Habari za Jumla
14 Julai 2025, 12:25
Wafanyabiashara Mashujaa wagusa mioyo Isupilo, Makalala
Kujitoa kwa jamii ni kitendo cha kiugwana kinachoonyesha upevu wa kimaadili na upendo wa kweli. Ni tendo ambalo lina nguvu ya kubadilisha maisha ya watu, kuvunja mnyororo wa mateso na kuleta tumaini mahali palipojaa giza. Na Marko Msafiri Katika kuadhimisha…
12 Julai 2025, 8:02 mu
Sun King kuajiri vijana zaidi ya 300
Kampuni ya Sun king licha ya kujihusisha na masuala ya nishati mbadala imekuwa ikitengeneza ajira kwa vijana kama njia ya kuiunga mkono serikali kukabiliana na changamoto ya ajira hapa Nchini Na Katalina Liombechi Kampuni ya Sun King, inayojishughulisha na huduma…
Julai 11, 2025, 11:30 um
Wanaohujumu miundombinu ya maji Kagera kuchukuliwa hatua
Wanunuzi wa vyuma chakavu na mafundi bomba mkoani Kagera wametakiwa kutoa ushirikiano na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Bukoba (BUWASA) ili kuwabaini watu wanaoiba na kuharibu miundombinu ya maji. Na.Avitus Kyaruzi Mamlaka ya maji safi na usafi…
11/07/2025, 22:53
TMDA yawaonya wananchi kuuza dawa sehemu za minada
Wafanya biashara wa dawa za mifugo mkoani Manyara wametakiwa kuacha Tabia ya kuuza dawa hizo katika minada au sehemu ambayo haitambuliwi na serikali kwani dawa hizo zinakuwa zimepoteza ubora na ufanisi. Na Mzidalfa Zaid Wito huo umetolewa Leo na afisa…
11/07/2025, 21:52
Mwenge wa uhuru kutembelea miradi ya zaidi ya shilingi billion 10 Babati
Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda, amesema Mwenge wa Uhuru 2025 utatembelea na kukagua miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Shilingi Bilioni 10 katika Halmashauri zote mbili za Wilaya ya Babati Babati Mji na Babati…
11/07/2025, 19:02
Nini sababu ya wanawake kushindwa kujitokeza kugombea?
Je nini hasa sababu inayopelekea wanawake mkoani Geita kuwa na mwitikio mdogo wa kujitokeza katika kugombea nafasi za uongozi?? Karibu kusikiliza makala maalumu ambayo imeangazia suala hili kwa kina zaidi. Muandaaji ni Ester Mabula na Amon Mwakarobo
9 Julai 2025, 09:51
Wananchi wapewa elimu kujikinga na majanga ya moto Kigoma
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Kigma limewataka wananchi kuendelea kuchukua hatua za kukabiliana na majanga ya moto ambayo yanaweza kujitokeza katika maeneo yao. Na Esperance Ramadhan Baadhi ya Wananchi Mkoani Kigoma wamepatiwa elimu ya kuzima moto pindi linapotokea tatizo…
08/07/2025, 14:47
CUF yawasha moto Pemba wagombea wa maslahi binafsi kupigwa chini
Na Is-haka Mohammed. Chama cha Wananchi CUF kimedhamiria kufanya tathmini ya kina ya wagombea watakaosimamishwa katika nafasi mbalimbali za uongozi, kwa lengo la kuhakikisha wanachaguliwa viongozi wenye sifa ya uzalendo na utayari wa kuwatumikia wananchi, si kwa maslahi binafsi.Akizungumza katika…
7 Julai 2025, 7:42 um
DC Mpanda wekeni akiba ya chakula
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Bei zimepanda niwaombe tukumbuke kuweka akiba ya chakula” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewahimiza wananchi kutunza chakula hususani katika kipindi hiki cha mavuno ambapo…
6 Julai 2025, 5:58 um
TAMESOT yalitaka baraza la tiba asili kudhibiti waganga matapeli
Kila zinapowadia nyakati za uchaguzi mkuu hapa nchini kunakuwa na ongezeko la matukio ya uhalifu yanayohusishwa na imani za kishirikina ikidaiwa kuwa ni kutekeleza maelekezo ya waganga wa tiba asili maarufu kama waganga wa kienyeji Na Theophilida Felician, Bukoba Chama…