Radio Tadio

Elimu

31 Januari 2023, 08:33

Wazazi wasiowapeleka watoto shule kukiona

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Bwana Dunstan Kyobya amewaagiza maafisa Watendaji wa Vijiji na Kata kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni. Bwana kyobya ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi wa umma,viongozi wa dini pamoja na…

30 Januari 2023, 12:31

Shule ya Msingi Mkuti B yapata Viongozi wapya

Shule ya Msingi Mkuti “B” Wilayani Masasi, imefanya Mkutano wake Mkuu wa Kwanza wa Shule hiyo na kuwachaguwa viongozi mbalimbali wa shule pamoja na kujadili ajenda za mipango ya maendeleo ya shule. Mkutano huo ambao umefanyika Shuleni hapo mapema wiki…

30 Januari 2023, 09:28

Wahariri wa Radio Jamii wapigwa msasa

Wahariri na waandishi wa vyombo vya habari vilivyopo chini ya Mtandao wa Redio Jamii Tanzania TADIO wameanza mafunzo ya namna ya kuandaa kuhariri na kuzituma habari kupitia tovuti ya mtandao huo. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yaliyoanza Jan…

23 Januari 2023, 08:44

Wazazi wapewa siku 4 Kuepeleka Watoto Shule

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ametoa siku 4 Kwa wazazi na walezi kata ya mandawa na chibula kupeleka watoto ambao hawajaenda shule la sivyo karandinga kuwapitia. Ngoma amezungumza hayo katika Ziara yake kata Kwa kata baada ya kupita…

21 Januari 2023, 8:34 um

Fahamu Matumizi Sahihi ya Alama za Zebra

MPANDAMadereva wa vyombo vya moto na watembea kwa miguu wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vivuko vya barabara ili kuepusha ajali ambazo zinatokea katika vivuko . Hayo yamesemwa na mkaguzi msaidizi wa jeshi la polisi Geofrey Braiton, kuwa ni sheria kwa…