Radio Tadio

Habari za Jumla

19 January 2023, 7:53 am

Wajanja wa kurubuni Mbolea kushughulikiwa Njombe

Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka akishirikiana na Jeshi la Polisi mkoani hapa, wamefika katika nyumba ambayo mfanyabiashara wa mbolea amekuwa akitumia kuchakachua bidhaa hiyo. Mtaka amesema katika nyumba hiyo isiyo na umeme, wamebaini mifuko ya makampuni mbalimbali ya mbolea, majenereta…

18 January 2023, 11:07 am

Ujenzi Kituo cha Afya Lupalilo, DC ahimiza Usimamizi

  Ujenzi wa Kituo cha Afya Lupalilo awamu ya pili umefikia hatua nzuri baada ya kuwa katika hatua za mwisho wa ujenzi. Kituo hicho ujenzi wake ulianza kwa wananchi kujenga Jengo la wagonjwa wa nje na Serikali ikaunga mkono kwa…

18 January 2023, 10:39 am

Elimu itolewe utunzaji wa Mazingira Makambako-Njombe

  Halmashauri ya mji wa Makambako imetakiwa kutoa elimu kuhusiana na usafi wa mazingira ili kuhakikisha maeneo yote yanafanyiwa usafi lengo likiwa ni kukabiliana na magonjwa ambukizi. Wakizungumza na Kituo hiki baadhi ya wananchi wa mtaa wa rajabu mahakamani uliopo…

18 January 2023, 10:04 am

Waziri amfukuza aliyetupa Parachichi Njombe

  WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmiliki wa Kampuni ya Candia Fresh pamoja na kuifunga kampuni hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa inanunua parachichi ambazo hazijakomaa. Bashe amesema kuwa kampuni hiyo imekuwa ikinunua parachichi hizo changa na kisha…

17 January 2023, 6:04 pm

Magari ya Shule Kubeba Wanafunzi Kuliko Uwezo.

MPANDA Kutokana na kuendelea kukithiri kwa changamoto ya magari ya shule kubeba wanafunzi idadi kubwa kuliko uwezo, wananchi mkoani Katavi wamewataka wamiliki wa shule kuzingatia sheria zinavowataka. Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi wamesema kuwa wameshuhudia baadhi ya magari hayo…

17 January 2023, 5:49 pm

Kilio Watendaji Uuzaji Pombe Muda wa Kazi

MPANDA Baadhi ya wananchi Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wamesema kuwa kuendelea kuwepo kwa wafanyabiashara wanaofungua kumbi za starehe na pombe kinyume na muda uliopangwa unachangiwa na watendaji wasio wajibika katika usimamizi wa sheria Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi…

17 January 2023, 5:42 pm

Wananchi Waaswa Kuzingatia Usafi Kipindi cha Mvua

MPANDA Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameshauriwa kuzingatia kanuni za usafi kipindi hiki cha masika ambapo mvua zinaendelea kunyesha ili kujiepusha na magojwa ya mlipuko. Wakizungumza na mpanda radio fm wakazi wa manispaa ya mpanda wamesema ipo tabia kwa…

17 January 2023, 5:39 pm

Wauza Vyakula Waaswa Kuzingatia Usafi.

KATAVI Wananchi manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamewaomba Wauzaji wa vyakula migahawani kuzingatia kanuni za usafi ili kuepukana na Magonjwa ya milipuko yanayoweza kuwapata Wateja. Wakizungumza na Mpanda Radio wamesema kuwa kuna baadhi ya wahudumu wa migahawa hawazingazii kanuni za…

17 January 2023, 4:55 pm

Msasani Walia na Maji Safi.

MPANDA Wananchi wa Mtaa wa Msasani Kata ya Mpanda Hotel wamelalamikia kukosekana kwa maji safi na salama kwa matumizi yao ya kila siku. Wakizungumza na Mpanda Radio Fm Wamedai changamoto imekua ni ya kudumu kutokana na mabomba kuharibika mara kwa…