Habari za Jumla
14 Juni 2025, 10:24 mu
Wanaume watakiwa kusimama imara kulifanya kanisa kuwa na umoja
Kanisa linahitaji wanaume wa kutosha na wenye moyo thabiti wa kulitunza kanisa la Mungu. Na Emmanuel Kamangu Wanaume wa kanisa katoliki parokia ya mrubona jimbo katoliki la kigoma wametakiwa kuwa kielelezo cha kanisa ikiwemo kusimama imara katika kulifanya kanisa kuwa…
14 Juni 2025, 10:19 mu
Tabasamu akabidhi mil.10 kwa bodaboda Sengerema
Mai 19 waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassimu Majaliwa alikuwa na ziara wilayani Sengerema ya kukagua miradi na kusikiliza kero za wananchi ambapo bodaboda waliiomba serikali kuwasaidia fedha ili kutimiza malengo yao ya kununua koster kwa ajili…
Juni 14, 2025, 10:17 mu
Wakulima Karagwe waaswa kufuata kanuni bora za kilimo
Wakulima wa mpunga skimu ya MWISA wilayani Karagwe mkoani Kagera wamepatiwa elimu juu ya kutumia kanuni bora za kilimo ikiwemo kupima afya ya udongo ili kuweza kunufaika na kilimo chao na kukuza uchumi wao. Na :Anold Deogratias Wakulima wilayani Karagwe…
Juni 14, 2025, 10:09 mu
Wanafunzi Mbogwe wasomea chini ya miti
Shule ya msingi Mtakuja kata ya Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita ina wanafunzi wapatao elfu 1 lakini vyumba vya madarasa havitoshi kulingana na idadi ya wanafunzi. Na Samwel Masunzu- Geita Wanafunzi wa darasa la tano na la sita katika shule…
Juni 14, 2025, 10:09 mu
Sungusungu waaswa kudumisha amani ya nchi
Sherehe za miaka 43 ya Sungusungu mjini Shinyanga zimefanyika mjini Shinyanga kwenye Kata ya Iselamagazi huku wakiaswa kulinda amani ya nchi Na Neema Nkumbi Jeshi la Jadi la Sungusungu Wilaya ya Shinyanga Vijijini Juni 12, 2025 limeadhimisha miaka 43 tangu…
13 Juni 2025, 12:01 um
Wajasiriamali wa kilindi wapewa majiko ya gesi ili kuongeza usalama wa mazingira…
Pichani, wa kwaza kulia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja Bibi Mariam Said Khamisi akikabidhi majiko kwa kina mama wajasiriamali wa Nungwi Wilaya ya kaskazini “A”. Picha na Juma Haji. “Ujio wa majiko ya gesi utalinda afya za akina mama…
12 Juni 2025, 5:42 um
Simbachawene hakuna rushwa kubwa wala ndogo wote wanamakosa
“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo kahuna rushwa kubwa wala ndogo nendeni tukawahudumia wananchi walio na changamoto za kunyanyaswa na watu wanaotumia madaraka kwa kuwakandamiza watu ambao walitakiwa wapewe haki hakuna aliye mkubwa zaidi ya sheria na katiba ya…
12 Juni 2025, 5:01 um
Ofisi ya Msajili wa Hazina yaleta ufanisi Zanzibar
Na Mary Julius. Chama Cha Wanunuzi vitu chakavu Zanzibar wamesema kumekuwa na ufanisi mkubwa wa huduma za minada tangu kuazishwa Ofisi ya Msajili wa Hazina na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi. Hayo…
12 Juni 2025, 3:16 um
Tanesco Yahamasisha Wananchi Kutumia Vifaa vya Kisasa vya Kupikia kwa Umeme –…
Katika Maonesho ya Pili ya Madini ya Mkoa wa Lindi (Lindi Mining Expo 2025), Meneja wa TANESCO Mkoa wa Lindi, Bw.Theodory Hall amewataka wananchi kuachana na matumizi ya mkaa na kuni na badala yake kutumia vifaa vya umeme vya kisasa vya kupikia kama…
12 Juni 2025, 3:05 um
Tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi
Na Loveness Josefu“Wananchi tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi na kuzingatia ulaji unaofaa” Hayo yamebainishwa na Mkuu wa mkoa Wa Lindi Mhe. Zainabu Telack leo 12 Jun 2025 katika mbio za ridhaa zilizofanyika asubuhi mapema kwa kuianza siku ya pili…