Habari za Jumla
22 Aprili 2022, 1:03 um
MH. ANTON MWANTONA ametoa vifaa ukarabati na ujenzi wa vyoo shule ya msingi Mab…
RUNGWE-MBEYA Mbunge wa Jimbo la Rungwe MH. ANTON MWANTONA ametoa msaada wa vifaa kwa ajiri ya ukarabati na ujenzi wa vyoo katika shule ya msingi Mabonde iliyopo kata ya Msasani wilayani Rungwe. Akimwakilisha Mbunge kukabidhi vifaa katibu wa mbunge wa…
21 Aprili 2022, 5:37 um
mashindano ya Quran Bunda Ally Hashimu Hakimu aibuka mshindi
Ally Hashimu Hakimu ameibuka mshindi kwenye mashindano ya kutunza Quran tukufu wilaya ya Bunda mashindano hayop yamefanyika leo April 16, 2022 katika msikiti wa Ijumaa Bunda mjini ambayo yameandaliwa na Kamati ya Kukuza na Kueneza Uislamu Bunda huku mgeni…
15 Aprili 2022, 11:34 mu
Ukosefu wa pembejeo pamoja na vikundi tazizo wakulima wa Parachichi
RUNGWE-MBEYA Mkuu wa wilaya ya Rungwe Dr.VICENT ANNEY amefanya ziara ya kuwatembelea wakulima wa mapachichi kwa lengo la kujua changamoto zinazowakabili katika zao hilo. Wakulima zao la palachichi wa kijiji cha Ibungila kata ya Malindo wameeleza changamoto zinazowakabili katika zao…
8 Aprili 2022, 7:43 mu
Watumiaji wa vyombo vya moto wametakiwa kujua umuhimu wa fidia ya bima
RUNGWE-MBEYA Watumiaji wa vyombo vya moto wametakiwa kujua umuhimu wa fidia ya bima ya gari baada ya kupata ajali ilikuweza kupata fidia pindi apatapo matibabu. Hayo yamejiri baada ya mkuu wa kitengo cha usalama barabarani wilaya ya Rungwe Felix Kakolanya…
4 Aprili 2022, 1:28 um
Wananchi watakiwa kujiunga na bima za Afya ili kujipatia matibabu kwa gharama na…
Na;Victor Chigwada. Serikali katika kuboresha huduma za afya imekuwa na mpango wa kutoa elimu na hamasa ya wananchi kujiunga na bima za afya zitakazo saidia kupatiwa matibabu kwa gharama nafuu Hatahivyo pamoja na wananchi kuhamasika na bima za afya lakini…
3 Aprili 2022, 6:24 mu
Jamii itoe taarifa vitendo vya ukatili kwenye madawati
RUNGWE-MBEYA Taasisi isiyo ya kiserikali inayotekeleza mradi wa mwanamke imara WiLDAF imetaka jamii kutoa taarifa kwenye madawati ya kijinsia pindi vitendo vya ukatili vinapojitokeza katika jamii. kauli hiyo imetolewa wana Mwanasheria SUZAN KAWANGA pamoja na mwelimishaji Ndg THOMAS MPONDA waliopokuwa…
28 Machi 2022, 10:19 mu
Vijana Jitokezeni katika Vituo vya Huduma Rafiki ya Afya ya Uzaz…
Vijana wameaswa kujitokeza katika Vituo rafk vya kutolea huduma za Afya ili kupata Elimu zaidi kuhusu masuala mbalimbali ya Afya na Afya ya Uzazi. Hayo yamesemwa na Dr Godfrey Christopher kutoka Kituo cha Afya Muungano kilichopo Wilayani Bariadi Mkoani Simiyu…
28 Machi 2022, 9:00 mu
Uingereza kuipa Ukraine makombora ya kutungulia ndege kukabiliana na Russia
Waziri wa Ulinzi wa Uingereza ametangaza kuwa London imeamua kuipa Ukraine makombora ya kutungulia ndege ili kukabiliana na mashambulizi ya anga ya Russia. Shirika la habari la IRNA limemnukuu Ben Wallace akisema hayo jana Jumapili na kuongeza kuwa, London imeamua kuipa Ukraine…
26 Machi 2022, 3:55 MU
Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini
Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini ya kiislamu wakiwemo viongozi wa BAKWATA kwa kuendelea kutoa ushirikiano na kushikamana na Serikali kwa lengo la kuleta maendeleo katika Wilaya na kuwataka wasiache moyo huo wa upendo. Kitta…
Machi 25, 2022, 7:17 um
Wananchi watakiwa kushiriki anuani za makazi
Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga Clemence bernald Mkusa amewataka wananchi wilayani humo kushiriki kikamilifu kwenye zoezi la anuani za makazi ili kurahisisha watoaji wa huduma ya sensa kufahamu mipango ya maendeleo katika jamii. Ameyasema hayo leo katika…