Radio Tadio

Habari za Jumla

15 December 2020, 10:26 am

Bushiri na mkewe kurudishwa A.Kusini

Lilongwe, Malawi. Waziri wa usalama wa ndani wa Malawi , Richard Banda, amesaini nyaraka kwa ajili ya mchungaji tajiri na maarufu Shepherd Bushiri na mke wake, Mary kurudishwa nchini Afrika Kusini. Hii inafuatia ombi la mahakama ya nchi jirani ya…

14 December 2020, 3:26 pm

Nigeria:Zaidi ya wanafunzi 300 hawajulikani walipo

Abuja, Nigeria. Gavana wa Jimbo la Katsina la Nigeria Aminu Masari amesema, wanafunzi 333 bado hawajulikani walipo baada ya shambulizi lililofanywa usiku wa Ijumaa na watu wenye silaha katika shule moja ya sekondari katika jimboni Katsina, kaskazini magharibi mwa Nigeria.…

14 December 2020, 2:56 pm

Utabiri wa hali ya hewa unavyosaidia wakulima Hombolo

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Utabiri wa hali ya hewa nchini umetajwa kuwasaidia wakulima katika kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi yanayojitokeza katika msimu wa Kilimo.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wakulima katika kata ya Hombolo jijini Dodoma wamesema kuwa utabiri huo…

14 December 2020, 2:40 pm

Afisa kilimo:Acheni kukaa ofisini

Na Thadey Tesha, Dodoma. Wadau wa kilimo nchini wameshauriwa kuwa na mazoea ya kuwatembelea wakulima mara kwa mara kwa lengo la kuwapa elimu ili kuongeza kasi ya uzalishaji wa chakula nchini.Hayo yamesemwa na afisa kilimo wa Mkoa wa Dodoma Bw.Benard…

14 December 2020, 10:43 am

Fainali za CHAN 2021 Cameroon mambo yameiva

Younde, Cameroon. Cameroon sasa wako tayari kuwa mwenyeji wa CHAN 2020 baada ya Kamati ya Utendaji ya CAF kuidhinisha miundombinu yake kutoka kwa ukaguzi wa mwisho ulioongozwa na Baf Anthony Baffoe, Naibu Katibu Mkuu anayehusika na mpira wa miguu na…

14 December 2020, 9:52 am

TPBRC yaandaa mapambano ya kuaza mwaka 2021

Dar Es Salaam. Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania TPBRC imeandaa mapambano kabambe ya ngumi ya kuanza mwaka. Mapambano hayo yanatarajiwa kufanyika siku ya Valentine Februari 14,2021 katika ukumbi wa Viwanja vya Sabasaba jijini Dar Es Salaam. Mratibu wa mapambano…

12 December 2020, 10:56 am

Okwi akutwa na maambukizi ya virusi vya Corona

Jeddah, Saudi Arabia. Klabu ya Al-Ittihad imethibitisha kuwa mshambuliaji wake raia wa Uganda Emmanuel Okwi ataukosa mchezo wa leo wa kwanza wa Ligi Kuu nchini Misri dhidi ya Pyramids Fc kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha…

12 December 2020, 10:42 am

Micho akana mashtaka A.Kusini

Johanesburg, Afrika Kusini. Kocha Mkuu wa Timu ya taifa ya Zambia Milutin Sredojevic ‘Micho’ amekana mashtaka ya unyanyasaji wa kijinsia nchini Afrika Kusini. Kocha huyo mkongwe barani Afrika, mwenye umri wa miaka 51 alipandishwa katika Mahakama huko New Brighton jana…

10 December 2020, 2:51 pm

Wawili wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za kujeruhi

Na Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Dabalo Wilaya ya Chamwino Bw.Msafiri Samson (38) na Samwel Msafiri (33) leo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Dodoma kwa shitaka la kujeruhi kitendo ambacho ni kosa kisheria.Wakisomewa shitaka lao mbele…

10 December 2020, 9:26 am

Sven aridhishwa na wachezaji wake

Kocha mkuu wa klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Sven Vandenbroeck amefurahishwa na jinsi kikosi chake kilivyocheza dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu jana usiku (Desemba 09), Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam.Kwenye mchezo huo uliokua…