Habari za Jumla
December 3, 2024, 11:39 am
Veta Nyasa Fursa kwa kujiajiri
Chuo cha Ufundi Stadi Veta Nyasa kimefanya Mahafali yake ya kwanza mahafali yaliyofanyika hivi karibuni katika Viwanja vya Chuo hicho na Mgeni Rasmi katika Mahafali hayo ni Mkuu Wa Wilaya ya Nyasa Mhe. Peres Magiri . kwenye picha ni mgeni…
3 December 2024, 06:48
CBE yapongezwa na serikali kutoa Elimu bora ya uchumi
Katika kuhakikisha vyuo vinaendelea kutoa Elimu bora Naibu Waziri wa viwanda na biashara Mheshimiwa Exaud Kigahe amepongeza juhudi zinazo fanywa na wakufunzi wa chuo cha elimu ya biashara nchini CBE. Na Kelvin Lameck Serikali imesema inatambua na kuthamini mchango wa…
2 December 2024, 10:00 am
‘Fani ya habari si kikwazo kwa wanawake’
kumekuwa na changamoto kwa baadhi ya wazazi kuwanyima fursa watoto wa kike kusoma fani ya habari kwa kisingizio haina maadili kwa kundi hilo, jambo ambalo si sahihi na kukmkosesha uhuru wake kielimu.
26 November 2024, 16:05 pm
Shirika la ADEA laendelea na mafunzo kwa mafundi seremala Mtwara
Na Mwanahamisi Chikambu Katika muendelezo wa mafunzo ya sanaa katika kituo cha makumbusho cha MAKUYA kilichopo chini ya shirika la ADEA mtaa wa Sinani, Manispaa ya Mtwara Mikindani, Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi ya ADEA, Said Chilumba, amewataka vijana ambao ni…
25 November 2024, 10:41 am
Wanahabari waaswa kuhamasisha wanawake kushiriki katika michezo
Mwanahabari ni mtu yeyote yule ambae nafanya kazi ya uandishi wa habari kwa kukusanya,kutayarisha na kusambaza taarifa aidha anaweza kufanya kazi hiyo akiwa ameajiriwa ikiwa ni gazeti redio au kituo cha televisheni au wa kujitegemea akiuza kazi zake kama vile…
25 November 2024, 9:59 am
Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa michezoni
Michezo ni moja kati ya fursa ambazo zinaifanya jamii kujikomboa na hali ngumu ya kimaisha ambazo zimekuwa zikitukabili katika jamii zetu Na Mwiaba Kombo Nimatumaini yangu hujambo mpenzi wa 97.4 Micheweni Fm nikukaribishe katika Makala maalum ambapo kwa siku ya…
24 November 2024, 22:27
Wakristo watakiwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa Novemba 27, 2024
Ikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa wananchi wametakiwa kuchagua viongozi wenye sifa ya uongozi. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya…
20 November 2024, 6:06 pm
Katavi:wazazi,walezi watakiwa kulinda na kutetea haki za watoto
Wazazi na walezi mkoani Katavi wametakiwa kulinda na kutetea haki za watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mpanda radio fm ikiwa leo ni siku ya maadhimisho ya watoto duniani inayo fanyika kila mwaka tarehe 20…
15 November 2024, 7:40 pm
Bahi walia kero ya maji chumvi
Na. Anselima Komba. Wananchi Wilayani Bahi Wameiomba Serikali kutimiza ahadi ya kutatuliwa kwa kero ya maji chumvi kwa kuwaunganishai maji baridi kutoka katika kata ya Ibihwa. Baadhi ya wanachi wanasema Serikali kupitia wizara ya maji iliwaahidi kutatua adha ya maji…
15 November 2024, 7:40 pm
Jifunze kumlinda mtoto dhidi ya ukatili
Na Lilian Leopold Jamii inakabiliwa na tatizo la uelewa kufahamu vitendo vya ukatili ambavyo mtoto hapaswi kufanyiwa. Hidaya Kaonga, Wakili na Mratibu wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu Mkoani Dodoma amebainisha mambo ambavyo yananyima haki ya msingi kwa…