Radio Tadio

Habari za Jumla

28 May 2025, 4:47 pm

Jamii yatakiwa kuachana na imani potofu kuhusu saratani ya damu

Na Mary Julius. Jamii imetakiwa kuachana na imani potofu zinazohusiana na watu wanaopungukiwa damu mara kwa mara kwa kudhani kuwa wamerogwa au wana majini, na badala yake kuwahisha hospitalini ili kupata uchunguzi wa kitabibu.Akizungumza na Zenji FM, ikiwa ni maadhimisho…

27 May 2025, 20:11

Waandishi Watakiwa Kutumia kwa Uangalifu Akili Mnemba.

Kufuatia kuibuka kwa matumizi ya teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence – AI), waandishi wa habari wametakiwa kuwa waangalifu katika kutumia teknolojia hiyo, ili kuepuka kusambaza taarifa zisizo sahihi Na Samwel Mpogole Waandishi wa Habari wa Radio za kijamii wametakiwa…

May 26, 2025, 12:49 pm

Mamba kitoweo kwa jamii ya Nyasa

Wakati maeneo mengine wanamuona mamba kama mnyama mkali lakini sivyo kwa wilaya ya nyasa ambako baadhi ya sehemu amefanywa kitoweo na wahusika kufurahia ladha yake Na Mussa ndonde Hayo yameelezwa  na wananchi wa kijiji cha nangombo kitongoji cha tembwe kinachopitiwa…