Radio Tadio

Elimu

2 Januari 2023, 1:32 um

RAISI WA ZANZIBAR:URITHI WA MTOTO NI ELIMU.

RAISi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wanachi kusimamia fursa za elimu kwa watoto wao kwani ndio urithi mzuri wa taifa kiujumla. Dk. Mwinyi ameyasema hayo Mwambe Wilaya ya Mkoani Pemba, wakati akizungumza…

16 Disemba 2022, 10:19

Waandishi wa Habari Radio Fadhila wapigwa Msasa

Na Lawrence Kessy Waandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Fadhila wamepata mafunzo ya jinsi ya kuandaana kuchakata habari za Mitandao ya Kijamii pamoja na kuzingatia maadili ya tasnia ya habari Mafunzo hayo yametolewa Alhamisi Desemba 15, 2022 na Amua…

12 Disemba 2022, 16:35

WAZAZI TOENI USHIRIKIANO MASHULENI – DC KOMBA.

Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi amewataka wazazi na walezi mkoani lindi kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa walimu wa kuzuia utoro kwa wanafunzi ili waweze kusoma na kuyafikia malengo yao. Komba ameyasema hayo Disemba 12, 2022 katika viwanja vya CWT…

7 Disemba 2022, 11:29

Wananchi washiriki maendeleo ya kata Mparanga

Na ;Victor Chigwada.                                                                                      Kuongezeka kwa elimu  ya ushiriki wa maendeleo katika   jamii imesaidia kuongeza nguvu kwa Serikali juu ya utatuzi wa changamoto mbalimbali zinazo wazunguka wananchi Hayo yanajiri baada ya wananchi wa Kata ya Mpalanga kushiriki pamoja kukusanya fedha na…