Radio Tadio

Familia

18 April 2023, 9:26 pm

Wazazi na Walezi Wametakiwa Kuwapa Watoto wao Elimu

MPANDA Wazazi na Walezi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuwapa kipaumbele watoto katika kupata elimu ili waweze kutimiza ndoto zao. Akizungumza katika hafla ya kutunukiwa udaktari kutoka chuo cha all nation christian church Askofu Laban Ndimubenya amewataka wazazi na…

20 March 2023, 3:35 pm

Ushindani katika ndoa chanzo wanaume kutowajibika

Kukosekana kwa upendo na uaminifu limetajwa kuwa chanzo kikubwa Cha wanaume kutowajibika katika malezi na matunzo ya familia zao. Bernadetha Mwakilabi. Tukiwa katika mwezi wa wanawake kukosekana kwa upendo na uaminifu limetajwa kuwa chanzo kikubwa Cha wanaume kutowajibika katika malezi…

22 February 2023, 6:42 pm

Ajira kwa Watoto Bado Changamoto Katavi

KATAVI Wananchi Halmashauri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamelaani wazazi wanaoruhusu watoto wadogo kufanya biashara muda ambao walitakiwa wawe shule. Wakizungumza na kituo hiki wananchi hao wamesema kuwa vitendo hivyo vinaathiri saikolojia za watoto na kuwapotezea malengo yao ya…

25 January 2023, 8:32 am

KINA BABA WAJIBIKENI WANAWAKE WAFUNGUE MAGOLI

“Kina Baba wajibikeni ili wakina mama wafungue magoli wanawake Wengi wanatumia uzazi WA mpango Kwa sababu wanaume hawawajibiki na wengine wanakimbia kulea” Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Ruangwa katika Mkutano kijiji cha nambilanje katika Ziara yake ya kata…

8 June 2022, 4:14 pm

HAKI ZA WATOTO ZIZINGATIWE

Jamii imetakiwa kutambua kuwa Ajira kwa watoto zina athiri malengo na afya zao kiujumla . Wakizungumza na mpanda fm wakazi wa halmashauri ya Manspaa Mpanda wamesema kuwa ziko familia ambazo zinawafanyisha kazi watoto hali inayodhorotesha afya za watoto hao. Sambamba…