Habari za Jumla
12 Disemba 2024, 3:51 um
Maswa:Ukatili wa kijinsia watajwa kupungua
Wadau na wanaharakati wa haki za binadamu Duniani na Nchini Tanzania wameendelea na harakati za kuhakikisha kuwa usawa kwa wote unafikiwa,licha yakuwepo na wimbi la taarifa za ukatili wa kijinsia unaoripotiwa kwenye maeneo mengi Nchini na Duniani kwa ujumla. Na,…
9 Disemba 2024, 2:42 um
Sengerema imepanda miti 500 kumbuukumbu ya miaka 63 ya uhuru
Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 kutoka kwa mkoloni mwingereza, ikikabbidhiwa kwa mwl. julius K.Nyerere akiwa kama waziri mkuu wa kwanza mtanganyika na badae rais wa kwanza wa taifa hilo,na leo imetimia miaka 63 tangu kupatikana kwa uhuru huo. Na;;Elisha Magege…
Disemba 9, 2024, 9:19 mu
Majengo ya WFP Isaka Kahama yakabidhiwa serikali
Shirika la chakula duniani World Food Programme (WFP) limekabidhi kwa serikali majengo na ardhi iliyokuwa ikitumia katika Kata ya Isaka Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yenye ukubwa wa hekari saba sawa na kilomita za mraba 29,450. Na Paschal Malulu-Huheso FM KAHAMA…
8 Disemba 2024, 10:14 um
Kuelekea miaka 63 ya uhuru Sengerema yafanya usafi hospitali ya wilaya
Hivi karibuni waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alielekeza maadhimisho ya miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania yafanyike Kwa ngazi za Mikoa na Wilaya, kwa kufanya shughuli za kijamii zikiwemo upandaji miti, usafi wa mazingira katika maeneo ya kijamii…
6 Disemba 2024, 19:11
Wazazi watakiwa kutowaozesha wanafunzi badala yake wawaendeleze kielimu
Kutokana na baadhi ya watoto kushindwa kufanya vizuri katika masomo yao katika ngazi ya Elimu ya msingi na sekondari wazazi waazwa kuto kuwaozesha bari wawapatie nafasi ya kwenda kusomea fani mbalimbli katika vyuo vya kati na vyuo vikuu. Na Hobokela…
6 Disemba 2024, 18:47
DSW yatoa mafunzo kwa Vijana,walimu na watalaamu wa afya chunya
katika kuhakikisha sauti za vijana zinasikika ili kutokomeza ukatili wa kijinsia na kuwapatia huduma rafiki kwa afya ya vijana viongozi wa shirika la DSW Tanzania wamewakutanisha vijana,walimu na wataalamu wa afya Chunya mkoani Mbeya. Na Lukia Chasanika Vijana,walimu na wahudumu…
4 Disemba 2024, 8:19 um
Katavi:halmashauri zatakiwa kulipa madeni ya wafanyabiashara
“halmashauri zimekuwa zikidaiwa madeni hayo kwa muda mrefu bila mafanikio“ Na Samwel Mbugi-Katavi Wafanyabiashara mkoa wa Katavi wailalamikia serikali kutolipa madeni kwa wakati wanayodaiwa na baadhi ya wafanyabiashara ambao wanazidai halmashauri Hayo yamesemwa na Aman Mahellah mwenyekiti wa jumuiya ya…
4 Disemba 2024, 8:16 um
Katavi:Wafanyabiashara wadogo(machinga) wahitaji elimu kuhusu vitambulisho vyao
Wafanyabiashara mkoa wa katavi waomba elimu ya vitambulisho vya wamachinga iendelee kutolewa ili waweze kujua sifa na faida za kitambulisho hicho. Hayo yamesemwa katika kikao cha pili cha baraza la wafanyabiashara mkoa wa Katavi killichofanyika katika ukumbi wa ofisi za…
3 Disemba 2024, 7:57 um
Wadau wa Mradi wa Dhibiti Malaria (PMI) wamaliza ziara ya elimu wilayani Ruangwa
Na Mwanne Jumaah Wadau wa Mradi wa Dhibiti Malaria (PMI) wamemaliza ziara ya kutoa elimu dhidi ya ugonjwa wa malaria katika kata za Mandarawe, Malolo, Chienjele, Mnacho, na Nandagala zilizopo wilayani Ruangwa, mkoani Lindi, jana, tarehe 02 Desemba 2024,Ziara hii…
Disemba 3, 2024, 11:39 mu
Veta Nyasa Fursa kwa kujiajiri
Chuo cha Ufundi Stadi Veta Nyasa kimefanya Mahafali yake ya kwanza mahafali yaliyofanyika hivi karibuni katika Viwanja vya Chuo hicho na Mgeni Rasmi katika Mahafali hayo ni Mkuu Wa Wilaya ya Nyasa Mhe. Peres Magiri . kwenye picha ni mgeni…