Familia
18 April 2023, 9:26 pm
Wazazi na Walezi Wametakiwa Kuwapa Watoto wao Elimu
MPANDA Wazazi na Walezi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuwapa kipaumbele watoto katika kupata elimu ili waweze kutimiza ndoto zao. Akizungumza katika hafla ya kutunukiwa udaktari kutoka chuo cha all nation christian church Askofu Laban Ndimubenya amewataka wazazi na…
14 April 2023, 5:16 pm
Makala ikielezea malezi bora kwa watoto
Package ikieleza wazazi manispaa ya Iringa wametakiwa kuishi kwa upendo na kuepusha migogoro ndani ya familia ili waweze kuwalea watoto wao katika malezi chanya.
20 March 2023, 3:35 pm
Ushindani katika ndoa chanzo wanaume kutowajibika
Kukosekana kwa upendo na uaminifu limetajwa kuwa chanzo kikubwa Cha wanaume kutowajibika katika malezi na matunzo ya familia zao. Bernadetha Mwakilabi. Tukiwa katika mwezi wa wanawake kukosekana kwa upendo na uaminifu limetajwa kuwa chanzo kikubwa Cha wanaume kutowajibika katika malezi…
22 February 2023, 6:42 pm
Ajira kwa Watoto Bado Changamoto Katavi
KATAVI Wananchi Halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelaani wazazi wanaoruhusu watoto wadogo kufanya biashara muda ambao walitakiwa wawe shule. Wakizungumza na kituo hiki wananchi hao wamesema kuwa vitendo hivyo vinaathiri saikolojia za watoto na kuwapotezea malengo yao ya…
25 January 2023, 8:32 am
KINA BABA WAJIBIKENI WANAWAKE WAFUNGUE MAGOLI
“Kina Baba wajibikeni ili wakina mama wafungue magoli wanawake Wengi wanatumia uzazi WA mpango Kwa sababu wanaume hawawajibiki na wengine wanakimbia kulea” Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Ruangwa katika Mkutano kijiji cha nambilanje katika Ziara yake ya kata…
21 October 2022, 11:15 am
Wazazi Waaswa Kuwajibika kwa Malezi ya Watoto, Kuepusha Mimba za Utotoni
KATAVI Wazazi mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanawajibika katika malezi ya Watoto wao ili kuepusha kutokea kwa mimba za utotoni. Wakizungumza na Mpanda radio fm baadhi ya wakazi mkoani hapa wamesema mimba za utotoni mara nyingi zinatokea pindi kukiwa hakuna misingi…
1 August 2022, 12:30 pm
Nafasi ya Mwanaume kwenye malezi ya watoto
. Sikiliza Makala inayozungumzia Nafasi ya Mwanaume kwenye malezi ya watoto, Makala haya yameandaliwa na Mwanahamisi chikambu
June 30, 2022, 12:35 pm
TAMWA ZNZ:Jamii inayotambua changamoto inayokwamisha upatikanaji wa Haki ni nzur…
MKURUGENZI wa Chama cha Wandishi wa Habari Wanawake Tanzania, Zanzibar (TAMWA ZNZ), Dkt. Mzuri Issa amesema jamii iliyo na uwezo wa kutambua mapungufu na kubaini changamoto zinazokwamisha upatikanaji wa haki zao ndio msingi wa ufikiwaji fursa sawa za kimaendeleo kwa…
8 June 2022, 4:14 pm
HAKI ZA WATOTO ZIZINGATIWE
Jamii imetakiwa kutambua kuwa Ajira kwa watoto zina athiri malengo na afya zao kiujumla . Wakizungumza na mpanda fm wakazi wa halmashauri ya Manspaa Mpanda wamesema kuwa ziko familia ambazo zinawafanyisha kazi watoto hali inayodhorotesha afya za watoto hao. Sambamba…
5 May 2022, 2:11 pm
Mkoa wa Dodoma kuendelea kusaidia watoto wanao ishi katika mazingira magumu
Na;Mindi Joseph. Mkoa wa Dodoma umesema utaendelea kuwasaidia watoto wanaoishi katika mazingira Magumu na hatarisha kwa kuhakikisha wanapata mahitaji muhimu. Taswira ya habari imezungumza na Afisa Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Dodoma Bi Honoratha Rwegasira amesema uwepo wa Baraza la…