Elimu
8 Febuari 2023, 12:11 um
Wazazi Ambao Hawajawapeleka Watoto Shule Wachukuliwe Hatua
ATAVI Mkuu wa mkoa wa katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka viongozi kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao watoto wao wamefaulu kujiunga na kidato cha kwanza lakini bado hawajaripoti shuleni hadi hivi sasa Ameyasema hayo Februarymosi 2023, katika kilele cha maadhimisho…
6 Febuari 2023, 5:33 um
Shule ya Msingi Idifu yashindwa kuhimili wingi wa wanafunzi
Walipokea ahadi kupitia mfuko wa jamii TASAF lakini kutokana na kukosekana kwa utekelezaji imechangia kuwavunja moyo wananchi katika eneo hilo. Na Victor Chigwana Uchakavu na uchache wa madarasa katika shule ya Msingi Idifu imetajwa kushindwa kuendana na Idadi ya wanafunzi…
6 Febuari 2023, 3:50 um
Viongozi wa dini na waumini wapigwa msasa
Rai imetolewa kwa viongozi wote wa dini katika sehemu za Ibada kukemea utoro wa wanafunzi, ukatili pamoja na matumizi ya dawa za kulevya ili kuwa na kizazi chenye maadili na hofu ya Mungu. Na Benard Magawa Jeshi la Polisi wilaya…
6 Febuari 2023, 1:39 um
Sakata la kufutiwa matokeo wazazi wazua gumzo
Wazazi wameandamana baada ya matokeo ya watoto wao kufutwa. Na Mariam Kasawa. Wazazi wameandamana baada ya matokeo ya watoto wao kufutwa walia na serikali wakiomba wizara ya elimu iwasaidie kupata majibu ya watoto wao kwani wamewasomesha kwa shida sana. Kwahabari…
4 Febuari 2023, 5:53 um
Wito watolewa kwa vijana wa vyuo vikuu
Wito umetolewa kwa jamii hasa vijana wa vyuo kujijengea uwezo wa kusaidia kutoa huduma ya kwanza pindi yanapotokea majanga ili kuokoa maisha ya wahanga waliopata matatizo mbalimbali ikiwemo ajali Na Fred Cheti. Wito huo umetolewa na Gofrey Mutasilwa Mratibu wa…
4 Febuari 2023, 1:07 um
Wazazi na walezi Iringa wahimizwa kutoa michango ya chakula shuleni
Chakula kikiwepo shuleni kinasaidia kuondoa mazingira magumu kwa watoto na kupelekea wawe na utulivu wakati wa masomo na kukuza taaluma. Na Ashura Godwin Wazazi na Walezi mkoani iringa wametakiwa kuendelea kuchangia fedha kwa ajili ya chakula shuleni ili kuondoa mazingira…
3 Febuari 2023, 7:10 um
Tutatumia sheria kwa wazazi wasiopeleka watoto shule
Na Loveness Daniely. Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi Hassan Ngoma amesema kuanzia February 6 2023 wataanza kufanya msako mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba kwa kutumia sharia na miongozo iliyopo kwa wazazi wasio wapeleka Watoto shuleni msako…
2 Febuari 2023, 4:07 um
Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu
Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu kutoka nafasi ya kumi hadi ya tano kitaifa kwa mwaka 2023/2024. Na Benard Magawa . Halmashauri ya wilaya ya Bahi imeanza mikakati ya kuhakikisha wanapandisha zaidi ufaulu kwa mwaka 2023 lengo likiwa…
2 Febuari 2023, 11:15 mu
Waziri Adolfu Mkenda atoa sababu za Necta kutotangaza Shule Bora
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ametoa ufafanuzi na sababu NECTA Haitangazi Shule Bora na Zile Zilizofanya Vibaya. Na Seleman Kodima. Amesema kuwa takwimu zote ambazo zinahusu kutangaza shule ipi bora zinapatikana na wala sio siri bali…
31 Januari 2023, 12:16 um
Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu
Wazazi na walezi watakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ambayo inatolewa bila malipo pamoja na kuwalea katika maadili mema kwa kuwarithisha mila na desturi njema ili kuwa taifa lenye sifa njema na maadili mema. By Asha Mado Katika kuhakikisha watoto…