Radio Tadio

Familia

15 April 2024, 9:34 pm

Msukumo mkubwa wa maji wachangia kupasuka kwa mabomba

Duwasa imeendelea kuhakikisha inakabiliana na changamoto ya upotevu wa maji ambao husababishwa na kupasuka kwa miundombinu ya Mabomba ya maji kutokana na presha kubwa ya maji. Na Mindi Joseph. Msukumo mkubwa wa maji umetajwa kuchangia Kupasuka kwa miundombinu ya mabomba…

4 April 2024, 5:27 pm

Nala bado yakabiliwa na changamoto ya maji

Serikali kupitia Wizara ya Maji na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 9.14 ikiwa ni hatua za haraka na muda mfupi zilizofanyika za kutatua changamoto ya maji pamoja na uchimbaji na uendelezaji…

15 February 2024, 4:27 pm

Wajawazito Handali walazimika kwenda leba na maji

Pamoja na hatua hizo za kwenda na maji kituo cha afya lakini bado wanakutana na shuruba nyingine namna ya kupata maji hayo bombani. Na Victor Chigwada.Pamoja na umuhimu wa matumizi ya maji katika sehemu za kutolea huduma za afya imekuwa…

8 January 2024, 16:43

Wazazi kushirikiana tiba ya upendo kwa mzazi mmoja

Baadhi ya wazazi wakiume wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kushirikiana na wazazi wa kike kuzilea familia zao na kuacha kuzitelekeza hali inayopelekea baadhi ya watoto kuwa na mapenzi na mzazi mmoja. Rai hiyo imetolewa na Mchungaji kiongozi wa kanisa la…

2 December 2023, 1:59 pm

60% ya familia Mpanda zatajwa kutelekezwa na mmoja wa wazazi

Picha na Mtandao Wanaume Wameonekana kuwa na Kiwango Kikubwa cha Utelekezaji wa Familia ikilinganishwa na Wanawake. Na Gladness Richard-Katavi 60% ya Familia Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi zimetajwa kutelekezwa na  Mmoja wa Wazazi huku hali hiyo ikisababisha Watoto kutopata haki…

3 November 2023, 17:54 pm

Rushwa ya ngono isichukuliwe kawaida

Rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi kwa upande mwingine ni suala la mkanganyiko kwa sababu ni suala Mtambuka huku akisema kuwa inawezekana Bosi akampenda kweli mfanyakazi wake lakini wakati mwingine anaweza kutafsiriwa kuwa ni Rushwa ya ngono Na Musa…