Radio Tadio

Habari za Jumla

13 December 2024, 12:04 pm

Wafanyabiashara soko la Lwamgasa watoa ombi kwa Serikali

Lwamgasa ni miongoni mwa kata 37 zilizopo katika halmashauri ya wilaya ya Geita ambapo shughuli kuu inayofanyika katika kata hiyo ni uchimbaji wa madini ya dhahabu. Na: Paul William – Geita Wafanyabiashara mbalimbali katika soko kuu la kata ya Lwamgasa…

12 December 2024, 3:51 pm

Maswa:Ukatili wa kijinsia watajwa kupungua

Wadau na wanaharakati wa haki za binadamu Duniani  na Nchini Tanzania wameendelea na harakati za kuhakikisha kuwa usawa kwa wote unafikiwa,licha yakuwepo na wimbi la taarifa za ukatili wa kijinsia unaoripotiwa kwenye maeneo mengi Nchini na Duniani kwa ujumla. Na,…

December 9, 2024, 9:19 am

Majengo ya WFP Isaka Kahama yakabidhiwa serikali

Shirika la chakula duniani World Food Programme (WFP) limekabidhi kwa serikali majengo na ardhi iliyokuwa ikitumia katika Kata ya Isaka Wilayani Kahama mkoani Shinyanga yenye ukubwa wa hekari saba sawa na kilomita za mraba 29,450. Na Paschal Malulu-Huheso FM KAHAMA…

6 December 2024, 18:47

DSW yatoa mafunzo kwa Vijana,walimu na watalaamu wa afya chunya

katika kuhakikisha sauti za vijana zinasikika ili kutokomeza ukatili wa kijinsia na kuwapatia huduma rafiki kwa afya ya vijana viongozi wa shirika la DSW Tanzania wamewakutanisha vijana,walimu na wataalamu wa afya Chunya mkoani Mbeya. Na Lukia Chasanika Vijana,walimu na wahudumu…

4 December 2024, 8:19 pm

Katavi:halmashauri zatakiwa kulipa madeni ya wafanyabiashara

“halmashauri zimekuwa zikidaiwa madeni hayo kwa muda mrefu bila mafanikio“ Na Samwel Mbugi-Katavi Wafanyabiashara mkoa wa Katavi wailalamikia serikali kutolipa madeni kwa wakati wanayodaiwa na baadhi ya wafanyabiashara ambao wanazidai halmashauri Hayo yamesemwa na Aman Mahellah mwenyekiti wa jumuiya ya…