Habari za Jumla
16 Disemba 2023, 12:15 mu
Wananchi watoa maoni mseto kwa wavaa miwani bila kupima
Wananchi mkoani Katavi watoa maoni juu ya madhara ya kuvaa miwani bila kuzingatia ushauri wa madktari wa macho. Na Lilian Vincent – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni juu ya madhara yanayoweza kumpata mtu anaevaa miwani bila…
15 Disemba 2023, 5:56 mu
Ubunifu wa mashine ya kuchakata mazao aina 9 unavyowasaidia wakulima Arusha
Kwa mujibu wa Wizara ya Kilimo kupitia taarifa yake ya mwaka 2021 uzalishaji wa mazao ulikadiriwa kufikia tani mil.4 kwa mwaka lakini tani mil.1.5 hupotea kutokana na teknolojia duni. Uchakataji wa mazao nchini hasa kwa wakulima wadogo bado imeendelea kuwa…
13 Disemba 2023, 16:48
Mwinuka: Asante serikali Mwangany’anga imekuwa jicho la Kyela
Diwani wa kata ya Mwangany’anga wilayani Kyela Alex Mwinuka ameishukuru serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa ujenzi wa kipande cha barabara kinachojengwa kwa kiwango cha lami katika kata hiyo. Na Nsangatii Mwakipesile. Wakati serikali ikiendelea na jitihada za…
13 Disemba 2023, 3:27 um
Biashara ya nyama choma kijiji cha Terrat
Biashara ya nyama choma ni moja ya biashara inayofanya vizuri haswa katika maeneo ya mijini lakini je Vijijini hali ikoje ? Kijiji cha Terrat kilichopo wilaya ya Simanjiro Mkoa wa Manyara huwa na Soko kila siku ya alhamisi ambapo wachuuzi…
13 Disemba 2023, 11:26 mu
Jinsi msimu wa uvuvi unavyosaidia kupunguza matukio ya wizi Pangani
Katika msimu wa uvuvi naweza kupata hata shilingi laki tatu kwa siku kwa kuuza dagaa, pia changamoto ya vijana kuiba yamepungua. Na Cosmas Clement. Kuanza kwa msimu wa uvuvi wa dagaa katika mji wa Pangani kumetajwa kuwa ni fursa nzuri…
12 Disemba 2023, 19:23
Mbunge Sikonge Tabora aipongeza halmashauri ya Rungwe Mbeya
Na mwandishi wetu,Rungwe Mbeya Mheshimiwa Joseph Kakunda Mbunge wa Jimbo la Sikonge Mkoa wa Tabora ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Rungwe kwa Kuzalisha zaidi ya lita za maziwa million 44 kwa mwaka hatua iliyoongeza kipato cha wananchi sambamba na uboreshaji…
9 Disemba 2023, 08:00
Mkuu wa mkoa wa Songwe akabidhi msaada kwa wafungwa gereza la vwawa
Na mwandishi wetu,Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Dkt Francis K. Michael kwa kushirikiana na Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Songwe amekabidhi Tarehe 07 Desemba,2023 msaada wenye thamani ya zaidi shilingi milioni 3 kwa wafungwa wa Gereza la…
8 Disemba 2023, 10:45 mu
Hospitali ya jiji Arusha yakwama kukamilika licha ya kutengewa fedha
Shilingi bilioni 3.9 tayari zilitolewa na Serikali Kuu na kuifikia halmashauri ya jiji la Arusha miaka mitatu iliyopita lakini hadi mwaka 2023 bado jengo la wagonjwa wa nje kwenye hospitali ya jiji hilo haijakamilika. Na Joel Headman Wakazi wa jiji…
7 Disemba 2023, 3:33 um
Serikali yaruhusu sekta binafsi kuanzisha safari za treni reli ya mwendokasi
Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa usafirishaji jijini Arusha. Picha na Anthony Masai “Sheria ya reli namba 17 imefanyiwa marekebisho ambapo kwa sasa inaruhusu uwekezaji wa sekta binafsi katika miundombinu ya reli“. Na Anthony…