuo cha Ufundi Stadi Veta Nyasa kimefanya Mahafali yake ya kwanza mahafali yaliyofanyika hivi karibuni  katika Viwanja vya Chuo hicho na Mgeni Rasmi katika Mahafali hayo ni Mkuu Wa Wilaya ya Nyasa Mhe. Peres Magiri . kwenye picha ni mgeni…

3 December 2024, 06:48

CBE yapongezwa na serikali kutoa Elimu bora ya uchumi

Katika kuhakikisha vyuo vinaendelea kutoa Elimu bora Naibu Waziri wa viwanda na biashara Mheshimiwa Exaud Kigahe amepongeza juhudi zinazo fanywa na wakufunzi wa chuo cha elimu ya biashara nchini CBE. Na Kelvin Lameck Serikali imesema inatambua na kuthamini mchango wa…

2 December 2024, 10:00 am

‘Fani ya habari si kikwazo kwa wanawake’

kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi kuwanyima fursa watoto wa kike kusoma fani ya habari kwa kisingizio haina maadili kwa kundi hilo, jambo ambalo si sahihi na kukmkosesha uhuru wake kielimu.

25 November 2024, 9:59 am

Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa michezoni

Michezo ni moja kati ya fursa ambazo zinaifanya jamii kujikomboa na hali ngumu ya kimaisha ambazo zimekuwa zikitukabili katika jamii zetu Na Mwiaba Kombo Nimatumaini yangu hujambo mpenzi wa 97.4 Micheweni Fm nikukaribishe katika Makala maalum ambapo kwa siku ya…

15 November 2024, 7:40 pm

Bahi walia kero ya maji chumvi

Na. Anselima Komba. Wananchi Wilayani Bahi Wameiomba Serikali kutimiza ahadi ya kutatuliwa kwa kero ya maji chumvi kwa kuwaunganishai maji baridi kutoka katika kata ya Ibihwa. Baadhi ya wanachi wanasema Serikali kupitia wizara ya maji iliwaahidi kutatua adha ya maji…

15 November 2024, 7:40 pm

Jifunze  kumlinda mtoto dhidi ya ukatili

Na Lilian Leopold   Jamii inakabiliwa na tatizo la uelewa kufahamu vitendo vya ukatili ambavyo mtoto hapaswi kufanyiwa. Hidaya Kaonga, Wakili na Mratibu wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu Mkoani Dodoma amebainisha mambo  ambavyo yananyima haki ya msingi kwa…