Habari za Jumla
19 Mei 2022, 2:22 um
Mkurabita awa Mkombozi kwa wafanyabiashara
Wafanyabiashara Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya wametakiwa kurasimisha shughuli zao za biashara ili kupanua wigo wa kuzifikia fursa mbalimbali ikiwa ni pamoja na urahisi wa kupata mikopo na leseni za biashara. Hayo yamejiri katika ufunguzi wa mafunzo ya kurasimisha biashara za…
14 Mei 2022, 5:43 um
Vikundi vya Pangani kunufaika na Uchumi wa Bluu
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Pangani Bwana Isaya Mbenje amesema wilaya imeanza kujiandaa kunufaika na sera ya uchumi wa blue kwa kuunda vikundi mbalimbali vinavyohusika na rasimimali za bahari. Akizungumza na Pangani Bwana Mbenje amesema kuwa tayari kwa wilaya…
11 Mei 2022, 3:53 mu
Familia ya watu wenye ulemavu Lulanzi Wilaya ya Kilolo wapatiwa Msaada wa Magodo…
Familia ya watu watatu wenye ulemavu katika kijiji cha Lulanzi Wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa imekabidhiwa magodoro manne ya kitabibu na Balozi wa utalii Tanzania Bi Isabella Mwampamba akiwa na wadau wa maendeleo. Akizungumza mara baada ya kukabidhi magodoro hayo,…
10 Mei 2022, 4:10 um
Wakazi wa kisisi walazimika kutumia maji ya visima vya asili
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa Kijiji cha Kisisi Wilayani Mpwapwa wanalazimika kutumia maji ya visima vya asili kutokana na kukosa huduma ya maji Safi na salama Wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa licha ya kuchota maji ya visima vya…
6 Mei 2022, 3:05 um
Baadhi ya wakazi wa Ihumwa wakosa uelewa juu ya alama za mipaka
Na; Victor Chigwada. Baadhi ya Wananchi wa Ihumwa wametajwa kuwa na uelewa mdogo juu ya utunzaji wa Mali na miundombinu inayowekwa na Serikali kwa lengo la kuwanufaisha wananchi. Kutokana na hayo wananchi wa Ihumwa wamesisitizana juu ya suala la kulinda…
28 Aprili 2022, 1:10 um
Bunda: Grumeti Fund washiriki zoezi la amwani za makazi kwa kutoa vibao 31 vyeny…
Kampuni ya Grumeti Fund wameshiriki zoezi la anwani za makazi kwa kuchangia kuto vibao vya anwani za makazi 31 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi million mbili Akizungumza katika makabidhiano hayo mwakirishi wa kampuni ya Grumeti Fund, Davidi Mwakipesile amesema…
22 Aprili 2022, 1:03 um
MH. ANTON MWANTONA ametoa vifaa ukarabati na ujenzi wa vyoo shule ya msingi Mab…
RUNGWE-MBEYA Mbunge wa Jimbo la Rungwe MH. ANTON MWANTONA ametoa msaada wa vifaa kwa ajiri ya ukarabati na ujenzi wa vyoo katika shule ya msingi Mabonde iliyopo kata ya Msasani wilayani Rungwe. Akimwakilisha Mbunge kukabidhi vifaa katibu wa mbunge wa…
21 Aprili 2022, 5:37 um
mashindano ya Quran Bunda Ally Hashimu Hakimu aibuka mshindi
Ally Hashimu Hakimu ameibuka mshindi kwenye mashindano ya kutunza Quran tukufu wilaya ya Bunda mashindano hayop yamefanyika leo April 16, 2022 katika msikiti wa Ijumaa Bunda mjini ambayo yameandaliwa na Kamati ya Kukuza na Kueneza Uislamu Bunda huku mgeni…
15 Aprili 2022, 11:34 mu
Ukosefu wa pembejeo pamoja na vikundi tazizo wakulima wa Parachichi
RUNGWE-MBEYA Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr.VICENT ANNEY amefanya ziara ya kuwatembelea wakulima wa mapachichi kwa lengo la kujua changamoto zinazowakabili katika zao hilo. Wakulima zao la palachichi wa kijiji cha Ibungila kata ya Malindo wameeleza changamoto zinazowakabili katika zao…
8 Aprili 2022, 7:43 mu
Watumiaji wa vyombo vya moto wametakiwa kujua umuhimu wa fidia ya bima
RUNGWE-MBEYA Watumiaji wa vyombo vya moto wametakiwa kujua umuhimu wa fidia ya bima ya gari baada ya kupata ajali ilikuweza kupata fidia pindi apatapo matibabu. Hayo yamejiri baada ya mkuu wa kitengo cha usalama barabarani wilaya ya Rungwe Felix Kakolanya…