Habari za Jumla
13 June 2025, 12:01 pm
Wajasiriamali wa kilindi wapewa majiko ya gesi ili kuongeza usalama wa mazingira…
Pichani, wa kwaza kulia ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kaskazini “A” Unguja Bibi Mariam Said Khamisi akikabidhi majiko kwa kina mama wajasiriamali wa Nungwi Wilaya ya kaskazini “A”. Picha na Juma Haji. “Ujio wa majiko ya gesi utalinda afya za akina mama…
12 June 2025, 5:42 pm
Simbachawene hakuna rushwa kubwa wala ndogo wote wanamakosa
“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo kahuna rushwa kubwa wala ndogo nendeni tukawahudumia wananchi walio na changamoto za kunyanyaswa na watu wanaotumia madaraka kwa kuwakandamiza watu ambao walitakiwa wapewe haki hakuna aliye mkubwa zaidi ya sheria na katiba ya…
12 June 2025, 5:01 pm
Ofisi ya Msajili wa Hazina yaleta ufanisi Zanzibar
Na Mary Julius. Chama Cha Wanunuzi vitu chakavu Zanzibar wamesema kumekuwa na ufanisi mkubwa wa huduma za minada tangu kuazishwa Ofisi ya Msajili wa Hazina na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi. Hayo…
12 June 2025, 3:16 pm
Tanesco Yahamasisha Wananchi Kutumia Vifaa vya Kisasa vya Kupikia kwa Umeme –…
Katika Maonesho ya Pili ya Madini ya Mkoa wa Lindi (Lindi Mining Expo 2025), Meneja wa TANESCO Mkoa wa Lindi, Bw.Theodory Hall amewataka wananchi kuachana na matumizi ya mkaa na kuni na badala yake kutumia vifaa vya umeme vya kisasa vya kupikia kama…
12 June 2025, 3:05 pm
Tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi
Na Loveness Josefu“Wananchi tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi na kuzingatia ulaji unaofaa” Hayo yamebainishwa na Mkuu wa mkoa Wa Lindi Mhe. Zainabu Telack leo 12 Jun 2025 katika mbio za ridhaa zilizofanyika asubuhi mapema kwa kuianza siku ya pili…
11 June 2025, 19:40
Watu wenye ulemavu Songwe waja naombi
kutokana na kuwepo kwa mashindano ya watu wenye ulemavu ngazi ya Taifa timu wa walemavu mkoa wa Songwe wameomba wadau mbalimbli kuwaunga mkono ili waweze kushiriki mashindano hayo. Na Ezra Mwilwa Timu ya soka ya walemavu wanaume mkoani Songwe wameomba…
11 June 2025, 6:34 pm
CAG aibua hoja za kisera Mlimba
Mapendekezo ya hoja hizo ni kuendelea kuomba watumishi wa sekta mbalimbali na kufanya ufuatiliaji wa namna ya kupunguza changamoto za miundombinu ya elimu na afya Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Adam Malima amesema hoja nyingi…
11 June 2025, 10:37 am
NGO’s zatakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano
Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamefanya mkutano wa pamoja katika kuweka mikakati yakufanya kazi kwa pamoja na kubainisha changamoto zao kwenye uongozi wa wilaya ya Hai Na Henry Keto. Hai-Kilimanjaro Mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kukaa pamoja kuweka mikakati yakufanya…
10 June 2025, 11:02
TACOGA 1984 yaongeza ujuzi kwa washauri wa wanafunzi
TACOGA 1984 yaweka mkazo kwa ushauri rafiki na wa kisasa kwa wanafunzi wa vyuo Na Samwel Mpogole Chama cha Ushauri na Uelekezi kwa Washauri wa Wanafunzi Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania (TACOGA 1984) kimetoa mafunzo kwa washauri wa wanafunzi…
6 June 2025, 2:46 pm
Polisi Kusini Unguja wahakikisha usalama wa baraza la Eid na sikukuu ya Eid El-A…
Na Omar Hassan. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP. Daniel Shillah amesema Swala na Baraza la Eid linalotarajiwa kufanyika Mkoa wa Kusini Unguja Kitaifa pamoja na Skukuu ya EID EL ADH-HA zitafanyika kwa…