Habari za Jumla
27 Agosti 2025, 5:57 um
Ndalichako achukuwa fomu tena kulitetea Jimbo la Kasulu Mjini
Prof. Joyce Ndalichako asindikizwa na umati wa wanachama kuchukua fomu za kugombea ubunge Jimbo la Kaulu Mjini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM kwa awamu ya pili 2025-2030 baada ya kumaliza awamu ya kwanza mwaka 2020-2025 na kuahidi mazuri…
25 Agosti 2025, 12:58 um
DC Nyasa afunga mafunzo ya jeshi la akiba
Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya Jeshi la akiba yaliyoanza rasmi tarehe 9 Aprili,2025 yakiwa na Wanafunzi 16 Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya…
22 Agosti 2025, 7:32 um
Miundombinu hafifu kudhoofisha shughuli za uzalishaji mali Kasulu
Miundombinu katika kata ya Buhoro Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu imetajwa kuwa ni sababu inayopelekea vijana wengi kushindwa kutekeleza ipasavyo majukumu yao ya uzalishaji mali jambo linalosababisha kukosa maendeleo katika eneo hilo. Na; Paulina Majaliwa Baadhi ya vijana katika kata…
22 Agosti 2025, 1:16 um
Maabara ya utafiti wa madini yaanza kujengwa Geita
Ujenzi wa maabara ya madini Geita ni miongoni mwa maabara za utafiti wa madini kubwa tatu zinazojengwa nchini Tanzania Na: Ester Mabula Kutokana na changamoto ya wachimbaji wa madini kutoka mikoa ya kanda ya ziwa kusafiri umbali mrefu hadi Dodoma…
20 Agosti 2025, 11:25 um
Ofisi ya GIZ yazinduliwa Katavi
“ofisi hiyo itatumika na wadau mbalimbali katika kutekeleza mradi unaolenga kutatua changamoto mbalimbali hasa za uhifadhi wa maji“ Na Anna Milanzi -KataviShirika lisilo la kiserikali kutoka nchini Ujerumani GIZ limezindua ofisi yake katika jengo la Mpanda Plaza manispaa ya Mpanda…
20 Agosti 2025, 8:39 um
Wananchi Tabora watakiwa kuwabaini wasiojua kusoma na kuandika
Wilson Makala Wananchi mkoani Tabora wametakiwa kushirikiana na Serikali kuwabaini watu wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuwawezesha kupata elimu ya watu wazima na usaidizi wa kitaaluma, hatua itakayoongeza idadi ya watu wenye elimu ya ´K tatu´ yaani kusoma, kuandika…
18 Agosti 2025, 23:50
Tuanzie Nyumbani Kuleta Tumaini Jipya kwa Elimu Vijijini Ruangwa
Ruangwa, Lindi Katika harakati za kuhakikisha watoto wa vijijini wanapata haki yao ya msingi ya elimu, Umoja wa Wadau wa Elimu Wilaya ya Ruangwa (UWERU) imeanza rasmi kuitekeleza kampeni ya “Tuanzie Nyumbani” yenye lengo la kuelimisha jamii juu ya umuhimu…
17 Agosti 2025, 12:22 um
TMDA yabaini uwepo wa bidhaa bandia ya dettol za maji
Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA)imebaini uwepo wa bidhaa ya Dettol za maji bandia zinazotengenezwa kinyume cha sheria kwa njia haramu na kubandikwa lebo kuonesha ni dettol zilizo halisi. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na Fm Manyara, Meneja wa TMDA…
17 Agosti 2025, 1:44 mu
Askofu Mwijage asisitiza haki kwanza kabla ya Amani
Viongozi na wananchi katika jamii wameaswa kutanguliza na kutenda haki kwanza ili kuweza kupata Amani na kuleta utulivu katika jamii hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Na Anold Deogratias Mhashamu Baba Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba, Jovitus Mwijage amesisitiza…
16 Agosti 2025, 12:59 um
Kodi zahatarisha biashara mpaka wa Tunduma
Wafanyabiashara Tunduma waomba serikali kuboresha mfumo wa kodi mpakani ili kurahisisha biashara na kuongeza ushindani. Na Emmanuel Mkondya Wafanyabishara wa Tunduma wameiomba kuweka mifumo rafiki ya kodi katika mpaka wa Tanzania na Zambia ili waweze kunufaika na bishara ya mpakani…