Habari za Jumla
16 Juni 2025, 11:43 um
NSSF Manyara yatoa siku 14 kwa waajiri wadaiwa sugu
Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii(NSSF)mkoa wa Manyara unatarajia kuanzisha operesheni maalumu ya ukusanyaji wa madeni kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango ili kuhakikisha haki za msingi za wananchama zinalindwa Na Mzidalfa Zaid Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya…
16 Juni 2025, 9:47 UM
Maadhimisho ya mtoto wa Afrika wazazi wakumbushwa wajibu wao
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi Na Lilian Martin Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na…
16 Juni 2025, 6:16 um
Wanawake Pemba waombwa kujitokeza na kuepuka makosa ya uchaguzi uliopita
Na Is-haka Mohammed Wakati vyama mbali mbali vya siasa vikiwa vinaendelea na michakato mbali mbali ikiwemo ya kupata wagombea watakao viwakilisha vyama hivyo katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu 2025, wanawake Kisiwani Pemba wameombwa kutorejea makosa yao ya kila mwaka…
16 Juni 2025, 17:17 um
Wakulima wa ufuta, korosho wahama chama
Wakulima wa mazao ya ufuta na korosho wa kijiji cha Imekuwa wamekuwa wakipambana uanzishwaji wa chama cha ushirika tangu mwaka 2023 bila mafanikio kwa kile kinachoelezwa kutokidhi vigezo vya unazishaji wake Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa mazao ya…
Juni 14, 2025, 4:22 um
Wito watolewa kwa wananchi kukata hatimiliki za ardhi
Afisa ardhi wa halmashauri ya mji Kasulu Pesha Jackson ameeleza bado kuna mwitikio mdogo kwa wananchi ndani ya halmashauri ya mji Kasulu katika swala la ukataji wa hatimiliki ukilinganisha na viwanja vyenye sifa ya kukatiwa hati na kuwaomba wananchi kuendelea kujitokeza…
14 Juni 2025, 15:46
Somabiblia wawatoa msaada kwa wahitaji
Kampuni ya soma Biblia imefikisha miaka kumi katika kuadhimisha miaka hiyo wametembelea jeshi la magereza Rwanda Mbeya kuwatazama wafungwa na kutoa msaada wa vitu mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Wadau na taasisi mbalimbali wameombwa kutowatenga wahitaji badala yake wanatakiwa kujenga utamaduni…
14 Juni 2025, 3:24 UM
Kufikia adhima ya tani laki 7 kwa 2025-2026 maafsa ugani wapigwa msasa
Mtafiti wa kilimo akitoa maelezo Katika kuifikia adhima ya serikali ya kuongez uzalishaji wa zao la kotosho kwa mwaka 2025-2026 hadi kufikia tani millioni 1 kwa mwaka 2029-2030 maafsa ugani wapewa mafunzo yatakayoleta tija kwa wakulima Na Lilian Martin Maafsa…
14 Juni 2025, 12:41 um
Faida za kulima bustani ya mbogamboga nyumbani
Na. Theresia Damas & Abdunuru Shafii Makala hii inaangazia umuhimu wa kulima bustani ya mbogamboga nyumbani katika eneo dogo. Je unafahamu umuhimu wa bustani ya mbogamboga nyumbani ama laah? sikiliza makala hii inayo somwa na Linda Dismas
14 Juni 2025, 12:15 um
Wazazi/walezi msiwatelekeze watoto
Meneja wa Mpanda radio FM Denis Mkakala. Picha na Samwel Mbugi “Tumekuja kuwasalimia watoto na kuwaletea zawadi” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wa mkoa wa Katavi wameshauriwa kuhakikisha wanasimamia misingi ya malezi bora ya kulea watoto na si kuwatelekeza.…
Juni 14, 2025, 10:56 mu
Madereva wa magari waonywa kuegesha vibaya Mnadani
Wito huo umetolewa na mkaguzi wa magari kutoka Jeshi la polisi wilayani Kasulu Koplo Fadhili Ndege wakati akiongea na Buha FM Radio akiwa sokoni hapo juu ya namna madereva wa magari wanavyopaki wakati wanapakia mizigo kwa ajili ya kuisafirisha sehemu…