Habari za Jumla
5 June 2025, 9:15 am
DC Maswa atahadharisha Madiwani figisu za Ununuzi wa Pamba
Diwani ni haki yake kufanya biashara ya Ununuzi wa Pamba kwasababu pamba siyo shughuli ya Halmashauri kwahiyo hakuna mgogoro wa kimasirahi kwa diwani kununua Pamba, Lakini sitavumilia Diwani atakayefanya hujuma katika ununuzi wa Pamba mimi Nitakuning’iniza tu “Mhe Dkt Vicent…
4 June 2025, 8:25 pm
TAKUKURU yabaini milioni 26 kuliwa na viongozi wa AMCOS Simiyu
“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo lazima kwa nguvu zote viongozi waipinge rushwa maana leo utaona kuna watu wachache wasiokuwa waadilifu wanatumia turufu ya uongozi wao kupora haki za watu kujilimbikizia mali ambazo ni wizi na kuwanyima watu ambao…
4 June 2025, 18:57
TAKUKURU yahimiza waandishi kupambana na Rushwa wakati wa uchaguzi
Waandishi wa habari wamehimizwa kushiriki katika mapambano dhidi ya Rushwa hasa Taifa linapoelekea katika uchaguzi mkuu Na Samwel Mpogole Taaisisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa mbeya imewataka waandishi wa habari kushirikiana nao bega kwa bega, hasa…
4 June 2025, 5:24 pm
Wakulima 1,000 wanufaika na mbegu na dawa za kudhibiti wadudu Zanzibar
Na Mary Julius.Waziri wa Kilimo,Umwagiliaji,Maliasili na Mifugo Shamata Shaame Khamis amesema Wizara kwa kupitia Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (ZARI) imeweza kutoa taaluma za udhibiti kwa wataalamu na wakulima ambapo jumla ya wataalamu 18 na wakulima 240 walipatiwa mafunzo ya…
May 30, 2025, 1:24 am
Kiongozi wa UMWAPIKI atoa tamko kanuni za usalama Barabarani
Mwenyekiti wa maafisa usafirishaji katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameonywa juu ya matumizi ya sahihi ya barabara ili kuepuka ajali ambazo zinaweza kujitokeza kutokana na uvunjifu wa sheria za barabara. Na: Irene Charles Maafisa usafirishaji abilia kwa njia ya Pikipiki…
28 May 2025, 4:47 pm
Jamii yatakiwa kuachana na imani potofu kuhusu saratani ya damu
Na Mary Julius. Jamii imetakiwa kuachana na imani potofu zinazohusiana na watu wanaopungukiwa damu mara kwa mara kwa kudhani kuwa wamerogwa au wana majini, na badala yake kuwahisha hospitalini ili kupata uchunguzi wa kitabibu.Akizungumza na Zenji FM, ikiwa ni maadhimisho…
28 May 2025, 4:21 pm
Nafasi ya mwanamke katika uongozi inavyosaidia kuondoa mila potofu katika jamii
Karibu usikilize makala maalum inayohusu nafasi ya mwanamke katika uongozi inavyosaidia kuondoa mila potofu katika jamii kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika october mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Makala hii imezungumza na viongozi wanawake, viongozi wa mila, wanawake pamoja na wanaume…
May 28, 2025, 1:26 pm
Wakazi wa mtaa wa Kilimani Bunda Mji walalamika kuharibika kwa daraja
Wakazi wa Mtaa wa Kilimani Halmashauri ya wilaya ya Bunda wameomba Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA), kutengeneza daraja la barabara ya kilimani karibu na stendi mpya liloharibika kutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni. Wakizungumza na Bunda FM Radio…
27 May 2025, 20:11
Waandishi Watakiwa Kutumia kwa Uangalifu Akili Mnemba.
Kufuatia kuibuka kwa matumizi ya teknolojia ya akili mnemba (Artificial Intelligence – AI), waandishi wa habari wametakiwa kuwa waangalifu katika kutumia teknolojia hiyo, ili kuepuka kusambaza taarifa zisizo sahihi Na Samwel Mpogole Waandishi wa Habari wa Radio za kijamii wametakiwa…
May 26, 2025, 12:49 pm
Mamba kitoweo kwa jamii ya Nyasa
Wakati maeneo mengine wanamuona mamba kama mnyama mkali lakini sivyo kwa wilaya ya nyasa ambako baadhi ya sehemu amefanywa kitoweo na wahusika kufurahia ladha yake Na Mussa ndonde Hayo yameelezwa na wananchi wa kijiji cha nangombo kitongoji cha tembwe kinachopitiwa…