Radio Tadio

Habari za Jumla

26 May 2025, 12:43

Maonesho ya biashara, viwanda na kilimo yafana Mbeya

Dkt Juma Homera. Picha na Samwel Mpogole Mkuu wa Mkoa amewataka wananchi kushiriki maonesho ili waweze kunufaika na fursa lukuki. Na Samwel Mpogole. Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) Mkoa wa Mbeya imeandaa maonesho makubwa ya kibiashara yaliyoanza Mei…

24 May 2025, 8:25 pm

Wananchi wa Mwamashindike walia na ubovu wa barabara

“Sekta ya miundombinu ya barabara ni Moja kati ya ajenda muhimu Sana kwa ustawi wa jamii yetu maana ndiyo inayotumika kusafirishia mazao mbalimbali kutoka huko kijijini kuja sehemu za masoko lakini ikitaka kufungua uchumi wako lazima Kwanza ufungue barabara zako…

24 May 2025, 15:29

Kada CCM ajitosa kuvaa viatu vya Dk Tulia Mbeya

Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 baadhi ya makada kupitia vyama vyao vya siasa wameanza kutangaza nia zao kuwania nafasi mbalimbali ikiwemo udiwani,ubunge na urais.‎‎ Na Ezra Mwila ‎‎ Kada wa chama cha mapinduzi na mwandishi wa habari mkoani Mbeya Charles…

23 May 2025, 7:18 pm

Mashirikiano ndiyo nguzo ya kufanikisha malengo ya serikali

Wilaya ya Kati. Kuwepo kwa mashirikiano mazuri katika Taasisi za Umma ni chachu ya kufika malengo waliojiekea katika kuwaletea maendeleo Wananchi.Mkuu wa Wilaya ya Kati Cassian Gallos Nyimbo ameyasema hayo wakati wa makabidhiano ya Ofisi kwa mkurugenzi mpya w Baraza…

21 May 2025, 4:31 pm

Ekari 20 za mazao zafyekwa na wafugaji Kiteto

Wakazi wa kijiji hicho wameiomba serikali kutafuta njia mbadala ili wafugaji hao wapate sehemu za malisho. Na Kitana Hamis.Zaidi ya Ekari 20 za shamba lenye mazao ya mahindi na alizeti za kulima Twalib Shaban zimefyekwa na wafugaji wa jamii ya…

19 May 2025, 3:12 pm

Matukio ya wizi yakomeshwa,ulinzi shirikishi watajwa

Ulinzi shirikishi katika mtaa wa Mpadeco kata ya Makanyagio manispaa ya Mpanda mkoani Katavi umetajwa kuwa moja ya njia inayosaidia kutokomeza matukio ya kihalifu Wakizungumza na Mpanda Redio FM baadhi ya wananchi wa mtaa wa Mpadeco wamesema kuwa ulinzi shirikishi…