Habari za Jumla
23 Febuari 2025, 07:50
Baba adaiwa kutoweka na mtoto wake wa miezi Saba
Katika Hali isiyo ya kawaida Baba anadaiwa kutoroka na mtoto wa miezi Saba, kwa madai ya MKE ametoa mwimba kwa njia za kishirikina. Na Ezekiel Kamanga Mariam Omary Said(21) mkazi wa Mabatini Jijini Mbeya anamtafuta mwanawe Muzdalifa Adamu Hinju jinsi…
22 Febuari 2025, 7:43 um
Walemavu wasioona kilombero wakumbukwa
“Sisi Watu wenye ulemavu kwa muda mrefu hatujakumbukwa ila tunashukuru kwa huyu mdau Issa Vitus Lipagila kwa kutushika mkono sasa tutafanikisha shughuli zetu kwa kuepuka kupata ajali zisizokuwa za lazima[“Walemavu wasioona Na Elias Maganga Walemavu wasioona Kilombero wamepatiwa msaada wa…
21 Febuari 2025, 07:10
Mufindi FM yashika namba 3 kwa kulipa kodi
na Jumane Bulali Mufindi FM Radio 107.3 imeshika nafasi ya tatu Kwa kulipa Kodi Kwa wakati na kwa usahihi Kwa upande wa Vyombo vya Habari vya Mkoa wa Iringa. Mufindi FM imepewa tunzo hiyo maalumu baada ya kutambuliwa na Mamlaka…
20/02/2025, 16:55
Kyela:Mkaguzi atumwa kafundo,milioni 3 hazionekani zilipo
Katika hali ya kushangaza serikali ya halmashauri ya wilaya ya kyela imeagiza mkaguzi wa hesabu za serikali kufika katika kijiji cha kafundo kutokana na harufu ya ubadhilifu wa fedha za wananchi. Na Masoud Maulid Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya…
19/02/2025, 20:14
Mama Samia Legal Aid yafikia wananchi zaidi ya millioni1
Na Loveness Daniel Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni ubunifu wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliolenga kuongeza wigo wa upatikanaji haki kwa wananchi wasio na uwezo wa kumudu…
Febuari 18, 2025, 6:26 um
watano wafariki dunia katika bwawa lililochimbwa na mkandarasi
Tukio limetokea Febuari 15 katika kijiji hicho na kuhusisha watoto wanne wa kike wa familia mbili tofauti ambao walikuwa wakiogelea katika bwawa hilo Na Salvatory Ntandu Wakazi watano wa Kijiji cha Bulige Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamefariki dunia kwa kuzama…
18 Febuari 2025, 5:47 um
Atupwa jela miaka 3 kwa kuwang’ata wenzie-Sengerema
Matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi wilayani Sengerema yanazidi kushika kasi, ambapo mtu mmoja amehukumiwa miaka 3 kwa kosa la kujeruhi watu wa wili na meno. Na;Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi…
15/02/2025, 21:58
Aweso aungana na waumini wa dini ya kiislamu Pangani kwenye maulid
Maulid hiyo imefanyika tarehe 14 february 2025 sawa na mwezi kumi na tano shaban kwa mwaka wa kiislamu ikienda sambamba na kufunga masomo. Na Hamisi Makungu Waumini wa Dini ya Kiislamu na watanzania wote wamehimizwa kujifunza na kuziishi tabia njema…
14 Febuari 2025, 6:15 um
Adakwa akijifanya mwanajeshi JWTZ Simiyu
Hapa chini ni taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu iliyotolewa leo Feb, 14, 2025
13 Febuari 2025, 11:22 mu
Sungusungu asababisha kifo cha mwananchi
amefariki baada ya kupigwa na Sungusungu kwa tuhuma za kushukiwa anajishughulisha na vitendo vya wizi. Na Betold Chove -Katavi Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu amekemea vitendo vya Wananchi kujichukulia sheria mkononi, hali inayopelekea uvunjifu wa amani na kuhatarisha…