Familia
25 October 2023, 2:02 pm
Ufahamu uhuru wa matumizi ya kipato
Baadhi ya jamii bado zinaamini mila na desturi kamdamizi kuwa mwanaume ni kilakitu katika familia . Na Mariam Matundu. Je uhuru wa matumizi ya kipato ninini? Je nini kinapelekea baadhi ya wanaume kuwanyima wake au wenza wao uhuru wa kutumia…
28 September 2023, 12:09 am
Shughuli za utafutaji zinavyochangia utelekezaji wa familia
Wazazi na walezi mkoani Katavi wameaswa kuachana na tabia ya kusafiri kwa lengo la kufanya shughuli za utafutaji na kutelekeza familia Na William Liwali – Katavi Wazazi na walezi mkoani Katavi wameaswa kuachana na tabia ya kusafiri kwa lengo la…
12 September 2023, 12:31
Kuvunjika kwa ndoa chatajwa kuwa chanzo cha wimbi kubwa la watoto mitaani
Uwepo wa migogoro mingi baina ya wanandoa imepelekea ndoa nyingi kuvunjika imetajwa kuwa ni sababu kubwa inayo sababisha uwepo wa watoto wa mitaani ambao wanakosa kuwa na makazi maalumu. Na mwandishi wetu james mwakyembe Kuvunjika kwa ndoa, malezi duni pamoja…
15 August 2023, 3:42 pm
Baba atelekeza familia na kwenda kuanzisha familia nyingine
Mama huyo anadai kuishi maisha magumu kwani anatumia muda mwingi kutafuta kipato cha kumuwezesha yeye pamoja na watoto wake kupata mahitaji muhimu ikiwemo chakula. Na Leonard Mwacha. Katika hali ya kushangaza baba mmoja mkazi wa Jijini Dodoma ameitelekeza familia yake…
21 June 2023, 13:40 pm
Mila, desturi kikwazo wanawake kuwa viongozi
Mila na tamaduni zinachukua nafasi kubwa katika kuenzi nafasi za wazee katika jamii zetu, wandishi wa habari wana nafasi kubwa ya kupunguza baadhi ya mila zenye kuharibu jamii hasa wanawake. Na Musa Mtepa Wandishi wa habari mkoani Mtwara wameelezea changamoto…
23 May 2023, 4:56 pm
Wanandoa watakiwa kuimarisha upendo kuepusha ndoa nyingi kuvunjika
Wazazi wametakiwa kuimarisha upendo na kuepuka kuvunja ndoa ambazo huacha watoto wakitaabika bila malezi huku wengine wakibaki kuwa watoto wa mitaani. Na Bernad Magawa. Ili kuhakikisha kuwa watoto katika familia wanalelewa na wazazi wote wawili, Wanandoa wameshauriwa kuimarisha upendo kati…
19 May 2023, 3:19 pm
Wazazi na walezi shirikianeni na walimu kuwapatia malezi bora watoto
Kushamiri kwa vitendo viovu vya ubakaji na ulawiti wa watoto wa kiume na wa kike vinavyofanywa na wananchi wasiokuwa na maadili mema serikali imedhamiria kuwekeza nguvu zaidi katika kukomesha vitendo hivyo vinavyotokea hususan kuanzia ngazi ya familia, shuleni na mitaani.…
17 May 2023, 10:15 am
Wazazi waaswa kurejea malezi ya zamani
TANGANYIKA Mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu ametoa wito kwa wazazi kurudi enzi za nyuma kwa kutenga muda wa kuzungumza na watoto wao badala ya kuwawekea katuni kwenye runinga huku watoto wakiendelea kuharibika kimaadili. Buswelu ametoa wito huo katika…
18 April 2023, 9:26 pm
Wazazi na Walezi Wametakiwa Kuwapa Watoto wao Elimu
MPANDA Wazazi na Walezi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuwapa kipaumbele watoto katika kupata elimu ili waweze kutimiza ndoto zao. Akizungumza katika hafla ya kutunukiwa udaktari kutoka chuo cha all nation christian church Askofu Laban Ndimubenya amewataka wazazi na…
14 April 2023, 5:16 pm
Makala ikielezea malezi bora kwa watoto
Package ikieleza wazazi manispaa ya Iringa wametakiwa kuishi kwa upendo na kuepusha migogoro ndani ya familia ili waweze kuwalea watoto wao katika malezi chanya.