Radio Tadio

Habari za Jumla

12 June 2025, 5:42 pm

Simbachawene hakuna rushwa kubwa wala ndogo wote wanamakosa

“Rushwa ni adui wa haki na maendeleo kahuna rushwa kubwa wala ndogo nendeni tukawahudumia wananchi walio na changamoto za kunyanyaswa na watu wanaotumia madaraka kwa kuwakandamiza watu ambao walitakiwa wapewe haki hakuna aliye mkubwa zaidi ya sheria na katiba ya…

12 June 2025, 5:01 pm

Ofisi ya Msajili wa Hazina yaleta ufanisi Zanzibar

Na Mary Julius. Chama Cha Wanunuzi vitu chakavu Zanzibar wamesema kumekuwa na ufanisi mkubwa wa huduma za minada tangu kuazishwa Ofisi ya Msajili wa Hazina na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi. Hayo…

12 June 2025, 3:05 pm

Tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi

Na Loveness Josefu“Wananchi tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi na kuzingatia ulaji unaofaa” Hayo yamebainishwa na Mkuu wa mkoa Wa Lindi Mhe. Zainabu Telack leo 12 Jun 2025 katika mbio za ridhaa zilizofanyika asubuhi mapema kwa kuianza siku ya pili…

11 June 2025, 19:40

Watu wenye ulemavu Songwe waja naombi

kutokana na kuwepo kwa mashindano ya watu wenye ulemavu ngazi ya Taifa timu wa walemavu mkoa wa Songwe wameomba wadau mbalimbli kuwaunga mkono ili waweze kushiriki mashindano hayo. Na Ezra Mwilwa Timu ya soka ya walemavu wanaume mkoani Songwe wameomba…

11 June 2025, 6:34 pm

CAG aibua hoja za kisera Mlimba

Mapendekezo ya hoja hizo ni kuendelea kuomba watumishi wa sekta mbalimbali na kufanya ufuatiliaji wa namna ya kupunguza changamoto za miundombinu ya elimu na afya Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Adam Malima amesema hoja nyingi…

11 June 2025, 10:37 am

NGO’s zatakiwa kufanya kazi kwa ushirikiano

Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) yamefanya mkutano wa pamoja katika kuweka mikakati yakufanya kazi kwa pamoja na kubainisha changamoto zao kwenye uongozi wa wilaya ya Hai Na Henry Keto. Hai-Kilimanjaro Mashirika yasiyo ya kiserikali yametakiwa kukaa pamoja kuweka mikakati yakufanya…