Radio Tadio

Elimu

6 Febuari 2023, 15:50

Viongozi wa dini na waumini wapigwa msasa

Rai imetolewa kwa viongozi wote wa dini katika sehemu za Ibada kukemea utoro wa wanafunzi, ukatili  pamoja na matumizi ya dawa za kulevya ili kuwa na kizazi chenye maadili na hofu ya Mungu. Na Benard Magawa Jeshi la Polisi wilaya…

6 Febuari 2023, 13:39

Sakata la kufutiwa matokeo wazazi wazua gumzo

Wazazi wameandamana baada ya matokeo ya watoto wao kufutwa. Na Mariam Kasawa. Wazazi wameandamana baada ya matokeo ya watoto wao kufutwa walia na serikali wakiomba wizara ya elimu iwasaidie kupata majibu ya watoto wao kwani wamewasomesha kwa shida sana. Kwahabari…

4 Febuari 2023, 17:53

Wito watolewa kwa vijana wa vyuo vikuu

Wito umetolewa kwa jamii hasa vijana wa vyuo kujijengea uwezo wa kusaidia kutoa huduma ya kwanza pindi yanapotokea majanga ili kuokoa maisha ya wahanga waliopata matatizo mbalimbali ikiwemo ajali Na Fred Cheti. Wito huo umetolewa na Gofrey Mutasilwa Mratibu wa…

3 Febuari 2023, 19:10

Tutatumia sheria kwa wazazi wasiopeleka watoto shule

Na Loveness Daniely. Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi Hassan Ngoma   amesema kuanzia February 6 2023 wataanza kufanya msako mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba kwa kutumia sharia na miongozo iliyopo  kwa wazazi wasio wapeleka Watoto shuleni msako…

2 Febuari 2023, 16:07

Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu

Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu kutoka nafasi ya kumi hadi ya tano kitaifa kwa mwaka 2023/2024. Na  Benard Magawa . Halmashauri ya wilaya ya Bahi imeanza  mikakati ya kuhakikisha wanapandisha zaidi ufaulu kwa mwaka 2023 lengo likiwa…

31 Januari 2023, 12:16

Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu

Wazazi na walezi watakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ambayo inatolewa bila malipo pamoja na kuwalea katika maadili mema kwa kuwarithisha mila na desturi njema ili kuwa taifa lenye sifa njema na maadili mema. By Asha Mado Katika kuhakikisha watoto…

31 Januari 2023, 12:04

Wanafunzi wapewa elimu ya usalama barabarani

Inspekta Magazi akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika wakati akiwapa elimu ya usalama barabarani kipengele cha waenda kwa miguu. Na Lawrence Kessy Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika, iliyopo Kata ya Mwenge Mtapika,  Halmashauri ya Mji wa Masasi, …