Familia
15 April 2024, 9:34 pm
Msukumo mkubwa wa maji wachangia kupasuka kwa mabomba
Duwasa imeendelea kuhakikisha inakabiliana na changamoto ya upotevu wa maji ambao husababishwa na kupasuka kwa miundombinu ya Mabomba ya maji kutokana na presha kubwa ya maji. Na Mindi Joseph. Msukumo mkubwa wa maji umetajwa kuchangia Kupasuka kwa miundombinu ya mabomba…
4 April 2024, 5:27 pm
Nala bado yakabiliwa na changamoto ya maji
Serikali kupitia Wizara ya Maji na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imewekeza kiasi cha shilingi bilioni 9.14 ikiwa ni hatua za haraka na muda mfupi zilizofanyika za kutatua changamoto ya maji pamoja na uchimbaji na uendelezaji…
27 March 2024, 5:10 pm
Uzalishaji wa maji Nzuguni waongeza asilimia 11.7 ya maji
Mradi wa Maji Nzuguni umegharimu bilion 4.3 lengo likiwa ni kuboresha huduma ya usambazaji maji katika kata na jiji la Dodoma kwa ujumla. Na Mindi Joseph.Kukamilika kwa Mradi wa awamu ya kwanza wa Visima 5 vya maji Eneo la nzuguni…
20 March 2024, 6:18 pm
Adha ya maji yendelea kuwa kero kwa baadhi ya Vitongoji Chiwona
Hayo yamefahamika baada ya Taswira ya habari kushuhudia adha hiyo ambayo imechangia wananchi kuendelea kutumia maji yasio safi na salama. Na Seleman Kodima.Adha ya kukosekana kwa maji safi na salama kwa baadhi ya Vitongoji vya kijiji cha Chiwona imesababisha wananchi…
16 February 2024, 4:33 pm
Maji safi mwarobaini wa kupambana na magonjwa ya mlipuko
Kwa mujibu wa shirika la Afya Duniani katika ripoti yake ya mwaka 2015 Asilimia (81%) ya watu wanaokunywa maji ambayo si salama na huishi katika maeneo ya vijijini pamoja na kwenye makazi holela. Na Mindi Joseph. Upatikanaji wa huduma ya…
15 February 2024, 4:27 pm
Wajawazito Handali walazimika kwenda leba na maji
Pamoja na hatua hizo za kwenda na maji kituo cha afya lakini bado wanakutana na shuruba nyingine namna ya kupata maji hayo bombani. Na Victor Chigwada.Pamoja na umuhimu wa matumizi ya maji katika sehemu za kutolea huduma za afya imekuwa…
8 January 2024, 16:43
Wazazi kushirikiana tiba ya upendo kwa mzazi mmoja
Baadhi ya wazazi wakiume wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kushirikiana na wazazi wa kike kuzilea familia zao na kuacha kuzitelekeza hali inayopelekea baadhi ya watoto kuwa na mapenzi na mzazi mmoja. Rai hiyo imetolewa na Mchungaji kiongozi wa kanisa la…
8 December 2023, 10:38 am
Makala: Hali ya malezi na Makuzi ya watoto chini ya umri wa miaka 8
Baba na Mama tunaamini ndio wanaoanzisha safari ya maisha ya binadamu hapa duniani, na hapa nazungumzia jukukumu la mama kubeba mimba na baba kubeba jukumu la kulea na kuhudumia mimba Na Mwanahamisi Chikambu na Gregory Millanzi Maisha ya binadamu yanasafari…
2 December 2023, 1:59 pm
60% ya familia Mpanda zatajwa kutelekezwa na mmoja wa wazazi
Picha na Mtandao Wanaume Wameonekana kuwa na Kiwango Kikubwa cha Utelekezaji wa Familia ikilinganishwa na Wanawake. Na Gladness Richard-Katavi 60% ya Familia Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi zimetajwa kutelekezwa na Mmoja wa Wazazi huku hali hiyo ikisababisha Watoto kutopata haki…
3 November 2023, 17:54 pm
Rushwa ya ngono isichukuliwe kawaida
Rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi kwa upande mwingine ni suala la mkanganyiko kwa sababu ni suala Mtambuka huku akisema kuwa inawezekana Bosi akampenda kweli mfanyakazi wake lakini wakati mwingine anaweza kutafsiriwa kuwa ni Rushwa ya ngono Na Musa…