Habari za Jumla
21 Septemba 2022, 12:25 um
Wahamasishaji Jamii pemba watakiwa kuitunza miradi
PEMBA. Wahamasishaji jamii kisiwani Pemba wametakiwa kuongeza juhudi za kutoa uwelewa kwa jamii ili kuienzi na kuitunza miradi wanayoanzishiwa kwa lengo la kuleta maendeleo endelevu kwa vizazi na vizazi. Kauli hiyo imetolewa na mratibu wa mradi wa swil kutoka taasisi…
21 Septemba 2022, 11:47 mu
Katibu Machigini: wakulima ongezeni bidii kuondoa uhaba wa chakula
Wakulima wa kilimo cha umwagiliaji wa bonde la machigini, shehia ya mjimbini Mkoani Pemba wameshauriwa kuongeza bidii kwenye kilimo chao cha mpunga kwa lengo la kuongeza kasi ya uzalishaji . Ushauri huo umetolewa na katibu wa bonde hilo,Hamdu Hassan…
20/09/2022, 14:53
Watu 900 watibiwa macho Pangani
Zaidi ya watu 900 wamepatiwa matibabu ya macho katika Hospitai ya wilaya ya Pangani kati ya tarehe 10-15 mwezi huu. Matibabu hayo yamefanyika kufuatia kambi maalum ya matibabu iliyowekwa Hospitalini hapo. Pangani FM imezungumza na Dk. Joan Amos Kibula…
15 Septemba 2022, 9:55 um
Bil.40 za Mradi Kunufaisha Huduma za Malaria Mkoani Katavi
KATAVI Mkoa wa Katavi umepokea mradi wa miaka mitano utakao gharimu Bilioni 40 unaosimamiwa na serikali ya Marekani chini ya taasisi ya afya ya Ifakara utakoshirikiana na Mkoa kusimamia huduma za Malaria . Akizungumza wakati wa kutambulisha mradi huo mkurungezi…
10 Septemba 2022, 10:46 mu
TAMWA Zanzibar: waandishi wa habari wanolewa kuwasaidia wanawake kuwa viongozi
Uwepo wa asilimia ndogo ya ushiriki wa wanawake katika ngazi za maamuzi ni changamoto moja wapo inayopelekea kutopatikana kwa maendeleo kwa baadhi ya taasisi. Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa chama cha Waandishi wa Habari wanawake Tanzania – Zanzibar…
6 Septemba 2022, 10:23 mu
Wananchi Mkoa wa Katavi waachana na tahadhari za UVIKO 19
KATAVI Baadhi ya Wananchi mkoani Katavi wameonekana kuacha kuzingatia tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Uviko 19 tofauti na ilivyokua hapo awali. Mpanda radio imepita katika maeneo mbalimbali mkoani hapa na kubaini kuwa hakuna tahadhari yeyote inayochukuliwa ya kujikinga na ugonjwa…
05/09/2022, 21:21
Mwanafunzi bora wa kijiji aomba msaada kuendelea na masomo Pangani
Mwanafunzi Aisha Ramadhani (20) mkazi wa Kijiji cha Stahabu wilayani Pangani mkoani Tanga ameomba wadau mbalimbali kumsaidiwa kwa hali na mali ili ili aweze kumudu kujiunga na masomo ya chuo baada ya kufanikiwa kuhitimu na kufaulu masomo ya Sekondari. …
1 Septemba 2022, 11:01 mu
Mrajisi: Wafanyabiashara kateni rufaa kupitia baraza la ushindani halali wa bias…
Wafanya biashara wilaya ya mkoani wametakiwa kutumia fursa za kukata rufaa kupitia Baraza la ushindani halali wa biashara Zanzibar ili kupata haki zao kisheria endapo hawakutendewa haki na watoa huduma mbalimbali Zanzibar . Hayo yameelezwa na mrajisi wa baraza hilo…
28 Agosti 2022, 2:45 um
Wananchi Pemba wanatakiwakuandika urithi ili kuepuka migogoro
Wananchi kisiswani Pemba wameshauriwa kuzingatia suala la mirathi mara tu baada ya mzazi kufariki ilikuepusha migogoro isiyo ya lazima katika familiya. Kauli hizo zimetolewa na zulekha suleimn sheha na Sharifa Shaban Hamad wakati akizungumza na mwandishi wa habari hizi…
23 Agosti 2022, 07:32
Mbunge Maboto: Awahimiza Bunda Mjini kushiriki Sensa kikamilifu
Mbunge Jimbo la bunda Mjini Mhe Robert Chacha Maboto amewahimiza wakazi wa Jimbo la Bunda Mjini kushiriki Sensa ya watu na makazi kikamilifu Akizungumza na redio Mazingira Fm Mhe Maboto amesema lengo kuu la sensa ya watu na makazi ni…