Radio Tadio

Habari za Jumla

11 Januari 2023, 7:39 um

Wanaume wakatazwa kusimama na Wanafunzi wa Kike Njombe

  Serikali wilayani Ludewa mkoani Njombe, imepiga marufuku wanaume kusimama na wanafunzi wa kike kwa zaidi dakika 15 katika mazingira yenye mashaka, baada ya kufanya utafiti mwepesi na kubaini kwamba kuna kundi kubwa la watoto wa kike wanaokatisha masomo kwa…

11 Januari 2023, 7:37 um

Wazazi wakamatwe wafanye usafi Shuleni-RC Njombe

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amemuagiza mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa kuwakamata na kuwafanyisha usafi kwenye mashuleni pamoja na vituo vya afya wazazi wote ambao watoto wao hawajaripoti shuleni kuanza muhula mpya wa masomo badala ya…

7 Januari 2023, 8:32 um

Mwanafunzi hata kama hana Sare aanze Masomo-dc Mhe. Sweda

  Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amekagua vyumba vya madarasa kwa shule za Sekondari ambavyo wanafunzi wataripoti na kuanza masomo Januari 9, 2023. Mhe. Sweda amesema Serikali imehakikisha wanafunzi wanapata Mazingira rafiki ya kujifunzia na hivyo mpaka…

7 Januari 2023, 7:19 um

Serikali kutafuta namna ya Kumkopesha Mwananchi Simu Janja

  Waziri wa Habari,Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,Mhe.Nape Nnauye ( Mb ) amesema serikali iko mbioni kutafuta namna ya kumuwezesha mtanzania wa kawaida kumudu gharama ya kununua simu janja. Amebainisha hayo wakati akizindua mnara wa simu katika Kijiji cha Kinenulo…

6 Januari 2023, 11:40 mu

Watoto wote waende Shule-Rc Mtaka

  Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewataka wazazi/walezi wenye watoto waliofikia umri wa kuanza darasa la kwanza kuwapeleka shule ifikapo tarehe 9, Januari 2023. Akizungumza na wafanyabiashara wa Mkoa wa Njombe kwenye Baraza la 7 la wafanyabiashara…